Rais bora atatoka CCM - Mwalimu Nyerere

URASA, kila mbaya ana mazuri yake. Kikwete ni bora na CCM ni bora zaidi. Hata wewe nikikuambia utaje mazuri na mabaya ya JK, mazuri yatakuwa mengi kuliko mabaya. Sir R, hata Dar haikujengwa ndani ya siku moja. Shule zimejengwa na zitaimarika tu. Je, unajua ktk matokeo ya form 4 mwaka huu, shule za kata zilifanya vema zaidi!!! Ni kweli zimejengwa na wananchi, ila uhamasishaji ni CCM ya JK. Mbona enzi za MKAPA na MWINYI hazikujengwa? Au wananchi hawakuwepo

TUPE TAFSIRI YA SHULE KWANZA? HIYO 70% KUPATA DIVISION 4 NDIO KUFANYA VIZURI? yOU MUST BE JOKING
 
waliwaambia kuwa kila alilosema nyerere ni sahihi wakati wote? acheni kuwa kama makasuku wa kukariri kila kitu. wakati umebadirika na watu wanazidi kukua kisiasa. Ndio maana mwaka huu wamama kwa wababa wanajitokeza kwa maelfu kwenye kampane kumsikiliza Dr. slaa na Chadema kwa maana wana amini kuwa ni tumaini jipya kwa maisha ya watanzania. Maana kikwete na maisha bora kwa kila mtanzania wameshindwa kuonekana katika miaka mitano
 
Sio lazima tukubaliane na Nyerere katika kila jambo kwani mengine alizungumza kutokana na mapenzi yake juu ya jambo fulani, mfano hiyo kauli.
 
urasa, kila mbaya ana mazuri yake. Kikwete ni bora na ccm ni bora zaidi. Hata wewe nikikuambia utaje mazuri na mabaya ya jk, mazuri yatakuwa mengi kuliko mabaya. Sir r, hata dar haikujengwa ndani ya siku moja. Shule zimejengwa na zitaimarika tu. Je, unajua ktk matokeo ya form 4 mwaka huu, shule za kata zilifanya vema zaidi!!! ni kweli zimejengwa na wananchi, ila uhamasishaji ni ccm ya jk. Mbona enzi za mkapa na mwinyi hazikujengwa? Au wananchi hawakuwepo

nani kakuambia kazi ya serikali ni kuhamasisha,yaani tupoteze mabilioni ya fedha kumchangua rais na serikali ambayo itaishia kuhamasisha wananchi watumie raslimali zao kujenga shule hafifu na zisizo na ubora wowote huku rais na serikali yake wakifuja fedha na raslimali zote wanazokusanya na zilizo chini yao kwa niaba ya watanzania badala kuzitumia kuwaletea wananchi maendeleo.

Milioni mia moja inatosha kujenga shule moja ya sekondari yenye maabara, mabweni , nyumba za waalimu na huduma zote muhimu za kufundishia. Hivyo bilioni 133 za epa zilizofujwa na viongozi wa ccm zingetosha kujenga shule 1330.

Misamaha ya kodi mikubwa inayozidi kiwango kinachopendekezwa na wataalamu wa uchumi kunalikosesha taifa zaidi ya bilioni 500 katika bajeti ya 2010.11 pekee. Mingi ya misamaha hii inatokana na wawekazaji wa sekta ya madini kusamehewa kodi za mafuta, halafu madini wanayochinba pia taifa limnapata mrahaba kidogo sana wa 3% tuu, ilihali afrika kusin inachukua mrahaba wa 12% kutoka katika uchimbaji wa dhahabu.

Kiasi hicho cha bilioni 500 kwa mwaka kingetosha kujenga shule 5000 kila mwaka (hivi sasa tanzania ina shule za sekondari 4102, 2009) na hivyo kuondoa kabisa tatizo la uhaba wa shule za sekondari, madarasa, madawati, mabweni, nyumba zawaalimu n.k
.

je katika miaka mitano ya jakaya kikwet ni kiasi gani cha fedha kimepotea kama misamaha ya kodi isiyo ya lazima na kiasi hicho kingeweza kuwapatia watanzania maendeleo kiasi gani?
 
Watu wngi hapa nchini wamekuwa wakitumia nukuu mbalimbali za Mwl Nyerere pale wanapotaka kukosoa ama ku-support jambo fulani. Nilifuatilia kwa makini moja ya hotuba zake akiwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM na alisema, na nukuu" KATIKA MFUMO HUU WA VYAMA VINGI, RAIS ANAWEZA KUTOKA KATIKA CHOCHOTE. LAKINI, RAIS BORA NI LAZIMA ATOKE CCM! Tatizo letu sisi Watanzania tumekuwa kama bendera, tunafuata upepo unapovuma. Kama kweli tunampenda na kumthamini na kuthamini mawazo na hekima za Mwl Nyerere, hatuna budi kumchagua JK na hapo ndipo tutakuwa tunamuenzi Baba wa Taifa ktk hii miaka 11 ya kifo chake.[/QUOTE]

Hiyo unaweza kufanya wewe na ukoo wenu.
 
