Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Ndipo walipoaanzia kule lango kuu la jeshi hadi huku stand ..
Bado wanaendeleza kichapo?
Ndipo walipoaanzia kule lango kuu la jeshi hadi huku stand ..
mi najisikiaga raha nikisikia Police au Mwanajeshi kauliwa, maana wana ubabe wa kingese sana
Mapenzi hayana ushamba wala ujanja, Hata Clinton alizini ikulu.
Tatizo ni maamuzi unayoyayachukua pale maumivi ya Mapenzi yanapokukuta.
Usiniambia Mapenzi hayana maumivu labda uwe hujawai kupenda.
Askari wanadhani wao ndiyo kila kila kitu, wanabambikia watu kesi za uongo sasa wanaona haitoshi wanawanyang'anya wake zao, wacha wapunguzwe tu, tutajilinda wenyewe
Nasema muwaue tu tumechoka
Bado wanaendeleza kichapo?
Waligawa dozi siku baada ya tukio kuhappen ..after that day kukawa kimya ..!
Wajiandae na kifiro cha hatariiiiiiRaia wajiandae kwa mkong'oto wa haja huo mtaa.
Halafu kumbe mchumba tu!!!
Duu! nahofia mzee wangu mtaa wa relini kule,maana ndo home kwetu tunapakana na usawa wa kambi hiyo ya mbalizi.Ila si mara ya kwanza,kuna mwaka mjeda aliuawa kwny club ya Power pub.
Kifiro ndo niniWajiandae na kifiro cha hatariiiiii
Yaani nchi hii ukishakuwa mwanajeshi unajiona una haki ya kufanya lolote hasa kwa raia wanyonge...
We hujui usemalo. Hujitambui wewe sio bure.
Kifiro ndo nini
wewe ndo unataka wenzako wafanyie hivyoNadhani ni kuingizwa kitu tumboni Kwa kupitia mlango ambao haja kubwa inatokea.