Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 30,010
Nan amekutishia na bastola mkuu mbna hii ni free world unaweza zungumza unachojiskia bila kuvunja sheria.Mihimili ya mahakama na wa bunge iliwakilishwa na nani.
Mbona kwa Aboud Jumbe walitii bila shuruti maelekezo ya familia.
Nyie ndio mnajifanya usalama wa taifa na kutishia watu mabastora!!!!
La msing wewe amin kwa upande wako na mm ntaamin kwa upande wangu pia