Rais kaishiwa pumzi, karudi square one

Rais kaishiwa pumzi, karudi square one

Mahakama ya mafisadi itafanyaje kazi wakati vibaka wote mmenyooka? Thats the whole point....unapaswa kulalamika ikiwa ufisadi unaendelea huku watuhumiwa hawafikishwi mahakamani
Si walisema kuna ufisadi katika electronic passport
 
Kwani pesa ya rambi rambi ilishawahi kutolewa?
Acheni utani bwana. Hata rambi rambi mmekula ??????

Ni zile za Bukoba ?? Nini. Au zile za Arusha ???
Duuh. Rambi rambi ??
 
Mi nilidhani wakati mahakama inaanzishwa tayari mafisadi walikuwepo kumbe mlianzisha mahakama kwa mafisadi wapya? Aisee mnayo akili balaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hebu niambie katika mafisadi woote unao wafahamu. No yupi anakamatika, yaani mwepesi tuu tunaweza mkamata hata kesho tukamtia mahakama yetu pale. !!! Yupi ???
 
Hebu niambie katika mafisadi woote unao wafahamu. No yupi anakamatika, yaani mwepesi tuu tunaweza mkamata hata kesho tukamtia mahakama yetu pale. !!! Yupi ???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Basi nikajua Mamvi ana bahati mbaya.....
 
  1. Kanunua ndege sita
  2. Ujenzi wa Reli ya Kati kwq Standard Gauge
  3. Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Uganda hadi Tanga
  4. Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma
  5. Ujenzi wq Hostel pale UDSM
  6. Nyumba za Magomeni Kota
  7. Kupandisha bei ya korosho kutoka shilingi 1000 hado 4000
  8. Ujenzi wq Barabara ya Mwenge hadi Morocco
  9. Ununuzi wa Meli mpya Ziwa Tanganyika na Victoria
  10. Umeme wa uhakika. Hakuna mgawo kwa sasa
  11. Nk nk
Labda uko kwenye kisiwa hayo mambo umeyaona mwenywe,sometimes tuache unafki
 
Ni Bora Basi Mambo Yamerudi Vile Vile Mlivyokuwa Mnaomba Iwe, Nadhani Sasa Vilio, Laana Na Matusi Humu Vitapungua, Mambo Kama Kawaida. Fanyeni Na Sherehe Kabisa

gsam Enzi Za Kikwete Zimerudi, Enjoy
Kwa majibu haya, nimeamini kuwa ukweli unauma.
 
na Kuna watu ndani ya ccm wanamishemishe asitoboe 2020..baada ya mianya yao ya Wizi kuwekwa super glue w
kwa hiyo wewe unshabikia wizi baada ya kuzibwa mionya ya wezi???

Tatizo la nchi hii ni ccm.....
refer kauli ya Dr Slaa aliposema kwamba ukiitoa CCM ndo na matatizo ya nchi yamekwisha? hebu tuweni serious bwana punguzeni hisia mruhusu akili zitumike..!![/QUOTE]kweli tunatofautiana yaan shida tunazo pata zote hizi na mauaji yote haya bado watu hamuoni kweli tanzania akili zetu sijui zipo wapi
 
Kwani Magufuli kafanya nini zaidi ya matusi ya rejareja?
Mauaji kila kona,Ufisadi uko palepale.
Mlitishwa na kudanganywa na Makinikia zikowapi sasa?
 
Acheni utani bwana. Hata rambi rambi mmekula ??????

Ni zile za Bukoba ?? Nini. Au zile za Arusha ???
Duuh. Rambi rambi ??
Siku hizi hata rambi rambi zinapigiwa hesabu mzee, sijui hii maana yake nini aisee. Uende maziwa, misitu, madini n.k havitoshi tena
 
Agiza heinken Mkuu....huu utawala umelaaniwa sio kidogo.. Laana Laana Laana

Lowassa na membe mmetusababishia majanga makubwa sana
Aliwaambia watetemeke wao alafu huyooo akasepa zake
 
Huwezi kujenga nchi bila kutenda haki kwa magroup yote tena kwa kuwashirikisha wananchi ambayo ki msingi ndiyo wenye nchi. If you don't do that your max runway will be 100m.
 
Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
naona lumumba mnafanya kazi sana kutuaminisha hali ni nzuri wakati nyie wenyewe mna shida mpaka makalioni..... acha tuishi kwa imani
 
Back
Top Bottom