Rais Hakainde Hichilema amuapisha askari aliyemtendea wema akiwa gerezani kuwa naibu kamishna wa Magereza

Huyo Rais naye hana akili, hauwezi teua cheo kikubwa hivyo kwa sababu askari wa cheo cha chini alikutendea wema, chagua kutokana na uwezo wa mtu sio mahaba yake.
Sio kuwa alimtendea wema kwa maana ya favors bali alikuwa akifanya kazi professionally following rules, regulations and guidelines bila uonevu wa kukomoana kwa sababu either za kisiasa au unyama tu usiozingatia human rights mambo ambayo HH aliona ni wema wa hali ya juu kwa askari magereza yule kuwa kwenye mstari ulionyooka wakati serikali ilikuwa kandamizi na askari wengi wakifanya kazi kwa mihemko ya kukomoa watu.
 
Even Hakainde Hichilema was mocked and ridiculed, he had his highs and lows na hata mwanzilishi wa UPND late Anderson Mazoka aliteswa na Frederick Chiluba na aliporwa ushindi katika kinyang'anyiro cha urais na baada ya kufariki HH akapokea mikoba kuendeleza 'libeneke'. Kwenye siasa huwa kuna ridiculous fanatics na huwa wanatambulika kwa mitazamo yao lakini huwa haibadilishi realities on the ground, Kibongobongo upumbavu uliofanywa na serikali kwa kushirikiana na tume ya uchaguzi pamoja na vyombo vya dola ndicho kilichoturudisha nyuma na kutusababishia kufika hapa tulipofika.
 
Kwa hiyo sasa anawapa watu vyeo kwa kulipa fadhila?
 
Watu tunaangalia mambo ya msingi yaliyofanywa, yanayofanya na yatayofanywa na serikali kama vile kujenga shule nying zaidi nchini kwa ajili ya kurahisisha upatikanaji wa elimu kwa watoto wetu, kujenga hospital nyingi zaidi kwa ajili ya afya zetu na za watoto wetu, pia kuhakikisha kina mama hasa wanaojifungua hawatembei umbali mrefu sana kufuata huduma za matibabu, kujenga barabara nyingi zaidi ili kuwarahisishia wakulima waweze kuingia mijini kuuza mazao yao kwa haraka zaidi na kujipatia riziki zao, kuongeza huduma za upatikanaji wa maji na umeme nchi nzima nk. Swala la kupanda bei nyama au baadhi ya bidhaa liko karibuni dunia nzima kwa sasa kutokana na madhara ya corona (hii ni kwa mtu mwenye akili timamu na asieendekeza mahaba ya siasa uchwara ndio atanielewa) na sio tu Tanzania au Afrika peke yake. Ukiona swala la kula nyama lina umuhim sana kwako zaidi ya ujenzi wa hizo hospital, shule, barabara nk basi fuga ng'ombe wako mwenyewe.
 
Miaka 50+ bado serikali ya CCM inahangaika na kujenga shule na hospitali?
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Katika maisha tunaangalia hivi vitatu
1. Food
2. Shelter
3. Clothes
Km hivyo vitatu huwezi kuvimudu hata gharama za hospital na shuleni huwezi kuzimudu. Mtu mjinga ndiyo atakuelewa
Km hapo huwezi kumudu kununua kilo ya nyama ya 8500 hizo gharama za matibabu utaziweza?
Hospitali za serikali kumuona daktari ni 5,000. Bado matibabu ushajiuliza ni shiling ngapi? Km nyama kwako siyo kipaumbele, endelea kula matembele huku madaktari wanasisitiza angalau kwa wiki 1 unatakiwa ule angalau vipande 2

