Punguza upuuzi nyie ndo mnakua wa kwanza kusema raisi haongozi nchi vzr...afu unatuletea pumba zako hapa eti ameshindwa....kwa hiyo mliomba ashindwe ili mpate cha kuongea....nyie msio jielewa ndo mnaona tumerudi kulekule....lakin kwa wenye timamu wanajua nidhamu iliyopo kwa taasisi za serikali...na huduma zinavotolewa bila ubaguzi...sasa nyie kazeni kuomba ashindwe...mwisho mtashindwa nyie...maana hadi 2025 mtakua mmenyooka..
Wewe unaumwa na tumbo sio bure! Haya nenda ukaharishe kisha ulale! Ni wapi niliposema kwamba namwombea ashindwe? Mimi nimesema matumaini ya watu yanaanza kuyeyuka kwa sababu hawajaona wahujumu wa kweli wakishughulikiwa, mafisadi na wauza madawa ya kulevya wakishughulikiwa! Watu wanatumbuliwa halafu baada ya siku kadhaa watu wale wale wanateuliwa tena kwenye nafasi nyingine! Hayo ndio aliyoahidi kwenye kampeni zake? Hatumwombei ashindwe bali tunataka afanye kweli, sio usanii wa kisiasa!!!