Juzi Jerry slaa amewasaidia pahala pa kuanzia, baadala ya kushikilia hapo wanakimbia na katiba. Shinikiza vifungu kwanza na baadaye ndipo katiba nzima. ‘Watu wote walipe kodi kuanzia Rais’ hapo wananchi watawaelewa.Umeongea point Sana,
Mfano hai,kwa hii hii katiba tuliyonayo...inavunjwa waz waz kama hii ishu ya covid-19 hawa wa chadema...
Imetumika nguvu gan hasa hata ya kupelekea wananchi kuona uzito wa hilo suala lenyewe,si unaona wamerud kukaa kimya wakisubir huruma ya CCM??
Wangekuwa na akili kidogo wangeanza kudai tume huru ya uchaguz,wanaacha kuanza na vitu vya msingi wanakimbilia mambo MAKUBWA ambayo hata wenyewe ndan ya Chama yamewashinda
Hivi unajua kuwa nia yao ni kuhakikisha katiba mpya inapunguza mamlaka ya Rais na huyo huyo Rais aipitishe, are we serious kweli? Nani anaweza kuingiza kichwa chake katika mdomo wa mamba kama siyo teja?