Watu wngi hapa nchini wamekuwa wakitumia nukuu mbalimbali za Mwl Nyerere pale wanapotaka kukosoa ama ku-support jambo fulani. Nilifuatilia kwa makini moja ya hotuba zake akiwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM na alisema, na nukuu" KATIKA MFUMO HUU WA VYAMA VINGI, RAIS ANAWEZA KUTOKA KATIKA CHOCHOTE. LAKINI, RAIS BORA NI LAZIMA ATOKE CCM! Tatizo letu sisi Watanzania tumekuwa kama bendera, tunafuata upepo unapovuma. Kama kweli tunampenda na kumthamini na kuthamini mawazo na hekima za Mwl Nyerere, hatuna budi kumchagua JK na hapo ndipo tutakuwa tunamuenzi Baba wa Taifa ktk hii miaka 11 ya kifo chake.

To hell with your history, so tuvumilie tu hata kama ni madudu kwa kuwa Mwalimu alisema? Yes, may be alisema but sidhani kama alimaanisha Raisi Bora ni yule anayewakumbatia mafisadi.
 
.... Kama Jk ni bora mbona hakumpa madaraka!! Acha mambo ya copy and paste. Chambua! sio kila aliye CCM ni bora. Walio bora akina Dr.Salim Ahmed SAlim haki zao zilinyongwa na hawa wasio bora. Dr.Slaa aligombea ubunge CCM mizengwe ikatawala. Kama ndo hivyo basi anafaa; kama hoja ni kuwa ulikuwa wapi!! Pole !!!
 
Watu wngi hapa nchini wamekuwa wakitumia nukuu mbalimbali za Mwl Nyerere pale wanapotaka kukosoa ama ku-support jambo fulani. Nilifuatilia kwa makini moja ya hotuba zake akiwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM na alisema, na nukuu" KATIKA MFUMO HUU WA VYAMA VINGI, RAIS ANAWEZA KUTOKA KATIKA CHOCHOTE. LAKINI, RAIS BORA NI LAZIMA ATOKE CCM! Tatizo letu sisi Watanzania tumekuwa kama bendera, tunafuata upepo unapovuma. Kama kweli tunampenda na kumthamini na kuthamini mawazo na hekima za Mwl Nyerere, hatuna budi kumchagua JK na hapo ndipo tutakuwa tunamuenzi Baba wa Taifa ktk hii miaka 11 ya kifo chake.

1. CCM Si mama yangu (Nyerere). Huwezi kuchagua mama, lakini CCM watanzania wameitosa, CCM si mama yao.
2. Kiongozi anayekimbilia ikulu hafai, hatufai, ni wa kuogopa kama ukoma (Nyerere). JK anakimbilia ikulu kuna nini?
3. Kuna mtoa rushwa alidai kuiweka serikali mfukoni, akafukuzwa nchini (Nyerere). Kikwete amewekwa mfukoni na watoa rushwa
4.
5.
6.
 
Watu wngi hapa nchini wamekuwa wakitumia nukuu mbalimbali za Mwl Nyerere pale wanapotaka kukosoa ama ku-support jambo fulani. Nilifuatilia kwa makini moja ya hotuba zake akiwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM na alisema, na nukuu" KATIKA MFUMO HUU WA VYAMA VINGI, RAIS ANAWEZA KUTOKA KATIKA CHOCHOTE. LAKINI, RAIS BORA NI LAZIMA ATOKE CCM! Tatizo letu sisi Watanzania tumekuwa kama bendera, tunafuata upepo unapovuma. Kama kweli tunampenda na kumthamini na kuthamini mawazo na hekima za Mwl Nyerere, hatuna budi kumchagua JK na hapo ndipo tutakuwa tunamuenzi Baba wa Taifa ktk hii miaka 11 ya kifo chake.

Mwalimu alizungumzia viongozi wenye sifa ndani ya CCM wakati huo lakini hakumaanisha kuwa CCM always itakuwa ndiyo yenye wanachama wanaozaliwa viongozi bora. Nadhani ilikuwa 1995 au kabla yake. Kwa hiyo, lazima tufanye 'contextualisation'. Leo hii viongozi bora siyo lazima wawe ndani ya CCM.

