Rais hakuwatuma Polisi wamkamate Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi

Juzi Jerry slaa amewasaidia pahala pa kuanzia, baadala ya kushikilia hapo wanakimbia na katiba. Shinikiza vifungu kwanza na baadaye ndipo katiba nzima. ‘Watu wote walipe kodi kuanzia Rais’ hapo wananchi watawaelewa.

Hivi unajua kuwa nia yao ni kuhakikisha katiba mpya inapunguza mamlaka ya Rais na huyo huyo Rais aipitishe, are we serious kweli? Nani anaweza kuingiza kichwa chake katika mdomo wa mamba kama siyo teja?
 
Hizi dini zilizoletwa na meli zimeharibu akili zetu waAfrika hadi tunatia kinyaa.

Tangu lini umekuwa msemaji wa Ikulu !.Rais angekuwa Irene au Stellah ungekuja na andiko lako la kipuuzi na unafiki.

1.kwann katiba ya chadema imeondoa kikomo Cha utawala wa mwenyekiti wa Chama,ana miaka zaid ya 17 bado yupo,

2.kwann nyinyi makamanda chama kikiitsha maandamano muende barabaran kuipigania chadema hamuend badala Yake mnabakia mitandaoni tuh mnamaanisha nin?

Mnaogopa polisi au mnawasaliti viongoz wenu??
 
Wake up,chadema hawapo for constitution reforms,they are after regime changes,kama kweli wangekuwa Wana uchungu na katiba wangetuonesha mfano kwa kuanza na katiba ya Chama Chao kwanza,
You are missing the point.Katiba mpya itawapa walala hoi kumchagua mtu wanayempenda.Haiwezekani serikali za mitaa chama kimpja kipate ushindi wa 100% na katika bunge chama kimoja kipate ushindi wa 99%.

Ndio maana sheria kandamizi kama kodi za mihamala zinapitishwa huko bungeni
 
Hauna akili
 
@Mohamed Said Na THE BIG SHOW ni wadini kupindukia.
Leo hii hawa hawaoni baya kwa uongozi wa Mh.Samia kisa tu ni muislam mwenzao.
Watanzania wenye msimamo tumebaki wachache kama idadi ya faru weupe.

Hilo la udini ni kweli,sisi ni wadini...

Ni waislam Alhamdulillah,tumezaliwa waislam na Inshallah tunaomba Allah tufe hali ya kuwa ni waislam,maana instead of kufa Muislam ni hasara katika maisha haya ya ulimwengu had kesho akhera,

Hatumtetei Samia kwa kuwa ni Muislam mwenzetu,Ila kama mutamzonga zonga kwa kuwa tuh yeye ni muislam. Basi tutakesha kumtetea,asihukumiwe kwa iman yake,ahukumiwe kwa sera zake na Chama chake
 
Maelekezo ya kuwakamata wapinzani na kuwafrem kesi za ugaidi ni maelekezo kutoka state!
Samia hakwepi laana, tupo humu vyomboni na tutavujisha kila kitu tumuaibishe shetani, ifike mahali ccm muheshimu wenye nchi yao(watanzania).
 
Mtoto wa miaka 7 unalala nae vipi kwa mfano..unaanza anza vipi? Mnakaa chumba kimoja? Kwanini asilale sebuleni kama mna chumba kimoja..
 
Ain't nobody give a damn about chadema,

Nan anahangaika nao?wao ndiyo wanahangaika na sisi wananchi Tena kwa maslahi yao,lin sisi tumewatuma chadema kupambana kwa jasho na dam hivyo kudai katiba mpya?lin...
Katiba inayodaiwa sio ya chadema ni ya nchi
 
Jana CCM mikutano wamefanya chadema wameomba kibari wamenyimwa hapo unaona kuna haki?
 
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar,ooh yes hiyo ndiyo lugha ambayo wao chadema wanaielewa...wasikimbilie CNN

Kwahiyo mama wa kambo ameshindwa kuwakamata waliojiunganishia bomba la mafuta hapa Dar kwakuwa ni mwanamke ama? Leo naona hujasema kwakuwa yeye ni muislamu japo utetezi wako ni wa mrengo huo. Huyo Magufuli unayesema eti watu walinyamaza kuhusu katiba mpya, si ndio huyo alizuia mikutano nchi nzima, na bado kwenye chaguzi zote ilibidi anahisi uchaguzi? Si ndio huyo alimiliki kundi la watu wasiojulikana ili kuteka na kuua watu? Ni kesi ngapi zimewakuta wapinzani kipindi chake kama watu walikuwa kimya?

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule dhalimu na sasa yuko motoni. Sasa hivi tuko na huyu mama wa kambo ambaye kwako ni muislamu. Ni hivi, tunataka katiba mpya, awe ni mama wa kiislamu au baba wa kikristo ni lazima ipatikane. Hiyo reforms ya cdm kaidai ww, sisi tumeamua kudai hii ya nchi. Hutaki kunywa sumu ufe.
 
Ila chadema na watu wao kama mdude nyagali,,yericko nyerere na kigogo ndiyo mnaona Wana akili eeh??
Sasa wewe una akili gani ya kumzidi kigogo?


Mtu serikali kaiweka uchi na wameshindwa kumpata utamlinganisha na wewe mlawiti watoto madrasa?
 
Rais aendeleze lugha ileile ya hayati JPM....ndiyo lugha wanayoielewa.....

Ni kweli CHADEMA wanataka REGIME change.....

Katika vipindi kama hivi....NGUVU PEKEE NDIO SULUHISHO.....

#NchiKwanza
#KaziIendelee
 

Takbir takbir 🕌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…