Ngurubhe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,840
- 1,049
Hujaeleweka umelala wapi?Uchaguzi wa mwaka huu Marekani ni kimeo.... Clinton ni mwanamke sipendekezi aiongoze Marekani. Ni lazima niwe mkweli kuwa nina mfumo dume na ninaamini Marekani inahitaji kuongozwa kiume zaidi.... Trump sio mwanasiasa, ni rahisi sana kutuingiza vitani kwa njaa zake za kibiashara. Am on crossroad.