Naamini kama Mwalimu angekuwa hai angekuwa ameshahama CCM kwa kuona mambo wanayotetea. Mwanzoni walidai ufisadi Tanzania hakuna na waliokuwa wakidai upo walikuwa wakikuza tatizo bure. Si mnakumbuka hata Speaker Sitta alivyokuwa anmtesha Dr Slaa na kumwmbia afute kauli yake au aongelee kitu tofauti?

Leo hii wanajidai ndio walioanzisha hoja ya ufisadi na eti wanawajali wakulima na wafanyakazi. Nikisikia maneno kama haya najisikia vibaya sana. Yaani, viongozi wetu wamepoteza mwelekeo kiasi kwamba hawawezi tena kutofautisha umaskini na maendeleo au elimu bora na bora elimu. Ukisikiliza hotuba au michango yao wakiulizwa maswali na waandishi wa habari unaweza hata kuomba ardhi ipasuke ikumeze. Leo nimemsikia balozi wa Tanzania Washington enzi za mwisho wa uongozi wa Nyerere akisema mambo yote ya msingi aliyoyasisitiza Mwalimu yanatekelezwa na serikali ya awamu ya nne. When I heard it I nearly fainted!
 
Mara kumi atoke kwa shetani, lakini siyo CCM Chama Cha Maharamia.

Hivi mbona vichwa vyenu vina kutu?

Hivi hamuamini siku za CCM zinahesabika??
 
"Rais anaweza kutoka chama chochote lakini Rais bora anatoka CCM" hayo ni maneno ya Mwalimu Nyerere lakini kambuka Dr silaa alikua CCM na CCM ndio wame mtengeneza wao wenyewe na wakamfanyia fitina katika mbio za ubunge kwenye kura za maoni wakamtoa sasa kwa vile yeye hakukubaliana na wajinga walioko CCM akaamua kua jasili na kwenda CHADEMA, Sasa kama alitokea CCM basi anafaaa kabisa kuwa RAis bora maana msingi wake umetokea CCM sasa inashindikanaje Dr Silaa Kuingia Ikulu.

Watanzania tuache Ujinga tukubali mabadiliko Ikulu ni ofisi ambayo ina miiko yake so mtu mwingine atakae ingia wa chama kingine atafata miiko tu ya ikulu na pia watu watampima kutokana na utendaji wake sio tunakuwa na mtu ambaye analeta ahadi nyingi mno wakati hata zile aliyo zitooa hata nusu hazikufika, Sera ya elimu Bure inakuwa haiwezekani kisa wanaonadi sera hiyo ni wapinzani CCM je hizo ahadi zilizo tolewa gharama si ni zaidi hata ya gharama ya kuwapa elimu bure wantanzani kwanini ishindikane ???? "it time for change"
 
MWALIMU alitabiri kuwa CHADEMA itakuja kuchukua madaraka! Na angekuwa hai leo angejiunga na CHADEMA unless majina ya Mramba, Chenge, Lowasa, Rostam yangeondolewa kwenye kinyang'anyiro. Mimi pia nimejiunga na CHADEMA kumuenzi Mwalimu kwa kukataa ufisadi ndani ya Chama alichokiasisi. Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani.
 
Watu wngi hapa nchini wamekuwa wakitumia nukuu mbalimbali za Mwl Nyerere pale wanapotaka kukosoa ama ku-support jambo fulani. Nilifuatilia kwa makini moja ya hotuba zake akiwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM na alisema, na nukuu" KATIKA MFUMO HUU WA VYAMA VINGI, RAIS ANAWEZA KUTOKA KATIKA CHOCHOTE. LAKINI, RAIS BORA NI LAZIMA ATOKE CCM! Tatizo letu sisi Watanzania tumekuwa kama bendera, tunafuata upepo unapovuma. Kama kweli tunampenda na kumthamini na kuthamini mawazo na hekima za Mwl Nyerere, hatuna budi kumchagua JK na hapo ndipo tutakuwa tunamuenzi Baba wa Taifa ktk hii miaka 11 ya kifo chake.

Labda mtu mwingine toka CCM aliyeonesha kujitolea kupigania maslahi ya wengi kama Mwakyembe lakini si huyu Kikwete!
 
