Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 20,028
- 16,150
Du....uchaguzi ni mwezi 12
Du....uchaguzi ni mwezi 12
Akili za wanawake zilivyo hapo Ikulu patageuzwa sehemu ya kusutana na umbea.....Muda mwingi rais atautumia kwenye kiooo kujipodoayou are so stu.pid
hapa ndio nilipokichukia iki kibibi ni kichawi sijui
Kweli aisee tupige Mpunga....Hamna sehemu tunaweza kubet hivi kama kwenye mechi
una akili wewe?Akili za wanawake zilivyo hapo Ikulu patageuzwa sehemu ya kusutana na umbea.....Muda mwingi rais atautumia kwenye kiooo kujipodoa
hata wewe huna akiliwatu wamejenga taifa lao mpk limefika hapo lilipo leo wew mtoka lumumba uwambie hawana akili......................
yule ni counsellor sio rais hana nguvu yoyote ni kama secretary wa rais....Hapa tunazungumzia super power marekani kuongozwa na mwanamkeujermuan taifa lenye uchumi mkubwa kuliko yote ulaya linaongozwa na mwanamke kwa awamu tatu mfululizo sasa leo wakickia ww unasemakuchagua mwanamama ni ujinga lazima wakakupime akili kwanza kabla ya kukubishia
nyie wanalumumba mnashida sana, vp leo hamjaenda kuchukua buku saba?hata wewe huna akili
kumchagua mwanamke ndio mambo ya kisasa? Wanawake wenyewe ndio hawa wanaoshinda Instagram kumsifia Wema Sepetu?Duuh! Sikujua kuna watu bado wako zamani kiasi hiki.
Unafanya kama kwa Bwana, uaminifu wako mwenyewehata nikiweka dau ID zenyewe fake, na ni hewa kukimbiana ni rahisi
Tayari amekuwamimi pia napenda trump ashinde
Ndio presidaaaNani Kama trump.
Jiandae kusherekeaBinafsi nitafurahi sana Trump akiwa rais wa marekani
UnachekeshaUkiamka utakuta serikali ya marekani ikiongozwa na mwanamke
ww kweli mweupe kchwani unajua kila nchi rais ndo mtu mwenye mamlaka makubwa? hata israel wana rais but mamlaka makubwa yapo kwa waziri mkuu unawaaibisha lumumba wenzio aiseeyule ni counsellor sio rais hana nguvu yoyote ni kama secretary wa rais....Hapa tunazungumzia super power marekani kuongozwa na mwanamke
kuongoza nchi sio sawa na kulea mtoto wewe mwanamke hawez kuhimili mikikimikiki ya Vita.....Ndio maana ikitokea vita wa kwanza kukimbia ni wanawake na watoto kwa sababu ni dhaifu kimwili na kiakiliHivi mbona akina mama wanaweza kulea watoto hata kama wamekimbiwa na waume zao, kweli kama hivyo akipewa nchi atashindwa kulilea taifa changanya na uzalendo tuachefikra mbovu na mifumo dume.