Rai: Kapuya asamehewe...!

Rai: Kapuya asamehewe...!

Hamna kitu hapa...watu wanajua kumtoa kapuya Urambo inahitaji mizengwe...so wanapika kila aina...yule mtoto kwenda kulalamika KWENYE gazeti la Chadema basi inatosha kuonesha hapa ni kuchafuana tu
Lema alichafulia ...na amekanusha...na sote tunakubali...ilhali picha zipo wazi kwenye mitandao..lakini wengi tunaamini ni mambo ya kuchafuana....pamoja na namba za simu aliziweka...na kapuya naye pia...hiii ndio siasa ya TZ
sasa huyo mtoto mbona hasemi katika hio stori yake kama baada ya kuambiwa kwamba Kapuya ana ngoma basi alienda hospitali kupima na kuambiwa ni muathirika? hakuna ambapo anathibitisha kwamba tayari ameambukizwa
pia huyu mtoto anatajwa kwenye hio stori kuwa ni yatima ..jee kisa cha kuwa yatima? jee wazeee wake walikufa?
au alitupwa ? au wamekufa kwa ngoma na wao ?

sidhani kama kuna raha yoyote kutembea na under 15...profesa ana pesa zake akitaka celebrity wetu hakosi....so why afanye hivo? ...nitakubali kama tu atakuwa na matatzo ya ubongo..unao mwathiri kisaikologia...na yeye sidhani kama ana tatizo hilo

wewe ni mchawi unadhihirisha kwamba wewe natembea hata na watoto wa miaka miwili you condone Kapuyas dead in the expense of an innocent girl you must be an evil
 
Hii picha itamletea shida sana Dokii na atajutia sana kupiga picha kama hii maana saizi lazima watu wanajua jamaa keshakula mzigo na kumpa miwaya kama alivyofanya kwa hako katoto ka miaka kumi na sita.

Dokii miwaya anayo kitambo...chezea celebrity. ...supa staaz wengi wagonjwa...
 
attachment.php
 
Laana na iwafike wote waliomdhumu huyu mtoto na wale waliokuwa na uwezo wa kumsaidia lakini wakaacha kufanya hivo
 
Back
Top Bottom