1. CCM Si mama yangu (Nyerere). Huwezi kuchagua mama, lakini CCM watanzania wameitosa, CCM si mama yao.
2. Kiongozi anayekimbilia ikulu hafai, hatufai, ni wa kuogopa kama ukoma (Nyerere). JK anakimbilia ikulu kuna nini?
3. Kuna mtoa rushwa alidai kuiweka serikali mfukoni, akafukuzwa nchini (Nyerere). Kikwete amewekwa mfukoni na watoa rushwa
4. Tunataka rais anayechukia rushwa kwa dhati siyo unayemwangilia unasema ''huyu'' (Nyerere) Kikwete ni mshirika wa wala rushwa
5. CCM imepoteza dira (Nyerere)- Kitabu cha Uongozi na hatima ya Tanzania. CCM imegeuka kuwa chama cha maharamia
6.
 
ata nyerere aliwakusema ccm si baba si mama yangu na alisema upinzani wa kweli utatoka ccm so soon itatokea wait and see
 
1. CCM Si mama yangu (Nyerere). Huwezi kuchagua mama, lakini CCM watanzania wameitosa, CCM si mama yao.
2. Kiongozi anayekimbilia ikulu hafai, hatufai, ni wa kuogopa kama ukoma (Nyerere). JK anakimbilia ikulu kuna nini?
3. Kuna mtoa rushwa alidai kuiweka serikali mfukoni, akafukuzwa nchini (Nyerere). Kikwete amewekwa mfukoni na watoa rushwa
4. Tunataka rais anayechukia rushwa kwa dhati siyo unayemwangilia unasema ''huyu'' (Nyerere) Kikwete ni mshirika wa wala rushwa
5. CCM imepoteza dira (Nyerere)- Kitabu cha Uongozi na hatima ya Tanzania. CCM imegeuka kuwa chama cha maharamia
6.

point hizo zinatosha kabisa
 
Wakati ule Nyerere alikuwa anazungumzia specifically kuhusu uchaguzi wa 1995 kwa sababu ni kweli hakukuwa na chama chochote cha upinzani kilichokuwa madhubuti wakati ule, na hakukuwa na mtu aliyeonyesha angeweza kushika madaraka ya urasi kutoka upinzani. Kwa sasa CCM imeshapoteza mwelekeo na kuna mpiganaji kwa jina la Dk SLAA anayeweza kuendesha hii nchi kwa ufanisi zaidi kuliko huyo wa CCM.
 
Watu wngi hapa nchini wamekuwa wakitumia nukuu mbalimbali za Mwl Nyerere pale wanapotaka kukosoa ama ku-support jambo fulani. Nilifuatilia kwa makini moja ya hotuba zake akiwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM na alisema, na nukuu" KATIKA MFUMO HUU WA VYAMA VINGI, RAIS ANAWEZA KUTOKA KATIKA CHOCHOTE. LAKINI, RAIS BORA NI LAZIMA ATOKE CCM! Tatizo letu sisi Watanzania tumekuwa kama bendera, tunafuata upepo unapovuma. Kama kweli tunampenda na kumthamini na kuthamini mawazo na hekima za Mwl Nyerere, hatuna budi kumchagua JK na hapo ndipo tutakuwa tunamuenzi Baba wa Taifa ktk hii miaka 11 ya kifo chake.


You can fool some people some time, BUT you can not fool all the people all the time!!!!!!
 
1. CCM Si mama yangu (Nyerere). Huwezi kuchagua mama, lakini CCM watanzania wameitosa, CCM si mama yao.
2. Kiongozi anayekimbilia ikulu hafai, hatufai, ni wa kuogopa kama ukoma (Nyerere). JK anakimbilia ikulu kuna nini?
3. Kuna mtoa rushwa alidai kuiweka serikali mfukoni, akafukuzwa nchini (Nyerere). Kikwete amewekwa mfukoni na watoa rushwa
4.
5.
6.

4. Kama JK ni mtu safi kabisa sikutegemea asimame mbele za wananchi wenye uchungu na nchi yao awanadi kwa wapiga kura akina
Lowasa, Mramba na Rostam . Ni aibu its true the birds of the same feather they nomally fly together. Watanzania hebu tubadilke, nchi
hii hatukupewa na Mungu ili CCM itawale pekee yake kuna watu wanhgi tu wazuri, kwa hio watanzania tutoe woga the natural death for
CCm will be 31 October 2010.
 
Wakati ule Nyerere alikuwa anazungumzia specifically kuhusu uchaguzi wa 1995 kwa sababu ni kweli hakukuwa na chama chochote cha upinzani kilichokuwa madhubuti wakati ule, na hakukuwa na mtu aliyeonyesha angeweza kushika madaraka ya urasi kutoka upinzani. Kwa sasa CCM imeshapoteza mwelekeo na kuna mpiganaji kwa jina la Dk SLAA anayeweza kuendesha hii nchi kwa ufanisi zaidi kuliko huyo wa CCM.



There yo u are
Ni kweli Nyerere alisema hayo kwa kipindi kile, sio leo, kwa leo iongozi bora lazima atoke Chadema
 
Back
Top Bottom