Rais Dk. John Magufuli kuhamia Dodoma

Rais Dk. John Magufuli kuhamia Dodoma

Nimepewa tetesi kuwa Rais Magufuli kakataa kuishi Dar na ameagiza kuhamishiwa Dodoma yalipo makao makuu ya nchi.

Mlio jikoni tupeni uhalisia wa hili.

Safi sana. Kama makoa makuu ya nchi yapo Dodoma basi serikali ihamie huko. Mbona watakoma wengi, Mabalozi wote watahamia Idodomia another bonge la infrastructure ya nguvu itatokea.
 
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto

Oyaaah! Kitu kimoja ujue Tz hatuna dual citizenship, nakushauri TUACHIE nchi yetu, naona unadandia dandia tu, kuna comment moja ktk uzi wa mtu humu ile ya Serengeti kutangazwa online huko china UMEJINADI kama Mkenya, sasa nakushangaa unavyojipendekeza ktk mambo ya Tz. BOUNCE! Tuache tujadili ya kwetu. Kina jikwaa la wakenya, nenda huko!
 
Niomeona jana kwenye taarifa ya habari usiku itv wakionesha
mafundi wakikarabati nguzi za umeme huko kwenye makazi ya Rais
Chamwino (Camp david ya magogoni). Inasemekana mkulu wa kaya
Magufuli amependelea kuiendeleza ikulu hiyo kama alivyofanya baba
wa Taifa.

Wananchi wa eneo lile walivyo hojiwa na mwandishi wa habari walionesha kufurahia
sana kufufuliwa kwa makazi hayo madogo ya Rais na walisema sasa huo utakuwa
ni mwanzo mzuri wa wao kupata huduma za kijamii kama maji, umeme, barabara, shule n.k
 
Last edited by a moderator:
Ujanja ujanja tuu wa CCM watu tunasuburi kazi sipo porojo tuu mara atembelea muhimbili,mara sijui ashtukiza bank kuu.come on ..tunataka mambo ya misingi..Ahamie Dodoma ???? Ni ngumu kuliko alivyobebwa na kuingia Ikulu...
 
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto

Ukitaka mabadiliko zaidi ya kasi anayokwenda nayo Magufuli, basi we zungusha mikono tu, mbele mara 2 na zungusha kurudi nyuma mara 3, vp, unajisikiaje mwilini!? huoni kama kajasho kidogo,! hayo tayari sasa ndio mabadiliko ya malofa.
 
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto
Tunajua wewe ni miongoni mwa yale mashetani ya ukawa ambayo hayapendezwi na pilika pilika nzuri za Dr wa ukweli
 
Safi ahamie huko kabisaaaa na iwe ni ya kudumu. Baibai magufuli
 
Mods wa JF muwe mnajiamini bwana. Kulikuwa na sababu gani ya kuuondoa huu uzi halafu mnaurudisha tena. Mnaogopa attacks siyo? Jikazeni.
 
Hueleweki mtanzania mkenya maana umekaa neutral, ukisikia mazuri ya Kenya unakuwa mkenya, ukiona zuri la huku unakuwa Mtz, hebu simama sehemu moja maana sisi Dual citizen

Mkuu, asikuumize kichwa huyo, hao si ndio wale wahuni aliowakodi Lowassa kutoka kenya, kuwadi wao mkuu ni yule aliekamatwa na kova
 
Akifanya hivyo hakika atakuwa anaichukia anasa kwa vitendo.



Japo nawaza kwa sauti haitatokea...alishindwa JKN
 
ofisi ya
1. Rais
2. makamu wa Rais
3. waziri Mkuu

kama kweli nchi itahamia
Dodoma hutabadilika sana
foleni zitahamia dodoma
 
Back
Top Bottom