Ni zamu ya mlutherani sasa maana wao hawajawahi kuwa na rais
Thank you for a useful post...ubarikiwe
Mkuu umeandika maneno ya maana sana, lakini unfortunately, hali halisi haiko hivyo!
Labda kama unadhani tumepata marais wa dini za tofauti kila awamu kwa bahati mbaya?
Hilo hatuwezi kulikwepa
It is an unwritten rule! Akija rais muislam awamu ijayo lazima kutakuwa na maneno!
Mlutheri ni mkristo, hilo si tatizo kabisa kwenye mfumo wa jamii yetu.Ni zamu ya mlutherani sasa maana wao hawajawahi kuwa na rais
Hata Kijana, kuanzia jina ni Christian name, mama ni Christian, Mke ni Christian, watoto ni Christian, na kanisani ataingia!. Uislamu wake ni kwa Baba tuu kama alivyo Baraka Hussein!. He is fit in every aspects!.
Pasco
Bakhressa anabuni bidhaa mpya kwa uhuru kwa sababu ya amani tuliyonayo ambayo imedumu kutokana na tamaduni kama hi ninayoizungumzia kwenye mjadala huu!Wakati Bakhresa anabuni bidhaa MPYA zitakazocompete world markets sisi tunashindania urais, udini, ukabila. Ni hatari sana.
Kwa nini Rais ajaye asiwe malaika ili kuondoa upendeleo?
Mkuu rejea bandiko lilopita, nadhani pengine hukunipata pale niliposema kuhusu kutokuyatendea haki "mabadiliko yetu", whether mabaya au mazuri! Mengine yameletwa wakati wa uchaguzi uliopita! Na ndiyo maana nikasema mazuri kwa mabaya!
Mkuu kunawatu ambao wanachukuwa muda kubadilika na wakati na wengine ni fasta!
Nimekuja kugunduwa kuwa mojawapo ya mambo yaliyotuweka pamoja kwa muda mrefu kama taifa lenye mshikamano, basi ni utamaduni huu tuliojiwekea ambao hauko kisheria wala kwenye katiba, bali kwa utashi wetu sisi wenyewe!
Tumekuwa tukijigamba kuhusu amani yetu pasipokujuwa chachu za amani hiyo ni zipi?
Mkuu utakuja kuniambia, sishangazwi na wewe kushindwa namna ya kunisaidia! Isipokuwa nitashangazwa kama utamaduni huu utapuuzwa!
ati ni muhimu tukapata wa imani nyingine... Huu ujinga ndio hua unaniacha hoi kwa watanzania, yani akili ya mtu inaktuma kusema hili kabisa, afu anaanza kujitetea dini si kigezo, si kigezo huku umeshaifanya kua kigezo... Ujinga huu hauishi bongo afu uko kwenye population kubwa zaidi ya 90% n am not kidding kuhusu hilo... Bongo haitobadilika na hizi mentality na wengine wanafata mkumbo...
Heshma mbele mkuu! Long time not see you mkubwa!Mushi,
Mbona huufikiria ni wakati sasa Wazanzibari nao waiatowa Rais wa Tanzania ili kudumisha muungano wetu badala yake unapigia debe rais Mkristo? Hii ni kwasababu Tangu Mkapa na Kikwete ni miaka zaidi ya 20 sasa hatujaongozwa na Rais Mzanzibari (Hata huyo Mwinyi anahisiwa sio Mzanzibari Mzawa bali mzawa wa Mkuranga).
Au unaongozwa na msukumo wa udini nyuma yako?
Jmushi, naunga mkono hoja kwa asilimia fulani, huu ndio ukweli ambao watu wanaujua lakini wanogopa kuusema. Na kuwajuza zaidi si mkristo tu lakini ni lazima awe mkatoliki, nasisitiza "MKATOLIKI" hapa ndio utakumbuka vita ya Mrema(mlutheri) na Mkapa(mkatoliki).
2015 mamvi(mlutheri) hana nafasi na CCM wakimsimamisha mkrito mkatoliki ndio utakuwa mwisho wa Chadema na Dk Slaa(mkatoliki) atapotea kiana kumsafishia njia mgombea mkatoliki wa CCM.
Wekeni maneno haya katika kumbukumbu zetu.