Kansigo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 2,670
- 2,156
mkuu unauhakika na hilo? Punguza wivu kijanamarekebisho kwenye red mkuu; hakualikwa ameenda mwenyewe kwa mapenzi yake.....
mkuu unauhakika na hilo? Punguza wivu kijanamarekebisho kwenye red mkuu; hakualikwa ameenda mwenyewe kwa mapenzi yake.....
Mkuu hii ndio itupe fundisho kuwa bunge letu linatunika vibaya kwa wingi wa wabunge wa ccm kupinga kila kitu kinachopelekwa bungeni na upinzani,kwani wapinzani walisha hoji sana juu ya safari za kikweete,walihoji wakaonekana ni wajinga lkn leo hii aibu ni kwa taifa zima including ccm MPs.
kuuliza si ujinga , hivi jk amewaaga wapiga kura wa Tanzania ?
Aibu kwa JK au mwingine? ha ha ha ha JK hanaga aibu aisee....
anaaga ili iweje?
pamoja na kwamba aliyekataliwa ni jk lakini aibu kubwa wamebeba watz wanaoishi nchi hiyo .
Sasa unafiki wake nini? amezuiliwa au hajazuiliwa?
kima kweli wewe!!!
Aisee nimevutiwa Sana na demokrasia za Wenzetu zilivyo na usawa....
ingekua hapa waziri mkuu au Rais aliyepo madarakani ambaye naye ni mgombea atafanya manyanga yote kwa kofia ya urais licha ya kwamba inampa favour kuliko wenzie....
Angalia TBC1 inavyotoa airtime kwa CCM kuliko vyama vingine ingawa inaendeshwa kwa kodi zetu sote....
Media hapa kwetu is not free and fair. Their reporting is so much influenced by people with power and deep pockets. Owners wa vyombo vya habari na waandishi wa habari hata wa kujitegemea kama Pasco wa JF wako so biased. Usipolipa, they report you negatively au hawaripoti kabisa. In short, they don't call it what it is. Reporting yao ni kwa malengo fulani, hususan maslahi binafsi na si kueleza ukweli. Moreover, waandishi wa habari tulio nao wengi wao ni incompetent. Wanajua kuripoti matukio (kama ukilipa) but no analysis at all.
Nachelea kusema media nchini Tanzania inachangia kwa kiasi kikubwa kudumaza demokrasia hapa nchini. They are really failing us. Media ikifanya kazi yake ipasavyo, jamii itanufaika kwa kiasi kikubwa sana. Hata tabia ya watawala wetu itabadilika sana. Ukitaka kujua madudu ya media hapa nchini, angalia coverage yao msimu huu wa uchaguzi. Badala ya kuwa critical kwa wagombea, kila mmoja (including media houses) anatafuta mgombea anayelipa pesa nzuri na kuanza kumpamba. This is not okay.