Rai: Kapuya asamehewe...!

Rai: Kapuya asamehewe...!

wakubwa msishangae hawa ndio viongozi wa ccm, mwanagilie kila mmoja ndani ya ccm wote ni wachafu ngono kwao ni sehemu ya uongozi ndio hilli pepo linawaandama, sasa vijana wa BUKU saba sasa tokeni mteteeni huyu mhuni mwenzenu maana hamkalii kusema CDM, na kwa ukweli polisi na ofisi ya Bunge wote wamelinda huu uozo, spika apigwe chini na KAPUYA, ANYANGANYWE UBUNGE SHAME UPON ALL THE CCM MEMBERS
Kapuya bhana!? Kule kwenye uzi mwingine unaomhusu amenukuliwa akisema kwamba wao ndo wenye nchi hii na hawezi kufanywa lolote kwani hata watoto wao wanauza unga na hakuna anayewakamata!! Hapa ndipo tulipofikia kama taifa!! Aibu yetu watanzania na hasa wale wanaotuongoza.
 
napata wasiwasi wa kuhusu ukweli wa picha hizi hususani picha ya pili, ebu wataalamu wa ict watusaidie maana inawezekana zikawa zimefanyiwa editing

WAKATI WATOTO WETU WANABAKWA NA KUSAMBAZIWA UMEME KWA GHARAMA YA TSH LAKI 7 , WEWE ENDELEA KUTOAMINI ! HIVI UNAZIJUA tabia za VIONGOZI WA CCM KWELI ? UMEWAHI KUHUDHURIA KAMPENI ZAO ZA UCHAGUZI KULE IGUNGA ? UNAJUA KWANINI MIKESHA YA MWENGE HAIKOMI PAMOJA NA KULALAMIKIWA KILA KONA ?
 
Naunga mkono hoja kwa nguvu kabisa ila hilo la kunsamehe sitakua mnafiki sio raia wakusamehewa hata kidogo, hata kujaribu kumsamehe nitakuwa nawalakini akilini mwangu. Ukweli ukipatikana ahukumiwe mara moja... Huyu ni muuaji...

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
wakubwa msishangae hawa ndio viongozi wa ccm, mwanagilie kila mmoja ndani ya ccm wote ni wachafu ngono kwao ni sehemu ya uongozi ndio hilli pepo linawaandama, sasa vijana wa BUKU saba sasa tokeni mteteeni huyu mhuni mwenzenu maana hamkalii kusema CDM, na kwa ukweli polisi na ofisi ya Bunge wote wamelinda huu uozo, spika apigwe chini na KAPUYA, ANYANGANYWE UBUNGE SHAME UPON ALL THE CCM MEMBERS

ccm ni laana . Machafu yote unayoyajua katika nchi hii imehusika nayo .
 
Kazi kwelikweli!! Inaonekana amewaambukiza ukimwi wengi!!! Kumbe hii ndiyo ilani ya CCM!!

7515210_orig.jpg


Kapuya4.jpg

Kumbe ukiona kamlupo kana shabikia CCm kwa kiherehere kama njiwa kwenye mtama ujue si bure ni kabaang! CCm ni Majanga kwa TAIFA!
 
"Sisi ndio wenye nchi"
"Watoto wetu wanauza unga hawakamatwi"
"nitawauwa "
"Nitakunywa sumu"

By Kapuya (MB) Waziri wa JMT

Sijui kama kweli ni Professor, Sijui aliupataje huo uwaziri. Je ni kweli HIV huharibu ubongo kiasi hichi? CCM mnamaliza nchi hadi kwa ukimwi? Tuliwakosea nini sisi Watanzania hadi mtufanye hivi?

Huyu baba nahisi amesha-data, haiwezekani atume such sms. Kesho kukikucha salama sijui, nina wasiwasi anaweza utoa uhai wake
 
Hii ni mbaya kuliko.. Ningependa kuona badhi ya wana CCM wakikemea hili ZeMarcopolo faiza Foxy Ritz Sumu Simiyu Yetu ..nk

Hawana jeuri ya kuwakemea wanaowalipa 7000 waeneze propaganda na kutetea majangili!Utaona kwenye thread za kipuuzi tu,hizi za wabakaji ni ngumu kumeza,kwani aliyofanya mwenzao wao yawezekana wako wanayafanya hivi sasa!
Si unajua ukoo wa panya!???

WOTE WANAFANANA!
 
Last edited by a moderator:
Hii haihitaji mtu ufukuzwe, unaamua tu mwenyewe kuachia ngazi, kwa heshima ya walio kuchagua na nchi kwa ujumla. Ni wakati wa ccm kuonyesha kuwa bado kuna umakini japo kidogo. Hii ni aibu ya mwaka kwa mheshimiwa huyu na ccm hasa kwa maneno aliyo yasema.
 
