Tour De France
JF-Expert Member
- Jun 12, 2014
- 345
- 336
Kitu nisichokifahamu: kweli hali hiyo inamridhisha? Binafsi nisingeweza kununua samaki pale!
Kwani na wewe ni rais?
Kitu nisichokifahamu: kweli hali hiyo inamridhisha? Binafsi nisingeweza kununua samaki pale!
NAKUAPIA hatoenda kuwala .
Nakwambia ccm safari hii wataingia hata vyoo vya stend watapanda daladala za mbagala watakunywa mataptap ili tu watanzania wawaone kuwa wanawajali ili tatizo ni kuwa wamekumbuka shuka wakati usiku ushaisha watanzania washaamka hawadanganyiki tena na urafiki wa mara moja kila baada ya miaka mitano:A S 103::A S 103::sleep:
Waganda mpaka kesho wanamkumbuka Idd Amin, fitna ya Nyerere a.k.a mchonga meno ndio iliomtoa, lakini kawasaidia sana waganda huyu. Mungu Amrehemu
Hobi! Hobi! NERT!
Anachofanya ni nini sasa? eleza ueleweke ili tukupe Dunia inavyokwenda. Sisi hatuishi kwa kubahatisha au kushabikia uozo.
Kama ni kutembea mitaani anamzidi Olof Palme? (google umujue huyu ni nani). Aliposikia Obama anaingia kwenye BBQ naye kaiga kununu ng'onda, wewe na wenzako munatoa meno! Shiiiiit!
Kwa kuwa ni Mtanzania hata haishangazi...
Katibu mkuu wao kisha panda treni akijidai yuko pamoja na wananchi. Kweli, kuna wananchi wanadanganyika ajabu ni kuona hata walioko JF wanadanganyika eti ni wa watu!
Si tulimuingiza ikulu tukidhani ni mwenzetu? kisa alikuwa akicheza disco uzeeni, baadaye imekuwaje? kasaidia nini? Katuokoa na nini? Tindikali, misikiti, makanisha kuchomwa moto, mabomu arusha, mabomu kwa waandishi habari, watu kung'olewa meno na kucha, wanafunzi kukalia ndoo, .........
Katibu mkuu wao kisha panda treni akijidai yuko pamoja na wananchi. Kweli, kuna wananchi wanadanganyika ajabu ni kuona hata walioko JF wanadanganyika eti ni wa watu!
Si tulimuingiza ikulu tukidhani ni mwenzetu? kisa alikuwa akicheza disco uzeeni, baadaye imekuwaje? kasaidia nini? Katuokoa na nini? Tindikali, misikiti, makanisha kuchomwa moto, mabomu arusha, mabomu kwa waandishi habari, watu kung'olewa meno na kucha, wanafunzi kukalia ndoo, .........
![]()
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi. (picha: Freddy Maro/Ikulu).
Unaamini waganda ni woote? Hiyo ni kawaida kama uonavyo hapa na rais wetu. Wanafuata tuuuuu! Hata Hitler alikuwa na washikaji, Bokasa, Amini na akina Nguema wote walikuwa nao. Don't draw a regression from those washikaji na ukasema Waganda.
Unaijua Past life regression ?
Hivi mbona yeye JK katoa fedha na Salma naye katoa za kwake , kila mtu alikua ananunua samaki zake au ndio lilikua pozi la picha ?
Si pweza yule, ni ng'onda.
Kitu nisichokifahamu: kweli hali hiyo inamridhisha? Binafsi nisingeweza kununua samaki pale!
Amemuiga Obama, mwezi uliopita alitembea mtaani akanunua hadi Burger na kulila kabisa
Mbona mnasema anafanya usanii wakuu?kwani kwenda sokoni iwe usanii?akienda nje mnalalamika,akienda magengeni mnalalamika pia,hata kama upinzani si wa kihivo bhana
Yule ashachokwa na sifa zake za miaka ya 80,,,,,babu anabahati magufuli alikuwa mwanza, hili genge naona lipo kwenye reserve ya barabara angetimuliwa mbali kabla rais hajafika.
Kwahiyo unataka kusema nyerere ndio anapendwa na watanzania wote? Tatizo unakurupuka tu, umelishwa matango pori huko nawe unajiona msomi. Historia ya kutungwa na nyerere ndio unataka wote tuikubali? Nenda kwa waganda kule tena kuna vitabu vingi tu ambavyo wameandika wakimkumbuka huyu jamaa.Unaamini waganda ni woote? Hiyo ni kawaida kama uonavyo hapa na rais wetu. Wanafuata tuuuuu! Hata Hitler alikuwa na washikaji, Bokasa, Amini na akina Nguema wote walikuwa nao. Don't draw a regression from those washikaji na ukasema Waganda.
Unaijua Past life regression ?