Raia wa Marekani kuchagua Rais kesho

Raia wa Marekani kuchagua Rais kesho

Hata atashinda Powa
Ila tu kwa wanaotambua da reality
Haswa kwa sisi watanzani ama waafrica
Hatupaswi kum cherish huyooo Queen of distractions,killed of muslims arabs and Christians
Ant Christ ant muslims,she's da real nasty skendolous
Open up you're eyes comrade Wangu bana vip eeh?
mkuu nchi yenyewe ya vita unaangalia mwenye nafuu na hayo maneno uliyo yasikia ni maneno tu hata kwenye kanga yamo.
 
Trump anakwenda kushangaza ulimwengu kwa kuinuka kidedea, anayebisha awake dau.
148427c73181bd501ce3ba30a113c37f.jpg
Ukiamka utakuta serikali ya marekani ikiongozwa na mwanamke
 
Watanzania ni mihemko tu inawasumbua, ya kwao hawayawezi ila ya wenzao yanawauma.
 
Back
Top Bottom