ndugu zanguni watanzania ..
Kwa niaba ya moyo wa kizalendo nawasihi tumsamehe mtanzania mwenzetu mbunge wa urambo magharibi j. Kapuya kwa kitendo cha kumbaka na kumwambukiza maradhi ya ukimwi mtoto mwenye miaka 14 (alipombaka) ingawa kwa sasa ana miaka 16 anayesoma shule ya sekondari turiani iliyoko magomeni jijini dar es salaam.
Baada ya kushusha ghadhabu, khasira kali juu ya ndugu yetu huyu, tumtakie kheri kwenye majukumu yake haya yatayofuatia..
1:- aachie haraka kiti cha ubunge tena kwa muda usiozidi siku moja ijayo na asipofanya hivyo basi hastahili samehe yetu.. Na asipoachia kiti basi bosi wake amwajibishe haraka sana ili nchi isipasuke.
2:- apelekwe mbele ya sheria, aelewe jela sio kifo, ataendeleza maisha huko jela kwa sehemu ya umri wake uliobaki.
3:- wakati mashtaka yake yakiendelea, awe muungwana zaidi kwa nchi yake, asaidie kueleza viongozi wenzake wote na watoto wao wanaojishughurisha na mihadarati tena kwa uwazi kabisa bila woga wala chenga ili taifa lipone jamani.
Wakati haya yakiendelea kwa kapuya then
1:- spika anna makinda aachie haraka kiti cha spika wa bunge la jmt, kwa sababu kama mwanamke amediriki kufumbia macho udhalilishaji mkubwa namna hii kwa mtoto wa kike. Harakati za mtoto kukimbilia bungeni kwenye msaada kwa mwanamke mwenzake, huyo mwanamke kama yeye ndiye kwanza amebuni, kupanga na kuendeleza kumkandamiza mtoto huyo kike. Hafai wala haki haitomruhusu aendelee kuwa spika.
2:- wabunge wote wanawake na wengine ambao kwenye vichwa vyao angalau wanafikiri mtoto wa kike ni kitu katika jamii wasitishe shughuli za bunge mpaka hapo haki halali itapochukuliwa dhidi ya kitendo hiki. Kugomea bunge hadi haki kwa raia huyu, mnyonge, asiye na ndugu wala wazazi, aliyeathirika makusudi itapochukuliwa..