mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
Na huyu mchuuzi hata kama samaki bei kubwa ataipunguza
Amevunja sheria gani???!!!Nadhani huyu ndio rais wa kwanza Tanzania kutembea na cash mfukoni sijawahiona mwengine kabla!
Mheshimiwa raisi siku nyengine njoo buguruni ununue wa buku 2 kweli tutakuona mwenzetu.Ahsanta
![]()
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi. (picha: Freddy Maro/Ikulu).
Huwezi kutoa sifa kwa
tabia isiyo na maana kama hii. Kama ni kuchangayika na wananchi hakuna
anayemzidi Idd Amin.
Idd Amini alicheza ngumi, alishindana kuogelea, alishiriki riadha, nk.
sema wewe mwenyewe aliishia wapi kichaa huyo?
ilikuwa wakati wa riadha ukimpita idi umekula risasi vile vile kwenye boxing na racing
Kwahiyo unataka kusema nyerere ndio anapendwa na watanzania wote? Tatizo unakurupuka tu, umelishwa matango pori huko nawe unajiona msomi. Historia ya kutungwa na nyerere ndio unataka wote tuikubali? Nenda kwa waganda kule tena kuna vitabu vingi tu ambavyo wameandika wakimkumbuka huyu jamaa.
Hata wewe na ufataani wako wote huu una washikaji, same goes!!!!!!
Weka critique kwenye mambo ya maana achana na trivials kama kununua samaki, hata asingenunua kama uchumi mbaya pia usingeongezeka kwa yeye kutonunua samaki pale, by the way jamaa wa gengeni kapiga 60,000/= Tsh cash na yaweza kuwa ndio mauzo yake makubwa kwa siku na kwa mwaka huu so jamaa wa gengeni pale siku imeingia!!!!!!
Kama kweli wewe ni Patriot wa kiume anzisha uzi wa ku challenge utendaji wa Rais na hali ya nchi tuje tujadili huko sio kubana pua hapa kisa mwanaume mwenzio(kama kweli wewe mwanaume) kanunua ng'onda kwa matumizi yake!!!!!!
Hili pwani tunaita ghubu , wapi na wapi na tabia za kiume????!!!!
Kuna mahala nimeongelea kavunja sheria?Amevunja sheria gani???!!!