Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 975
Siyo kila mtu ana uwezo wa kuchambua masuala ya kitaalamu yahusuyo uchumi, biashara na uwekezaji. Subiri zitakapo buma ndiyo utaikumbuka thread hii
Nonsense
Siyo kila mtu ana uwezo wa kuchambua masuala ya kitaalamu yahusuyo uchumi, biashara na uwekezaji. Subiri zitakapo buma ndiyo utaikumbuka thread hii
Uwekezaji wowote unaopuuza mali na haki ya mtu mmoja mmoja siyo maendeleo. Maendeleo yoyote lazima yamlenge binadamu na siyo kumrudisha nyuma.Wangembembelezabembeleza hadi leo huo mradi wa barabara ungekuwa unasubiri zuio la mahakama.
Duh!
Tutamlipaga tu barabara zitakapoanza kujenerate mifweza ya kutosha.
Wewe ni mlemavu wa akili kama walemavu wengine, hatuna dawa yake. Endeleeni kutetea utawala dhalumu kwa vile mnalipwa kwa kila mnachopost humu.
Kwa kasentensi ka kiingereza uliloandika nawe unajiona unajuwa English?? LMFAO
Nonsense kwa tabula rasa kama wewe ila kwa wenye akili wanajua kuna nondo
Haibumi kamanda labda tukosee kuchagua tuwarudishe wapiga madili tena.Siyo kila mtu ana uwezo wa kuchambua masuala ya kitaalamu yahusuyo uchumi, biashara na uwekezaji. Subiri zitakapo buma ndiyo utaikumbuka thread hii
Wataalam hivi kiswahili sahihi ni unajuWA au unajuAKwa kasentensi ka kiingereza uliloandika nawe unajiona unajuwa English?? LMFAO
Wataalam hivi kiswahili sahihi ni unajuWA au unajuA
Mi nahisi siju vyote Kiingereza na Kiswahili
Kwani sheria ya ardhi inasemaje? mkuu nahitaji ufafanuzi iliusaidie na wengine hapa waliochukulwa ardhi kwa mtindo huoKuna mtu kule Mpanda alishinda kesi ya ardhi dhidi ya wananchi waliovamia shamba lake lakini amri ilitolewa na JPM kuwa wananchi waachwe. Naamini anatunza nyaraka zake na wale wananchi wajiandaye kisaikolojia. Huyu naye atalipwa fedha kibao hapo mbeleni
Kupiga dili ? Mbona hamna mtu anamzidi Jiwe kupiga dili!! Miaka 4 katengeneza Tsh 2.4 Trilion kupitia Uwanja wa Chato, Boeing na Stigler!!Haibumi kamanda labda tukosee kuchagua tuwarudishe wapiga madili tena.
Atapita kama wengine Maisha yataendelea atodumu milele
Kupiga dili ? Mbona hamna mtu anamzidi Jiwe kupiga dili!! Miaka 4 katengeneza Tsh 2.4 Trilion kupitia Uwanja wa Chato, Boeing na Stigler!!
Msijifanye hamumjui mtu aliyekubuhu kupiga dili wakati inajulikana Jiwe akiwa Waziri katengeneza fedha kupitia Kivuko cha Bagamoyo na Nyumba za Serikali.
Kwani sheria ya ardhi inasemaje? mkuu nahitaji ufafanuzi iliusaidie na wengine hapa waliochukulwa ardhi kwa mtindo huo
Ufanuzi gani? Kwani lazima utosheleze?Sheria siyo hoja kwani inategemea dhamira ya huyo anayetunga kama ni ovu au njema. Sheria nyingi zilizotungwa katika miaka 3-4 iliyopita zina dhamira mbovu. Baadhi ya sheria hizo zenye nia ovu zimesharekebishwa kwa shinikizo ya Benki ya Dunia! Wabunge wetu wamepiga kelele lakini hazikusaidia. Makaburu wa Afrika Kusini walikuwa na sheria ya kuhalalisha ubaguzi wa rangi na kuwanyima Waafrika walio wengi haki za kidemokrasia. Sheria unayozungumzia imetungwa 2019 wakati utaratibu huu wa watu kununua uhuru wao ulianza mara tu baada ya uchaguzi. Suala hili lilitinga bungeni mwaka huu ambapo serikali ilihojiwa kuhusu sheria inayotumika kufanya hivyo. Kama kawaida utratibu ukatetewa kwa hoja za nguvu lakini baada ya hapo haraka haraka sheria ikatungwa.
Hapana huko kwao ukiongea chingereza wanakuona unaringaKiingereza ni lugha tu kama Kiswahili, vipi ulikimbia umande?
kutoka lazima japo hata kwa kifo. na kama kuna mtu alitakiwa kutokutoka ni Kambarage, siyo huyu.Nani kakwambia atatoka?