Nicodemas Tambo Mwikozi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 663
- 1,047
UKIJIONDOA KTK MSAFARA UTAWEZA KUIELEWA DHAMIRA YA MANENO YA MH MAGUFULI KTK MSIBA WA MASABURI
Magoiga SN-Mwanza
Yeyote aliyezaliwa katika ndoa za mitaala atakuwa amemuelewa sana mh Rais na hususani ushauri wake kwa familia ya marehemu masaburi.
Watu wengi wamenifuata Inbox kutaka kujua ni nini mtazamo wangu kuhusu hili suala. Wengi wameonyesha kulalamika na kumlaumu Mh Rais kwa maneno yake aliyoyasema msibani. Kwa kuwa ni vigumu kumjibu kila mtu inbox kuhusu mtazamo wangu ktk hili, naomba nitumie fursa hii kukushirikisha ili tuweze kutafakari pamoja.
i) Kwanza kabla ya mazishi, ulizuka mvutano mkubwa sana kuhusiana na wapi mwili wa marehemu uhifadhiwe. Kila familia ilitaka mwili ufikie kwao. Mvutano ulikuwa mkubwa sana kila familia ikitaka japo mwili ukalale ktk familia yao mara moja mara moja kabla ya kuzikwa. Hivyo mwili wa Marehemu ulipitishwa kila familia. Je unalijua hilo??
ii) Kwanza Mh Rais aliongea yale maneno kama rafiki wa familia, aliyeijua vyema familia ya marehemu na kama mtu ambaye asingependa siku za usoni familia ile ikaingia ktk mgogoro mkubwa.
iii) Kuna mahala aliwaasa vijana/watoto wa marehemu kuwa, wakishikamana wataweza kuwaunganisha mama zao. Alisisitiza mshikamano maana alijua kuna shida mahala na inaweza kuleta shida siku za usoni.
iv) Ushauri unaotolewa mbele ya marehemu unaweza kuwasaidia sana watoto na familia inayobaki ktk kujitafakari pale panapohitaji kufanya hivyo.
V) Sote tunajua, mzee wa familia anapofariki mambo mengi huenda kombo, familia huparaganyika kutokana na kugombania mali, mgawanyo usio sawa nk. Hususani ktk hizi ndoa za kimila
vi) Katika ndoa za mitaala Afrika, familia yenye financial power ndiyo inayohodhi kila kitu ikiwemo haki ya mazishi, usimamizi wa mirathi nk
MR RAIS ALIKOSEA AU ALIKUWA SAWA??
Hilo swali sina jibu lake maana kusema alikosea au alikuwa sawa inategemea sana uwezo binafsi wa mtu mmoja mmoja ktk kuitumia vyema akili yake kulitafakari suala hilo. Hivyo nitakachokifanya ili kulijibubswalinhilo, nitkuuliza mswali yenye mwongozo ili utumie muda wako kuyatafakari na kulijibu swali hilo kadiri ya uelewa wako
Akili ndogo hulalama badala ya kujihoji. Hivyo badala ya kubaki ukilalama ni vyema ujaribu kuyatafakari maswali haya ili uoate jibu iwapo Mh Rais alikuwa sawa au hakuwa sawa
i) Je ni kweli masaburi alikuwa na mke mmoja pekee?? Nini tafsiri ya Mke, na ndoa.
iii) Je ni kweli alikuwa na watoto 5 pekee?? Nini tafsiri ya watoto??
iv) Je ktk familia zetu za Kiafrika kuna wakati baadhi ya watoto hukosa stahiki zao pindi mzazi anapofariki?? Taja mazingira ambayo yamekuwa yalisababisha watoto na wajane kukosa stahiki zao
v) Kama alikuwa na watoto zaidi ya 20, na wake zaidi ya 4. Ila wanaotajwa ni mke mmoja na watoto 5. Unategemea kutakuwepo na amani ktk familia hiyo baada ya marehemu kuondoka?? Au tutegemee magazeti kuanza kuripotinkuhusu mgogoro wa kugombania mali za urithi nk?
