View attachment 38500View attachment 38500
Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kumzawadia fedha, mtoto Liano Adamu (7) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ruaha Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro baada ya kuvutiwa na uchezaji wake wa ngoma ya Lizombe ya kabila la Wangoni. Rais yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Nyuma ya Rais ni Mkuu wa Mkoa, Joel Bendera. (Picha na John Nditi).
RAIS AKITOA MSHIKO BAADA YA MTOTO KUKATA MAUNO KWENYE NGOMA. SWALI LANGU, HUYU MTOTO KWA UMRI WAKE ANAHITAJI FEDHA AU ELIMU BORA?
View attachment 38500View attachment 38500
Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kumzawadia fedha, mtoto Liano Adamu (7) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ruaha Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro baada ya kuvutiwa na uchezaji wake wa ngoma ya Lizombe ya kabila la Wangoni. Rais yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Nyuma ya Rais ni Mkuu wa Mkoa, Joel Bendera. (Picha na John Nditi).
RAIS AKITOA MSHIKO BAADA YA MTOTO KUKATA MAUNO KWENYE NGOMA. SWALI LANGU, HUYU MTOTO KWA UMRI WAKE ANAHITAJI FEDHA AU ELIMU BORA?
Anahitaji kila kitu, fedha na elimu bora. Kwahiyo sioni tatizo lolote kwa JK kumpa zawadi ila nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri
Anahitaji kila kitu, fedha na elimu bora. Kwahiyo sioni tatizo lolote kwa JK kumpa zawadi ila nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri
View attachment 38500View attachment 38500
Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kumzawadia fedha, mtoto Liano Adamu (7) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ruaha Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro baada ya kuvutiwa na uchezaji wake wa ngoma ya Lizombe ya kabila la Wangoni. Rais yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Nyuma ya Rais ni Mkuu wa Mkoa, Joel Bendera. (Picha na John Nditi).
RAIS AKITOA MSHIKO BAADA YA MTOTO KUKATA MAUNO KWENYE NGOMA. SWALI LANGU, HUYU MTOTO KWA UMRI WAKE ANAHITAJI FEDHA AU ELIMU BORA?
Hapo kwenye Red umejibu swali ambalo hujaulizwa.Anahitaji kila kitu, fedha na elimu bora. Kwahiyo sioni tatizo lolote kwa JK kumpa zawadi ila nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri
Maneno ya kwenye kanga.Mcheza kwao hutunzwa.
View attachment 38500View attachment 38500
Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kumzawadia fedha, mtoto Liano Adamu (7) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ruaha Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro baada ya kuvutiwa na uchezaji wake wa ngoma ya Lizombe ya kabila la Wangoni. Rais yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Nyuma ya Rais ni Mkuu wa Mkoa, Joel Bendera. (Picha na John Nditi).
RAIS AKITOA MSHIKO BAADA YA MTOTO KUKATA MAUNO KWENYE NGOMA. SWALI LANGU, HUYU MTOTO KWA UMRI WAKE ANAHITAJI FEDHA AU ELIMU BORA?