Rai: Kapuya asamehewe...!

Rai: Kapuya asamehewe...!

Kwa maelezo ya awali, mtoto huyo yatima (14) aliambiwa na wenzake ajaribu kumtafuta Mweshimiwa Juma Kapuya kupitia kwa reprentative wake ili amsaidie kwani amesaidia watu wengi sana hasa watoto yatima.

Tafsiri hii inaonyehsa Jamaa alikuwa kaanzisha taasisi ya kuwasaidia watoto Yatima ki-ngono: Huu uwe mfano jamaa ashitakiwe na apate hukumu yake inayoendana na matendo yake. ili ajue kwamba cheo huwa ni dhamana tu.

CCM kwa sababu huyu ni kada wenu, jitokezeni mbele ya umaa mkemee na mumnyanganye kadi ya uanachama haraka sana ili sisi umma wa watanzania tujiridhishe kwamba na nyie mmekerwa / mmeguswa na kitendo hiki alichofanya kiongozi huyu aliyewahi kushika nyadhifa nyeti serikalini.

Pole mdogo wangu, siyo kosa lako kuingia mtegoni, ulitegemea unaenda kukutana na mtu kama baba /babu yako pale hotelini kumbe ni Mbwa mwitu aliyevaa sura ya kondoo.

Hata hivyo nakupongeza kwa moyo wako wa ushupavu kutafuta haki yako ili sheria ichukue mkondo wake bila kutetereka regardless umri wako mdogo na vitisho ambavyo umekuwa ukivipata. Pole sana. its too sad.
 
Kapuya Mbunge toka jimbo la Urambo magharibi
Wilaya Mpya ya KALIUA
Mtutsi wa Tabora anayejinasibisha kuwa Mnyamwezi.

Bazazi
 
Yaani hii picha tu ukiangalia wala hakuna kuuliza unajua mara moja kuwa hili zee 'limeshakanyaga miwaya':frusty:
 
Kapuya aende jela tu no way out......! Angekuwa China angenyongwa..!
 
Inasikitisha sanaa...yaani inauma hasa sie wazazi....Mungu nyosha mkono wako utende haki kama yatakavyo mapenzi yako...Amina
 
Hivi huyu Kapuya si alipata kwenda hijja? Imekuwaje tena.
 
Mbona magamba kwenye huu uzi hamkanyagi, mnadhihirisha mlivyo wanafiki.
 
kapuya janga la kitaifa mbona viombo vinavyousika hawamsaidii huyo mtto
 
asubili msamaha wa rais, sheria ifuate mkondo wake kwanza
 
Yan hili zee sijui likoje, ni kichaaa na zezete, amebaka mtoto, au kw sababu ya mambo ya kishirikina?

Namsifu Lema alimbaka yule changudoa (hili linajadilika)

Kasi yako ni nzuri.. kumbuka wewe ni km mshale usiokuwa na sumu. Kadiri uendavyo na ndo kasi yake hupungua...
 
Hii ni aibu kubwa. Jamani TAMWa mko wapi? Kweli mnalifumbia macho suala hili? Kweli hii nchi ina wenyewe wasioguswa!
 
Unajua kua ana makosa matatu?
1. kumbaka mwanafunzi
2. kumuambukiza VVU mwanafunzi kwa makusudi.
3. Kutishia kuua.
Akisamehewa huyu, wabakaji wengine wote waachiwe kutoka jela na wenye kesi za kubakwa zifutwe ili kuhalalisha kua kubaka inaruhusiwa Tanzania.
Unaweza kusema asamehewe sababu unadhani ni mtu anaehangaikia maendeleo ya nchi, vipi kuhusiana na waliofungwa pia, ambao hawatasamehewa? mangapi walioyafanya, pengine waliajiri watu. kwenye maofisi yao na ajira hizo kukoma baada ya kuingia jela kwa kesi ya kubaka!
Kila mtu ana umuhimu wake.
NADHANI KWA KAPUYA, SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE KAMA KWA WATU WENGINE.
EVERYONE IS EQUAL UNDER THE LAW.
 
alhaji kafanya naona watu wanchukulia poa! angekuwa padre ndio kafanya tisinge kaa hapa JF kwa kashfa nzito!
 
LHRC ni vipi hapa?????
TAMWA,TAWLA nini mnafanya!!????
Gender unit UDSM hii ikoje hapo kwenu!!!????
Wabunge wanawake hili lina sound vipi masikioni mwenu????!!!


Umma wa Watanzania jamani hii hali inatupeleka wapi???!!!!
Hivi vitu ndio vinasababisha watu kuchukua sheria mikononi!!!
 
No APOLOGISE ,NO TIME FOR DIPLOMACY ITS TIME FOR ACTION.
 
Back
Top Bottom