Raia waua mwanajeshi Mbeya

Raia waua mwanajeshi Mbeya

Hapa sasa nakuja kukubali kuwa kuna tatizo "in between", vyombo vya usalama vijuchunguze kwani hali ianelekea kubaya , R.I.P mjeda.
 
Naona safari ya kuelekea kwenye majanga imeanza rasmi wanainchi wamekosa uoga kwa walinzi wao wa amani.
Tafadhali ukiweza kuiweka habari vizuri kwa kutuwekea mtiririko wa matukio ya chanzo na vitu kama ivyo maana naona kama afande amenyoa kiduku ivi.
 
Hapan sasa nakuja kukubali kuwa kuna tatizo "in between", vyombo vya usalama vijuchunguze kwani hali ianelekea kubaya , R.I.P mjeda.

Mara nyingi ugomvi wa askari wa JWTz na wananchi unahusu wanawake na si vinginevyo.
 
Mohamed Ngwasu leta habari tujue kinachoendelea huko Mbeya juu ya hili tukio.

Dah!! Binadamu bhana!!

Hivi matukio ya mauaji ya kikatili yameongezeka ama njia za upashanaji habari ndo zimeboreka(advance) siku hizi?

Mbunye nayo dah!!! Ukiinyofoa hata kwenye kikombe haijai lakini balaa lake.

HII KITU HII.
 
Last edited by a moderator:
Wanajeshi wengine wanalewa ki... Nge sana.
 
Ugomvi mwingi wa Wanajeshi na raia ni kuhusu made nakumbuka Kuna kipindi fulani sehemu za kawe na kunduchi mtongani wanajeshi walikuwa wanatembeza sana kipigo kwa raia wa maeneo hayo, chanzo ni madem na wanajeshi wengi ni makuruta tu, kama wanashindwa kujichanganya na raia mtaani basi ni bora wafungiwe makambini kwao kama mifugo
 
una uhakika mkuu....?

1.sakata la wanajeshi kimya siwetu Fundikira chanzo dem tena alikuwa mke wa mtu
2.komando yule alisema huko tlk chanzo dem
3.mbeya nao chanzo dem
Vurugu zao zote mpaka na wao wanakuwa na mauti ni madem kiukweli Wana u shamba fulani na wanawake
 
1.sakata la wanajeshi kimya siwetu Fundikira chanzo dem tena alikuwa mke wa mtu
2.komando yule alisema huko tlk chanzo dem
3.mbeya nao chanzo dem
Vurugu zao zote mpaka na wao wanakuwa na mauti ni madem kiukweli Wana u shamba fulani na wanawake

Wanajeshi wa Tanzania wana ushamba wa k#ma sana
 
Duu! nahofia mzee wangu mtaa wa relini kule,maana ndo home kwetu tunapakana na usawa wa kambi hiyo ya mbalizi.Ila si mara ya kwanza,kuna mwaka mjeda aliuawa kwny club ya Power pub.
 
ALISEMA MWENYEWE PIGA TU..SASA NDO HII...alafi wanajeshi huwa wanajiona wababe sana
 
Wanajeshi wamezidi umalaya ndio maana watu wanawatoa tu virigisi
 
Maeneo ya Mbalizi haya matukio ni ya kawaida...

Tatizo kubwa ni watawala kuruhusu wanajeshi kuishi uraiani!!! Wanajeshi ni wafanyakazi wa umma wasiofanya kazi!!!!

A cha ubwege wewe. Bila wajeda ungelala kwako?
 
Wanajeshi wa Tanzania wana ushamba wa k#ma sana

Mapenzi hayana ushamba wala ujanja, Hata Clinton alizini ikulu.

Tatizo ni maamuzi unayoyayachukua pale maumivi ya Mapenzi yanapokukuta.

Usiniambia Mapenzi hayana maumivu labda uwe hujawai kupenda.
 
Duu! nahofia mzee wangu mtaa wa relini kule,maana ndo home kwetu tunapakana na usawa wa kambi hiyo ya mbalizi.Ila si mara ya kwanza,kuna mwaka mjeda aliuawa kwny club ya Power pub.

Ndipo walipoaanzia kule lango kuu la jeshi hadi huku stand ..
 
Mimi sikatai jeshi ni chombo nyeti sana hapa nchini na kina heshima yake kubwa tu tofauti na taasisi nyingine za kiulinzi kama polisi.Ila kuna baadhi ya wanajeshi wana ubabe wa kishamba tena wa kijinga.kuwa mwanajeshi sio kwamba wewe ni wa kipekee sana na waweza fanya lolote na kwa mtu yoyote utakavyo.wengi wenu ni wa kawaida tu ni hayo magwanda tu ndio yanawatisha watu.
 
Duu! nahofia mzee wangu mtaa wa relini kule,maana ndo home kwetu tunapakana na usawa wa kambi hiyo ya mbalizi.Ila si mara ya kwanza,kuna mwaka mjeda aliuawa kwny club ya Power pub.

kwa mwanjoka au mbalizi sekondari au
 
A cha ubwege wewe. Bila wajeda ungelala kwako?


Ubwege ni upi uko wapi hapo kwa hiyo wao Wajeda ndiyo wana mpa isingizi?

Kama mme chagua kazi kuwalinda wananchi basi kuweni wapole kutufanya sisi kulala kwa amani na kufanya shughuli zetu bila hofu ni Kazi yenu tena mliapa kabisa kwani kuna mtu ali lazimishwa kujiunga na jeshi km njaa zako zili kupeleka huko basi fanya kazi kwa moyo 1 askari alie enda jeshini kwa mapenzi yake hawezi fanya ujinga km alio ufanya huyo askari mwenzenu japo. Japo marehemu hasemwi vibaya lakini kwenye ukweli lazima tuseme baadhi ya askari hamna nidhamu kabisa na wengi tuu mta chezea vichapo kama msipo badilika na Tabia zenu
 
Back
Top Bottom