Raia wajiandae kwa mkong'oto wa haja huo mtaa.
Halafu kumbe mchumba tu!!!
MPAKA SASA HAPAJAKALIKA JWTZ WANAGAWA KICHAPO BAR HADI BAR NYUMBA KWA NYUMBA HAKUNA HUDUMA ZA KIJAMII. kufikia jana saa mbili usiku hakuingiliki ksb show imepanda Hadi maeneo ya Ituta she'll kimenuka raia wanakula kipondo.
Acha kuwa Boost hao panyaRoad izo za kizamani za kupiga mtaa mzima ata asie na hatia tuna wa Burn tu kama yule pilot wa Jordan
MPAKA SASA HAPAJAKALIKA JWTZ WANAGAWA KICHAPO BAR HADI BAR NYUMBA KWA NYUMBA HAKUNA HUDUMA ZA KIJAMII. kufikia jana saa mbili usiku hakuingiliki ksb show imepanda Hadi maeneo ya Ituta she'll kimenuka raia wanakula kipondo.
korea kaskazini Umeiona hii feedback lakini?
Unadhani alikuwa hajui?
Itakuwa anachangamsha genge tu.
Na yule raia aliyeuwawa baa na komando kesi yake iliisha vipi......au ndio mwanajeshi ana haki ya kumdhuru raia isipokuwa raia hana haki hiyo......??
Sio raia........Kwani mwanajeshi Sio raia?