#My_Take Kuna wakati mtu unahitaji kuondoka ktk msafara wa Nyumbu ukae pembeni ndipo unapoweza Kuyaona mambo ktk mtazamo tofauti 'in a different perspective'. Bika hivyo, utakiwa unawaza kinyumbu nyumbu kwa kutegemea akili ya anayeongiza msafara wenu
Magoiga SN-Mwanza
Yeyote aliyezaliwa katika ndoa za mitaala atakuwa amemuelewa sana mh Rais na hususani ushauri wake kwa familia ya marehemu masaburi.
Watu wengi wamenifuata Inbox kutaka kujua ni nini mtazamo wangu kuhusu hili suala. Wengi wameonyesha kulalamika na kumlaumu Mh Rais kwa maneno yake aliyoyasema msibani. Kwa kuwa ni vigumu kumjibu kila mtu inbox kuhusu mtazamo wangu ktk hili, naomba nitumie fursa hii kukushirikisha ili tuweze kutafakari pamoja.
i) Kwanza kabla ya mazishi, ulizuka mvutano mkubwa sana kuhusiana na wapi mwili wa marehemu uhifadhiwe. Kila familia ilitaka mwili ufikie kwao. Mvutano ulikuwa mkubwa sana kila familia ikitaka japo mwili ukalale ktk familia yao mara moja mara moja kabla ya kuzikwa. Hivyo mwili wa Marehemu ulipitishwa kila familia. Je unalijua hilo??
ii) Kwanza Mh Rais aliongea yale maneno kama rafiki wa familia, aliyeijua vyema familia ya marehemu na kama mtu ambaye asingependa siku za usoni familia ile ikaingia ktk mgogoro mkubwa.
iii) Kuna mahala aliwaasa vijana/watoto wa marehemu kuwa, wakishikamana wataweza kuwaunganisha mama zao. Alisisitiza mshikamano maana alijua kuna shida mahala na inaweza kuleta shida siku za usoni.
iv) Ushauri unaotolewa mbele ya marehemu unaweza kuwasaidia sana watoto na familia inayobaki ktk kujitafakari pale panapohitaji kufanya hivyo.
V) Sote tunajua, mzee wa familia anapofariki mambo mengi huenda kombo, familia huparaganyika kutokana na kugombania mali, mgawanyo usio sawa nk. Hususani ktk hizi ndoa za kimila
vi) Katika ndoa za mitaala Afrika, familia yenye financial power ndiyo inayohodhi kila kitu ikiwemo haki ya mazishi, usimamizi wa mirathi nk
MR RAIS ALIKOSEA AU ALIKUWA SAWA??
Hilo swali sina jibu lake maana kusema alikosea au alikuwa sawa inategemea sana uwezo binafsi wa mtu mmoja mmoja ktk kuitumia vyema akili yake kulitafakari suala hilo. Hivyo nitakachokifanya ili kulijibubswalinhilo, nitkuuliza mswali yenye mwongozo ili utumie muda wako kuyatafakari na kulijibu swali hilo kadiri ya uelewa wako
Akili ndogo hulalama badala ya kujihoji. Hivyo badala ya kubaki ukilalama ni vyema ujaribu kuyatafakari maswali haya ili uoate jibu iwapo Mh Rais alikuwa sawa au hakuwa sawa
i) Je ni kweli masaburi alikuwa na mke mmoja pekee?? Nini tafsiri ya Mke, na ndoa.
iii) Je ni kweli alikuwa na watoto 5 pekee?? Nini tafsiri ya watoto??
iv) Je ktk familia zetu za Kiafrika kuna wakati baadhi ya watoto hukosa stahiki zao pindi mzazi anapofariki?? Taja mazingira ambayo yamekuwa yalisababisha watoto na wajane kukosa stahiki zao
v) Kama alikuwa na watoto zaidi ya 20, na wake zaidi ya 4. Ila wanaotajwa ni mke mmoja na watoto 5. Unategemea kutakuwepo na amani ktk familia hiyo baada ya marehemu kuondoka?? Au tutegemee magazeti kuanza kuripotinkuhusu mgogoro wa kugombania mali za urithi nk?
#My_Take Kuna wakati mtu unahitaji kuondoka ktk msafara wa Nyumbu ukae pembeni ndipo unapoweza Kuyaona mambo ktk mtazamo tofauti 'in a different perspective'. Bika hivyo, utakiwa unawaza kinyumbu nyumbu kwa kutegemea akili ya anayeongiza msafara wenu