BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,366
- 8,098
#JFDATA: Kati ya mwaka 2015 hadi Desemba 2021, Watu 28,670 Walihukumiwa Kifo duniani kote kwa njia ya Kunyongwa, Kupigwa Risasi, Kukatwa Kichwa na Kuchomwa Sindano ya Sumu.
Mwaka 2021 pekee Watu 2052 Walipewa Adhabu ya Kifo kwenye Nchi 56 ikiwa ni Ongezeko la 39% na 579 kati yao Wameshauawa kwenye Nchi 18 huku 80% ya Vifo vikitekelezwa na Nchi 3 (Iran, Misri, na Saudi Arabia).
Zambia imekuwa nchi ya 25 Barani Afrika na ya 110 duniani kufuta kabisa Adhabu ya Kifo baada ya Rais Hakainde Hichilema kusaini Kanuni ya kuondoa adhabu hiyo rasmi Desemba 23, 2022.
=================
Wanaharakati wa Haki za Binadamu nchini Zambia wamepongeza uamuzi wa kufuta sheria mbili za wakati wa ukoloni wa Uingereza ambazo ni utekelezaji wa hukumu ya kifo na kufanya ukosoaji wa kiongozi wa nchi hiyo kuwa kosa lenye adhabu.
Rais Hakainde Hichilema, ambaye chama chake kilikuwa katika upinzani kwa zaidi ya miongo miwili, alikuwa ameahidi kwamba angefutilia mbali sheria hizo iwapo atachaguliwa kushika wadhifa wa juu.
"Rais Hakainde Hichilema ameidhinisha kanuni ya adhabu ya 2022 ya kukomesha kutolewa kwa adhabu ya kifo na kosa la jinai la kudhalilisha jina la Rais, ambalo limekuwa kwenye vitabu vya sheria vya Zambia tangu enzi za kabla ya uhuru," msemaji wa rais Anthony. Bwalya alisema katika taarifa yake Ijumaa.
Mwanaharakati wa haki za binadamu Brebner Changala alisema uamuzi huo ni hatua kubwa katika kuondolewa kwa sheria za kikoloni ambazo hazifai katika utawala wa kidemokrasia nchini humo.
Mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha Mazungumzo ya Sera Caroline Katotobwe alisema Wazambia sasa watazungumza kwa uhuru.
"Kama wadau tunafurahi kwamba sheria hii kandamizi hatimaye imefutiliwa mbali. Hivyo kuruhusu wananchi kutoa maoni yao kwa uhuru bila hofu ya kufunguliwa mashtaka kama ilivyokuwa siku za nyuma," alisema.
Zambia ilipata uhuru kutoka kwa Waingereza mwaka 1964. Taifa hilo la kusini mwa Afrika lina watu milioni 18.
===================
Zambian rights activists Saturday hailed as a "huge milestone" a decision to scrap two British colonial-era laws: the death penalty and making criticism of the country's leader a punishable offence.
President Hakainde Hichilema, whose party was in opposition for over two decades, had promised that he would scrap the laws if elected to the top job.
"President Hakainde Hichilema has assented to the penal code of 2022 abolishing the imposition of the death penalty and the offence of criminal defamation of the president, which has been on the Zambian statute books since (the) pre-independence era," presidential spokesman Anthony Bwalya said in a statement on Friday.
Human rights activist Brebner Changala said the decision was a "huge milestone in the removal of colonial laws that do not fit in the democratic dispensation of the country".
The executive director of the Centre for Policy Dialogue Caroline Katotobwe said Zambians would now speak freely.
"As stakeholders we are elated that this repressive law is finally done away with. Thus, allowing citizens to freely express their views without fear of prosecution as was the case in the past," she said.
Zambia gained independence from British rule in 1964. The southern African nation is home to 18 million people.
AFP
Mwaka 2021 pekee Watu 2052 Walipewa Adhabu ya Kifo kwenye Nchi 56 ikiwa ni Ongezeko la 39% na 579 kati yao Wameshauawa kwenye Nchi 18 huku 80% ya Vifo vikitekelezwa na Nchi 3 (Iran, Misri, na Saudi Arabia).
Zambia imekuwa nchi ya 25 Barani Afrika na ya 110 duniani kufuta kabisa Adhabu ya Kifo baada ya Rais Hakainde Hichilema kusaini Kanuni ya kuondoa adhabu hiyo rasmi Desemba 23, 2022.
=================
Wanaharakati wa Haki za Binadamu nchini Zambia wamepongeza uamuzi wa kufuta sheria mbili za wakati wa ukoloni wa Uingereza ambazo ni utekelezaji wa hukumu ya kifo na kufanya ukosoaji wa kiongozi wa nchi hiyo kuwa kosa lenye adhabu.
Rais Hakainde Hichilema, ambaye chama chake kilikuwa katika upinzani kwa zaidi ya miongo miwili, alikuwa ameahidi kwamba angefutilia mbali sheria hizo iwapo atachaguliwa kushika wadhifa wa juu.
"Rais Hakainde Hichilema ameidhinisha kanuni ya adhabu ya 2022 ya kukomesha kutolewa kwa adhabu ya kifo na kosa la jinai la kudhalilisha jina la Rais, ambalo limekuwa kwenye vitabu vya sheria vya Zambia tangu enzi za kabla ya uhuru," msemaji wa rais Anthony. Bwalya alisema katika taarifa yake Ijumaa.
Mwanaharakati wa haki za binadamu Brebner Changala alisema uamuzi huo ni hatua kubwa katika kuondolewa kwa sheria za kikoloni ambazo hazifai katika utawala wa kidemokrasia nchini humo.
Mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha Mazungumzo ya Sera Caroline Katotobwe alisema Wazambia sasa watazungumza kwa uhuru.
"Kama wadau tunafurahi kwamba sheria hii kandamizi hatimaye imefutiliwa mbali. Hivyo kuruhusu wananchi kutoa maoni yao kwa uhuru bila hofu ya kufunguliwa mashtaka kama ilivyokuwa siku za nyuma," alisema.
Zambia ilipata uhuru kutoka kwa Waingereza mwaka 1964. Taifa hilo la kusini mwa Afrika lina watu milioni 18.
===================
Zambian rights activists Saturday hailed as a "huge milestone" a decision to scrap two British colonial-era laws: the death penalty and making criticism of the country's leader a punishable offence.
President Hakainde Hichilema, whose party was in opposition for over two decades, had promised that he would scrap the laws if elected to the top job.
"President Hakainde Hichilema has assented to the penal code of 2022 abolishing the imposition of the death penalty and the offence of criminal defamation of the president, which has been on the Zambian statute books since (the) pre-independence era," presidential spokesman Anthony Bwalya said in a statement on Friday.
Human rights activist Brebner Changala said the decision was a "huge milestone in the removal of colonial laws that do not fit in the democratic dispensation of the country".
The executive director of the Centre for Policy Dialogue Caroline Katotobwe said Zambians would now speak freely.
"As stakeholders we are elated that this repressive law is finally done away with. Thus, allowing citizens to freely express their views without fear of prosecution as was the case in the past," she said.
Zambia gained independence from British rule in 1964. The southern African nation is home to 18 million people.
AFP