Watu wngi hapa nchini wamekuwa wakitumia nukuu mbalimbali za Mwl Nyerere pale wanapotaka kukosoa ama ku-support jambo fulani. Nilifuatilia kwa makini moja ya hotuba zake akiwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM na alisema,
Nanukuu" KATIKA MFUMO HUU WA VYAMA VINGI, RAIS ANAWEZA KUTOKA KATIKA CHOCHOTE. LAKINI, RAIS BORA NI LAZIMA ATOKE CCM!
Tatizo letu sisi Watanzania tumekuwa kama bendera, tunafuata upepo unapovuma. Kama kweli tunampenda na kumthamini na kuthamini mawazo na hekima za Mwl Nyerere, hatuna budi kumchagua JK na hapo ndipo tutakuwa tunamuenzi Baba wa Taifa ktk hii miaka 11 ya kifo chake.
Nanukuu" KATIKA MFUMO HUU WA VYAMA VINGI, RAIS ANAWEZA KUTOKA KATIKA CHOCHOTE. LAKINI, RAIS BORA NI LAZIMA ATOKE CCM!
Tatizo letu sisi Watanzania tumekuwa kama bendera, tunafuata upepo unapovuma. Kama kweli tunampenda na kumthamini na kuthamini mawazo na hekima za Mwl Nyerere, hatuna budi kumchagua JK na hapo ndipo tutakuwa tunamuenzi Baba wa Taifa ktk hii miaka 11 ya kifo chake.