Rais awamu ya Sita alichaguliwa na nani?

Huu ujinga tumepigana nao Sana lkn bado unaendelea kutamalaki.

Naandika tena kwa faida ya wajinga wengine.

Awamu ni kichwa Cha rais na legacy yake. Awamu siyo vipindi vya urais Kama ilivyobainishwa na katiba.


Ndiyo maana Zanzibar iko awamu ya 8.

Wajinga wote mmeelewa Sasa??
Hivi katiba unasemaje katika Hili? Tusiandike kwa uelewa wetu hebu tuweke na virungu vya katiba yetu. Inawezekana wajinga tu wengi hapa tupate elimu sahihi.
 
Raisi mpya anapoingia madarakani kisheria inakuwa ni awamu mpya .! Bila kujali kaingiaje na ana ruksa ya kuingia na sera zake mwenyewe bila kufuata za mtangulizi wake, sio Tanzania tu hii ni sheria ya kikatiba ya nchi nyingi tu duniani.

Na ndio sababu awamu ya sasa inaitwa awamu ya 6 kwa sababu Samia ni raisi wa 6 kushika madaraka ya Tanzania.
Type hicho kifungu Cha Sheria mkuu usiandike tu kujifurahisha, tupe kifungu hicho Cha Sheria ili tuelimike na sisi na mjadala ufungwe
 
Hivi katiba unasemaje katika Hili? Tusiandike kwa uelewa wetu hebu tuweke na virungu vya katiba yetu. Inawezekana wajinga tu wengi hapa tupate elimu sahihi.
Huyo hawezi kukuelewesha chochote, na wala katiba haisemi kitu kuhusu mambo ya "Awamu."
 
Samia ndo Rais wa Awamu ya 6 na yupo Madarakani hadi 2030 utake usitake
okay
JamiiForums1021584966.jpg
 
Jikite kwenye hoja
Hakuna hoja yoyote hapo. Habari za awamu ni porojo tu za mtaani na mtandaoni. Hivi umewahi kusikia hata mtu mmoja bungeni au kwenye chombo chochote makini wakijadili Habari ya hii ni awamu ya ngapi au mnademka tu mtandaoni. SSH ndie amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa JMT. ZOEENI
 
Hivi katiba unasemaje katika Hili? Tusiandike kwa uelewa wetu hebu tuweke na virungu vya katiba yetu. Inawezekana wajinga tu wengi hapa tupate elimu sahihi.
Wajinga bado tu? Awamu haijawekwa kwenye katiba. Kilichowekwa kwenye katiba ni mihula miwili ya miaka mitano mitano kuwa ndiyo ukomo

Awamu zinaweza kuwa hata kumi mdani ya miaka mitano. Rais anaweza kuchaguliwa akafa baada ya wiki 2 awamu hapo imeisha.

Anakuja mwingine anajiuzulu baada miezi 3 awu yake I akuwa pia imepita...n.k

Wajinga mpo?
 
Kwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?

Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?

Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Kama hujui kitu ukae kimya,kasome katiba ujue,huyu mama amechaguliwa na watanzania

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?

Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?

Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Kwanza na Mungu pili na wananchi.

Wakati wa kampeni yule aliyeitwa gari ya mkaa tripu 1 gereji wiki alizunguka mikoa isiyozidi 10 huku Samia akifika mikoa yote.
 
inaitwa awamu ya tano rais wa 6 ndivyo tulivyo kubaliana

Rais wa (number) hiyo namba ndio awamu yenyewe. Hauwezi kuwa na Rais wa sita awamu ya tano. Hii ni awamu ya Sita chini ya Rais Samia.
 
Kwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?

Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?

Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Walimdanganya wahuni. Hapakuwa na kuita awamu ya 6. Yeye angeendelea na awamu ya 5.
 
Kwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?

Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?

Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Mkuu kwani hujui kuwa Rais na Makamu wanachaguliwa pamoja, Ndio maana ya neno Tiketi, Wanasafiri kwa tiketi moja.
 
kama ulikuwa unamtambua jpm, basi na huyu mama alichaguliwa, hata kama wewe haukumchagua. kwenye picha ya jpm alikuwa anapigiwa pia huyu. au huelewi hilo?
Ni kweli alikuwepo kwenye picha lakin tulikuwa tunachagua awamu ya Tano, hivyo nami nafikiria ni awamu ya Tano
 
Maswali mengine bhana sasa kwa hiyo wewe unaonaje ! Katika uzi nilizowai kuzisoma hapo jf katika uzi za kijinga huu ndio namba moja .jamani humu sio FB kila picha au maneno una post tu khebu jifikirieni kwanza ndio mpost uzi zenye akili .alafu hapo hapo washika dau wakikufutieni mnalalamika .ni bora mkae kimya tu
 
Type hicho kifungu Cha Sheria mkuu usiandike tu kujifurahisha, tupe kifungu hicho Cha Sheria ili tuelimike na sisi na mjadala ufungwe
Raisi aliapishwa na jaji mkuu kwa mujibu wa katiba ni Raisi wa 6 wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom