Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Ivi Quinine ni mwanamke au mwanaume?
Nchi ni ya watanzania na si ya raisi magufuli kama huyu quinine mwenye akili za wapi sijui anavyodhani. Kama wewe ni kada la bavicha kwa akili hizi wacha mkapa awatukane, na kwa kufanya hivi nimetokea kuidharau sana chadema kwa utumbo kama kama huu uliowekwa jamvini na huyu kaquinine sijui. Wewe ni shetani kushabikia kufail kwa serkal kwa mambo yenye tija na maana katika nchi. Mim si mwanachama wa ccm ila naunga mkono baadhi a shughuli nyingi tu zinazofanywa na serikali. Utakuwa umeguswa na magufuli kwa namna moja au nyingine mana unashabikia ujinga, watanzania wengine hovyo kabisa, usijiingize kwenye kilio cha matajiri wezi as if wao walikuwa wanakusaidia kulia pindi walipokuwa wanakunyonya.
rais Magufuli amefeli.... toto feliya... abadili style ya kuongoza hii nji or else....... He is done and finished..... Hakuna namna mtawaambia watz wawape kura 2020 kwa jinsi mambo yalivyo
Kosa Lake kuu ni ubaguzi miongoni mwa watz kwa kubagua upinzani waziwazi
la pili ni kutumia nguvu nyiingi Bila sababu za msingi
La Tatu ni mawasiliano hafifu ndani ya Serikali yake
4 "kutopenda kushauriwa/ kushauriana NA wasaidizi wake au labda ni mbishi hasikizi lolote
5. Katiba naona aliitupa kabisaa
LA mwisho ni Chama chake.... Laiti km Magufuli asingekuwa ccm angeeleweka mimi mwenyewe ningejifunza kumuelewa.. Ila ccm inamuangusha
Kabisa
na Kuna watu ndani ya ccm wanamishemishe asitoboe 2020..baada ya mianya yao ya Wizi kuwekwa super glue
Tatizo la nchi hii ni ccm.....