ilikua zamani saivi haipo hiyo kama wanataka wafe wengine waje kupiga mtaani waone!
KUTOKA MBEYA:
Raia waua askari wa jwtz mbalizi mmoja na mwingine mahututi amekimbizwa hospital ya rufaa mbeya section mmoja ffu iko eneo la tukio. Chanzo cha Mauaji na vurugu hizo ni wivu wa mapenzi askar katembea na mchumba wa raia.
Maeneo ya Mbalizi haya matukio ni ya kawaida...
Tatizo kubwa ni watawala kuruhusu wanajeshi kuishi uraiani!!! Wanajeshi ni wafanyakazi wa umma wasiofanya kazi!!!!
Nasikia Wakazi wa Kigamboni kiliwahi kunuka wiki chache zilizopita
Yah ni kweli, inasemekana ilikuwa ni usiku. Kuna mdada alikuwa anarudi nyumbani mida ya saa 4, kisha akakabwa na vijana.
Wakati akikabwa kuna mtu alivaa kiraia, na alivojaribu kupambana na wale watu wakampiga sana na kufikia hatua ya kufa.
KUANZIA KESHO YAKE HAKUONEKANA HATA PANYA WALA MENDE AKITEMBEA MTAA ULE, HATA KUNGURU WALIPOTEA. MTAA ULITULIA KUPITA MAELEZO KUFATIA KIPIGO WALICHOPATA.
Ghana wanapiga mpira we acha tu
ilikua zamani saivi haipo hiyo kama wanataka wafe wengine waje kupiga mtaani waone!
Maeneo ya Mbalizi haya matukio ni ya kawaida...
Tatizo kubwa ni watawala kuruhusu wanajeshi kuishi uraiani!!! Wanajeshi ni wafanyakazi wa umma wasiofanya kazi!!!!
ila hapo mbalizi week end hii hapatakalika