Rais ajaye baada ya Magufuli atalipa madeni mengi sana

Una matatizo kwenye kichwa chako mimi nilikuwa na maana kuuliza ,hivi unajio nashujaa kwa kuwa troll?

Kama naku-troll wewe samahani.

BTW the reply was wrong, not meant for your post, apologies.
 
Ungekuwa na akili usingekuwa unalialia wakati wenye akili wanaongoza nchi wewe upo hapa unaganga njaa.
Nafuu nigange njaa kuliko niishi kwa kulamba soli ya kiatu cha dikteta. Bora nife nimesimama kuliko nife nimepiga magoti
 
Kwa hiyo wewe kasuku huku JF ndio una akili nyingi kuliko wabunge wote pale Idodomia. JF kuna kazi kweli kweli, chacha njomba vipi wewe mwerevu unashinda na njaa huku JF? Maana huandiki bure humu JF kuna kitu ambacho unahitaji kibadilike au umekerekwa nacho ambacho kinafanywa na Serikali, kulikoni?
Ongea vitu vya maana achana na kuongea vitu vya kusadikika. Dodoma bunge lilikwisha na Anna Makinda 2015, baada ya hapo ni kikundi cha CCM na wachache wanaojielewa
 
Hawa watu wanaropoka tu wao kila kitu kupinga

Ilifika hatua pale posta kila uchochoro kuna duka la kubadilisha fedha
Masikini unaroho mbaya sana wewe. Hivi kukiwa na maduka ya kubadirisha fedha kila mtaa wewe unawashwa washwa nini? Unajua ni kiasi gani watu wamepoteze hela na ajira kutokana na maamuzi ya bwana wenu jiwe.
 
Kama ilivokua kwa mkapa kilahotuba yamwisho wa mwezi ilikua nimelipa deni
Kuna maamuzi mengi yanayofanywa kwa ubabe na Serikali ya Awamu ya 5 ambayo yanakiuka sheria sana. Yana athari kubwa sana kwa wananchi wanao tendewa. Rais ajaye baada ya JPM ajiandae kutumia makusanyo ya TRA kulipia madeni yafuatayo;

1. Deni la la Taifa linapanda kila kukicha kwa kuwa miradi mingi kama SGR na STIGLERS. Miradi hii itakuwa itakamilika kati ya 2023 na 2025, hivyo repayment period itakuwa ndiyo inaanza. Kwa hiyo Asilimia kubwa ya makusanyo ya TRA itaelekezwa kulipa deni

2. Fidia kwa waliobomolewa Ubungo-Kibamba huku wakiwa na zuio la Mahakama. Kwa wakati huu Mahakama ziko mfukoni mwa JPM ndiyo maana Serikali haijatoa fidia na imekaidi zuio la Mahakama. Itakapo kuja Serikali inayo jali haki za binadamu, wale wote wenye nyaraka zao sahihi za Kimahakama au hati za umiliki watafidiwa tu. Hata kama watakuwa wamefariki, warithi wao watapata haki zao.

3. Mafisadi wa kutakatisha fedha feki. Watu wengi amewatupa rumande kwa kudai kuwa ni mafisadi na wametakatisha fedha lakini miaka 3 kesi haziendelei kwa kuwa bado uchunguzi unaendelea. Ukiacha hawa walioingia plea bargain na wakatoka, wale waliobaki watadai fidia tu na watapata.

4. Wafanya biashara ambao wananyang'anywa mali zao kwa sababu ya chuki binafsi tu.

Ushauri wangu kwa Wa Tanzania ni kwamba watunze rekodi tu, hii hali ya dhuluma haiwezi kuwa ya kudumu. Ipo siku utakuja utawala unaojali utawala wa sheria utawafidia
 
Kuna maamuzi mengi yanayofanywa kwa ubabe na Serikali ya Awamu ya 5 ambayo yanakiuka sheria sana. Yana athari kubwa sana kwa wananchi wanao tendewa. Rais ajaye baada ya JPM ajiandae kutumia makusanyo ya TRA kulipia madeni yafuatayo;

1. Deni la la Taifa linapanda kila kukicha kwa kuwa miradi mingi kama SGR na STIGLERS. Miradi hii itakuwa itakamilika kati ya 2023 na 2025, hivyo repayment period itakuwa ndiyo inaanza. Kwa hiyo Asilimia kubwa ya makusanyo ya TRA itaelekezwa kulipa deni

2. Fidia kwa waliobomolewa Ubungo-Kibamba huku wakiwa na zuio la Mahakama. Kwa wakati huu Mahakama ziko mfukoni mwa JPM ndiyo maana Serikali haijatoa fidia na imekaidi zuio la Mahakama. Itakapo kuja Serikali inayo jali haki za binadamu, wale wote wenye nyaraka zao sahihi za Kimahakama au hati za umiliki watafidiwa tu. Hata kama watakuwa wamefariki, warithi wao watapata haki zao.

