Rais amegonga oale ambapo ni shida sana wengi kutamka. Tatizo ni kubwa, wanaume wanaficha wenzi waliozaa nao, wanawake wa ndoa wanadai wao ndio wana haki, shria zinanyima haki watoto ambao hawajulikani hata wakijitokeza (labda mtoto huyo awe na tajiri), makanisa hayawataki watoto wa nje, waislamu wanawaita wanaharamu, lakini kwa mila zetu mwanaume akizaa mtoto huyo ni wake, halali.
Kwa hiyo Magufuli alikuwa halali kwa mila zetu za Kiafrika.
Halafu inakuwaje mtu ambaye hakuwepo wakati mtu anazaa na huyo mpenzi au mke wake lakini anakuwa kimbelembele kumkana mtoto anayejitokeza kuwa ni mtoto wa marehemu.