alhaji kafanya naona watu wanchukulia poa! angekuwa padre ndio kafanya tisinge kaa hapa JF kwa kashfa nzito!
ye si kasema lazima aue mtu kwa hiyo kashfa yake kuanikwa hadharani
Kazi kwelikweli!! Inaonekana amewaambukiza ukimwi wengi!!! Kumbe hii ndiyo ilani ya CCM!!
![]()
Kazi kwelikweli!! Inaonekana amewaambukiza ukimwi wengi!!! Kumbe hii ndiyo ilani ya CCM!!
![]()
![]()
Yan hili zee sijui likoje, ni kichaaa na zezete, amebaka mtoto, au kw sababu ya mambo ya kishirikina?
Namsifu Lema alimbaka yule changudoa (hili linajadilika)
Unapointi ya maana, ushauri wangu kwa huyu Mzee Mkware, aende angaza akajicheki halafu aende habari maelezo akakanushe vinginevyo hii habari itaendelea kuwa ya kusadikia.Hivi tuna uhakika kwamba Prof. Kapuya ana ukimwi? Nani amempima na anaweza kuthibitishs hilo hapa? Yaani yaliyotamkwa na mhudumu wa jengo Mwananyamala ndio imekuwa reference na ukweli kwamba Prof. ana ukimwi?
Najua kitendo alichokifanya sio kizuri cha kubaka lakini hili la ukimwi, mmmhhh?!!!!
Tiba
Hebu tujiulize swali moja kama babu Seya alihukumiwa fasta fasta kwenda jela maisha yake kwa tuhuma za kuvibaka vitoto vya shule,ni kwa nini huyu Kapuya asikamatwe na kurundikwa ndani hadi hivi sasa?
Kama hilo la kumkamata na kumfungulia mashitaka ya kubaka Kapuya lisipofanyika haraka iwezekanavyo,tafsiri tutakayopata waTZ ni kuwa kumbe hata ibara iliyomo kwenye katiba ya Jamhuri ya Tanzania,inayosema watanzania wote wako sawa mbele ya sheria kumbe nayo ni maigizo,kwa kuwa in reality ndani ya TZ wapo watu wapo above law,kama alivyokiri mwenyewe Kapuya,kuwa wao.ndiyo wenye nchi,hawawezi kufanywa lolote,na zaidi ya yote ametamba kuwa yeye ndiye the next PM,after 2015 general elections!!
Sasa nimeprove beyond reasoanable doubt kuwa madudu yanayofanywa na watawala wetu hapa TZ,yanaweza.kabisa kuyafanya yaqualify kuwa miongoni ya Guiness World records!!
Kazi kwelikweli!! Inaonekana amewaambukiza ukimwi wengi!!! Kumbe hii ndiyo ilani ya CCM!!
![]()
Hivi tuna uhakika kwamba Prof. Kapuya ana ukimwi? Nani amempima na anaweza kuthibitishs hilo hapa? Yaani yaliyotamkwa na mhudumu wa jengo Mwananyamala ndio imekuwa reference na ukweli kwamba Prof. ana ukimwi?
Najua kitendo alichokifanya sio kizuri cha kubaka lakini hili la ukimwi, mmmhhh?!!!!
Tiba
Hii ni mbaya kuliko.. Ningependa kuona badhi ya wana CCM wakikemea hili ZeMarcopolo faiza Foxy Ritz Sumu Simiyu Yetu ..nk