jang
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,415
- 1,192
Naomba tupinge, hii ni the American Voice anabeba. We are going to make America Great AgainHILLARY CLINTON ndie mshindiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!! anaebisha tupinge.
Naomba tupinge, hii ni the American Voice anabeba. We are going to make America Great AgainHILLARY CLINTON ndie mshindiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!! anaebisha tupinge.
Unaweka dau?HILARY CLINTON atashinda mdipo dunia nzima itatikisika kwa usawa wa kijinsia na anaepinga aje hapa TUPINGE.
Yaaani sisi wa Africa cjuw aliyetuloga nadhani kafa sio bulePunguza maaba kijana huyo mama hawezi shinda.
Kila mu Africa kifo cha kaddafi kimemgusaPunguza maaba kijana huyo mama hawezi shinda.
Open up you're eyes mkuuNimefurahi kugundua kuwa tabia za wapinzani wa kisiasa duniani kote zina shabihiana, kulalamika kuibiwa au kuchakachuliwa kwa uchaguzi. Trump zee zima linalalamikia kuchezewa faulu na bibi.
Na washawasha!
Watajuwa wenyewe na nchi yao ila sio kwa sisi wa Africa kuwa mstali wa.mbele na kumpamba hillary clinton,a huge mistakes and shamefully kabisaNimefurahi kugundua kuwa tabia za wapinzani wa kisiasa duniani kote zina shabihiana, kulalamika kuibiwa au kuchakachuliwa kwa uchaguzi. Trump zee zima linalalamikia kuchezewa faulu na bibi.
Na washawasha!
You're missing da points comrades wangu ikiwa kama wee is really Africans...Nimefurahi kugundua kuwa tabia za wapinzani wa kisiasa duniani kote zina shabihiana, kulalamika kuibiwa au kuchakachuliwa kwa uchaguzi. Trump zee zima linalalamikia kuchezewa faulu na bibi.
Na washawasha!
Kila mu Africa kifo cha kaddafi kimemgusaNimefurahi kugundua kuwa tabia za wapinzani wa kisiasa duniani kote zina shabihiana, kulalamika kuibiwa au kuchakachuliwa kwa uchaguzi. Trump zee zima linalalamikia kuchezewa faulu na bibi.
Na washawasha!
Samahani am not attacking you isipokuwa inashangaza mnoo hatuna uzalendo wa kweli wengi wetu sisi,naomba samahani sana kaka kama nimekwaza,plz [emoji120] [emoji120] [emoji120]Nimefurahi kugundua kuwa tabia za wapinzani wa kisiasa duniani kote zina shabihiana, kulalamika kuibiwa au kuchakachuliwa kwa uchaguzi. Trump zee zima linalalamikia kuchezewa faulu na bibi.
Na washawasha!
Mzee mwakijiji cjapata concept yako vzr bro fafanua
Hata atashinda PowaHILARY CLINTON atashinda mdipo dunia nzima itatikisika kwa usawa wa kijinsia na anaepinga aje hapa TUPINGE.