Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,122
- 6,345
Ni rais wa awamu ya sita lakini kama wewe hupendi kusikia hivyo basi endelea na mawazo yako hakuna anayekukataza.
rudishule ukasome halafu uje tena humu utoe ushuzi wako huoKwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?
Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?
Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Urais habadirishi jinsia ya mtu.
Ccm mmezoea kutukuzana huku mnatenda maovu
Eti mheshimiwa,wakati unaiba pesa za umma
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Lakini anaongoza nchi vyema,Sasa anakaribia kutimiza miezi 9 madarakani.Hiyo ni kauli ya wajinga wa ccm,yule ni raisi kwa ticket ya katiba,hana tofauti na viti maalum
Nadhani hiyo Ni kwa mujibu wakoWajinga bado tu? Awamu haijawekwa kwenye katiba. Kilichowekwa kwenye katiba ni mihula miwili ya miaka mitano mitano kuwa ndiyo ukomo
Awamu zinaweza kuwa hata kumi mdani ya miaka mitano. Rais anaweza kuchaguliwa akafa baada ya wiki 2 awamu hapo imeisha.
Anakuja mwingine anajiuzulu baada miezi 3 awu yake I akuwa pia imepita...n.k
Wajinga mpo?
Hakuna anayebisha kuwa si Rais wa Sita. Ila hili la hawamu linahitaji ufafanuziRaisi aliapishwa na jaji mkuu kwa mujibu wa katiba ni Raisi wa 6 wa Tanzania.
Ndo maana kuna watu wanadai katiba mpya, hii ya Sasa hata Salum mwalimu angeweza kuwa rais wa jmt.Naelewa na ndiyo maana Utawala wao ukaitwa awamu ya tano sasa ajabu kwa nini yeye anajitaa ni Rais wa awamu ya sita?!
Sheria au kifungu kipi kinatambulisha awamu ya serikali.?Hakuna anayebisha kuwa si Rais wa Sita. Ila hili la hawamu linahitaji ufafanuzi
Umeelewa hoja ya mleta uzi au ndio kukurupuka kama kawaida!!??Samia Suluhu Hassan ni Rais halali wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Sasa sijui wewe unaiongelea katiba ipi
Labda kwanza ungelijaribu kutafuta maana halisi ya neno awamu na ni nani aliyeanza kulitumia katika mazingira ya siasa za tanzania.Kwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?
Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?
Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Acha kulia,fanyakazi,upate maendeleo.Mama ameshakuwa Rais,na tabakiwa kuwa amekuwa Rais,Mh Mama Samia,kipenzi cha watanzania halisi.Kwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?
Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?
Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Umemaliza mjadala.Mwambie mleta uzi,aache kulia lia,afanyekazi.Mama ndio Rais wetu Mpendwa.kama ulikuwa unamtambua jpm, basi na huyu mama alichaguliwa, hata kama wewe haukumchagua. kwenye picha ya jpm alikuwa anapigiwa pia huyu. au huelewi hilo?
vikundi vya 'atake asitake' vipo bado ?.... wachamba wima haoSamia ndo Rais wa Awamu ya 6 na yupo Madarakani hadi 2030 utake usitake
Itakuwa kakuelewa,umefafanua vizuri.Samia Suluhu Hassan ni Rais halali wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Sasa sijui wewe unaiongelea katiba ipi
Huu ndio ukweli.Samia ndo Rais wa Awamu ya 6 na yupo Madarakani hadi 2030 utake usitake