 
Usikwepeshe upumbavu na ujinga uliofanywa na upinzani mwaka 2015 kwa kukubali kutema big jii (dr Slaa) kwa sababu ya chapati ya kuonjeshwa (Lowasa) Mwaka 2015 kila mtu alikuwa tayari kwa mabadiliko na hakika kama wapinzani wangesimama imara bila wenyeviti wa ukawa (Mbowe, Mbatia na magenge yao) kuvuta hela na kurubuniwa na mbinu za CCM basi wangeshinda mchana kweupee. Since kipindi kile watu wengi wameiona Chadema na vyama vingi vya upinzani kuwa ni wababaishaji tu wanaopigania matumbo yao. Ni afadhali katika uchaguzi ule kwa upande wa uraisi wangemuachia dr Slaa au wangempitisha mtu mungine ambae hana kashfa nzito kama zile walizomvika wao wenyewe Lowasa. Yeye Lowasa angeshawishiwa agombee kwanza ubunge, lkn kwa vile jamaa walikuwa na tamaa ya pesa kwa ajili ya kwenda kula bata Dubai na Afrika kusini wakaamua bora wauze ile nafasi ya uraisi kwa fisadi ili agombee (hata kama watakuwa wamewa disappointed wapenda mabadiliko wa ukweli) ilimradi wao tayari mambo yao yatakuwa yanawaendea vizuri kutokana na mamilioni ya shilingi waliyopewa. So kumfananisha mtu anaesimamia kile anachokiamini mh Hichilema na hawa wazee wa fursa ni kujiaibisha tu bure.
 
Huyo Rais naye hana akili, hauwezi teua cheo kikubwa hivyo kwa sababu askari wa cheo cha chini alikutendea wema, chagua kutokana na uwezo wa mtu sio mahaba yake.
Mkono wa Mungu ukiwa juu ya mtu, haijalishi elimu yake mkuu
 
Huyo Rais naye hana akili, hauwezi teua cheo kikubwa hivyo kwa sababu askari wa cheo cha chini alikutendea wema, chagua kutokana na uwezo wa mtu sio mahaba yake.
Naona hujawaelewa somo, unasoma tu kama kasuku lakini huwezi kuelewa ndio maana kwa uelewa wako huo mdogo unafikiri huyo askari magereza alikuwa akimpendelea bwana HH alipokuwa mahabusu.

Jaribu kuuliza walioelewa wakueleweshe, uwe free tu kuuliza, nimeona wa kama wewe wamo humu hauko peke yako.
 
Reactions: Qwy
Km tukiangalia pande zote kumbe inawezekana hata wale covid19wanaobezwa siku moja wanaweza wakawa vinara wa CDM meza hugeuka tuweke akiba ya maneno
 
Ili kuepusha kisa kama hiki, nahisi, ndio maana kuna time vifungu fulani fulani vya katiba husimamishwa
 
Hichilema amepitia kila aina ya dhoruba, hizo rubbish ulizozijaza hapa zisizo na proof na ku-display ujinga na ni ushabiki mandazi kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Lowasa na Slaa are one and the same, opportunists. Miscalculations ndiyo ziliwapoteza opposition parties wakidhani popularity ya Lowasa ni added advantage lakini kama HH ame-battle kwa kipindi kirefu basi kinachotakiwa ni kuzidi kupambana pasina kukata tamaa.
Siasa huwatoa watu ufahamu na kuandika ujinga wa story za vijiweni kudhihirisha, Gwajiboy alidai(back then) kuwa kilichomtoa Slaa opposition side ulikuwa ni uamuzi wa mke wake ambaye ambition yake ilikuwa ni kuwa first lady hivyo baada ya kuona mumewe si mgombea urais akamuamuru mumewe wahame ni si blah blahs nyinginezo(hii ni kama Gwajiboy hutoa kauli za kuaminika).
 
Tenda wema uondoke
 
Wewe ni mmoja wa wanufaika wa mfuko wa mwenyekiti kupitia ruzuku inayopigwa kinyemela chamani, au kama sio mnufaika basi kuna mnufaika fulan aliefanikiwa kukuingiza chaka na kukufanya usiwe na uwezo wa kutambua mapungufu yanayofanywa na hao unaowatetea.
 
Makonda alishawahi kupewa guy ushauri na Chidi Benzi
Akaupuuzia

Sasa hivi yupo Nye kwa vile jumong anamhusudu

Isingekuwa hivyo zingekuwa jeraaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…