3. Mafisadi wa kutakatisha fedha feki. Watu wengi amewatupa rumande kwa kudai kuwa ni mafisadi na wametakatisha fedha lakini miaka 3 kesi haziendelei kwa kuwa bado uchunguzi unaendelea. Ukiacha hawa walioingia plea bargain na wakatoka, wale waliobaki watadai fidia tu na watapata.

4. Wafanya biashara ambao wananyang'anywa mali zao kwa sababu ya chuki binafsi tu.

Ushauri wangu kwa Wa Tanzania ni kwamba watunze rekodi tu, hii hali ya dhuluma haiwezi kuwa ya kudumu. Ipo siku utakuja utawala unaojali utawala wa sheria utawafidia
kunywa juisi ,good
 
Kupiga dili ? Mbona hamna mtu anamzidi Jiwe kupiga dili!! Miaka 4 katengeneza Tsh 2.4 Trilion kupitia Uwanja wa Chato, Boeing na Stigler!!
Msijifanye hamumjui mtu aliyekubuhu kupiga dili wakati inajulikana Jiwe akiwa Waziri katengeneza fedha kupitia Kivuko cha Bagamoyo na Nyumba za Serikali.
Zamani enzi Dr alipokuwepo chamani - tuhuma kama hizi tungeambiwa account number anakoziweka na account number ya zilikotoka hizo Trilioni, tarehe na muda zilipoweka na kama kuna kuna muda zilitolewa tungeambiwa na tarehe zilipotolewa na nani alizitoa kutoka Tawi gani la Benki.
Tangu chama kinunuliwe na maCCM 2015, Upinzani umebaki kuhisihisi tu.
 
Wabongo bwana, anadai miradi mingi halafu anataja miwili tu,
Hii mihemko hii.
 
Zamani enzi Dr alipokuwepo chamani - tuhuma kama hizi tungeambiwa account number anakoziweka na account number ya zilikotoka hizo Trilioni, tarehe na muda zilipoweka na kama kuna kuna muda zilitolewa tungeambiwa na tarehe zilipotolewa na nani alizitoa kutoka Tawi gani la Benki.
Tangu chama kinunuliwe na maCCM 2015, Upinzani umebaki kuhisihisi tu.
Huo ndiyo mwisho wako wa kufikiri? Kweli ukisikia akili ambazo hazijai kisoda ndiyo kama wewe!!
 
Huo ndiyo mwisho wako wa kufikiri? Kweli ukisikia akili ambazo hazijai kisoda ndiyo kama wewe!!
Shuka data kamanda -acha stories
Taja hizo trilioni kaziweka wapi basi tusaidiane kuzidai.
Mbona Dr Slaa alikuwa akitujuza hadi Benki zilipo?
Mamburula mnakwama kwapi?
hakuna data ni manenomaneno tu!
 
Kwa hiyo wewe kasuku huku JF ndio una akili nyingi kuliko wabunge wote pale Idodomia. JF kuna kazi kweli kweli, chacha njomba vipi wewe mwerevu unashinda na njaa huku JF? Maana huandiki bure humu JF kuna kitu ambacho unahitaji kibadilike au umekerekwa nacho ambacho kinafanywa na Serikali, kulikoni?

JF ni jukwaa ambalo raia wenzetu wametuwekea ili tuweze kujadili mambo mbalimbali kwa maslahi ya jamii yetu na ustawi wa nchi yetu. Inasikitisha sana kuona kwamba kuna raia wanakerwa na michango ya raia wenzao na hivyo kuishia kutukana badala ya kujadili hoja. Matusi ni ushahidi wa kukosa hoja. Na kwa hakika wanaotukana wanajichumia laana bure kwani wanatukana watu wasiowajua; wengine wazee wao kwa umri. Watu ambao wako hapa JF kwa lengo moja tu: kutoa mchango wao kwa njia ya kuonya na kutahadharisha. Wengine wetu siyo watu wa kuganga njaa tena; ni watu wa kuombea nchi yetu mema na mustakabali mzuri kulingana na maono na misingi bora na endelevu iliyowekwa na waasisi wake. Sababu pekee inayotufanya kuandika JF ni kutaka nchi yetu kutoacha kamwe misingi yake ya uhuru, upendo, usawa na haki. Nothing more nothing less. Misingi hiyo ndiyo iliyotufanya kuwa na taifa la mfano Afrika; taifà lenye umoja na amani ya kweli. Tunaonya kwa sababu sisi kizazi kilicholelewa na Nyerere ambaye alituusia kutobweteka kuwa nchi yetu eti ni "stable" na haiwezi tena kuvurugika! Najua kuwa kuna Wabunge wengi wa ccm na wapinzani wananizidi upeo na uwezo lakini kwa bahati mbaya ama wamenyamazishwa na kukubali ama hawasikilizwi.
 
Shuka data kamanda -acha stories
Taja hizo trilioni kaziweka wapi basi tusaidiane kuzidai.
Mbona Dr Slaa alikuwa akitujuza hadi Benki zilipo?
Mamburula mnakwama kwapi?
hakuna data ni manenomaneno tu!
Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije ukawa sawa naye (Mithali 26:4)
 
Back
Top Bottom