wabungenjaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,782
- 336
Hii ni kutokana na misingi bora na imara ya kiuongozi na maadili ambayo imejengwa ndani ya ccm kuanzia ngazi za chini hadi juu.utaratibu wa kushughulikia matatizo na kuwajibishana kwa haki bila kuonea. Pia kupitia tanuru la kuoka viongozi yaani uvccm ni ukweli kuwa chama hiki ndio kimebeba tumaini la kweli la mtanzania masikini na mnyonge