Hebu tujiulize swali moja kama babu Seya alihukumiwa fasta fasta kwenda jela maisha yake kwa tuhuma za kuvibaka vitoto vya shule,ni kwa nini huyu Kapuya asikamatwe na kurundikwa ndani hadi hivi sasa?

Kama hilo la kumkamata na kumfungulia mashitaka ya kubaka Kapuya lisipofanyika haraka iwezekanavyo,tafsiri tutakayopata waTZ ni kuwa kumbe hata ibara iliyomo kwenye katiba ya Jamhuri ya Tanzania,inayosema watanzania wote wako sawa mbele ya sheria kumbe nayo ni maigizo,kwa kuwa in reality ndani ya TZ wapo watu wapo above law,kama alivyokiri mwenyewe Kapuya,kuwa wao.ndiyo wenye nchi,hawawezi kufanywa lolote,na zaidi ya yote ametamba kuwa yeye ndiye the next PM,after 2015 general elections!!

Sasa nimeprove beyond reasoanable doubt kuwa madudu yanayofanywa na watawala wetu hapa TZ,yanaweza.kabisa kuyafanya yaqualify kuwa miongoni ya Guiness World records!!
Uko very right Mystery. Cha umuhimu sasa hivi sio kumpeleka huyu nyang'au kwenye sheria ila cha kufanya haraka ni kumlinda huyo yatima asidhuriwe kwa sababu ndiye mwenye ushahidi mzito. Sidhani kama kuna mtu au kundi lolote la kutetea haki limechukua jukumu la kumlinda huyu msichana! Mafisadi wapenda toto wana mtandao mpana wa hitmen. Hatua zisipochukuliwa haraka tunaweza kusikia habari mbaya kwamba huyo msichana yuko hospitali mahtuti kwa ugonjwa usiofahamika au ameshakufa kwa namna isiyoeleweka
 
Last edited by a moderator:
hapa hakuna cha msamaha wala nini, natamani kuona kauli moja ya wananchi wenye uchungu na nchi yao na wanaojali watoto wao. Vizee kama huyu viko vingi na vinaendelea kutesa na kunyanyasa watoto wa wanyonge. Kupitie huyu lazima kieleweke loooooh! inaniuma sana....... mtoto wa 14! kwa nini asiende kwa ........wenzie???? shetani!!!!!
 
Mkuu pamoja na hayo mimi nilidhani uwepo wa "wabunge wa viti maalum" ni kutetea maslahi & ustawi wa wanawake & watoto ktk mijadala ya Bunge! Kumbe ni kodi zetu zinaliwa bure tu kwa maslahi ya Vyama vilivyowateua!! Nilitarajia wabunge wote wanawake na hasa wale wa viti maalum wasimame kidete kutaka uchunguzi yakinifu mapema iwezekanavyo!!!

Nakubaliana na wewe kabisa. Kama Viongozi wanawake walio kwenye uongozi wa juu wamegeuka 'jiwe', basi hawa wabunge wanawake walioingia bungeni kwa mgongo wa 'jinsia' wangeonesha wapo bungeni kutetea UTU na haki ya mwanamke.

Takribani 36% ya wabunge ni wanawake, kama sikosei wabunge hawa (bila ya kujali vyama vya siasa) wamejiwekea uongozi. Huyo kiongozi yuko wapi? Na huo umoja wa wabunge wanawake unamsaidia nini huyo binti ambaye anatumikia kifungo cha maisha kinachohusishwa na mbunge mwenzao? Where is justice kwa huyu binti?

Ni vema pia tukaangalia wabunge wanaume. Kapuya atakuwa amedhalilisha wanaume wote na hasa wabunge wote wanaume wa Tanzania. Kuhusishwa na unyama wa aina huu kunaleta sura mbaya sana, na nilitegemea wabunge wanaume walaani unyama huo. Kukaa kimya kunaleta picha kwamba Paedophilia inakubalika. Wabunge wanaume wanatakiwa watoe kauli kwenye hili.

Hatuwezi kuongelea ustawi wa Taifa kama watoto wanageuzwa kuwa sex-slave wa wakubwa, with impunity. Na inaleta hasira kusoma comment zinaelekea kumlaumu huyu binti! Huku ni sawa na kumpa victim hukumu ya kifo kwa mara ya pili.

Jeshi la Polisi nalo ni la kuungalia. Hawa ni law-enforcement agent. Wako wapi? Kwa kifupi, the entire system has failed this young girl!

Kwa kumalizia, maana viongozi wanaonekana kuwa na kigugumuzi kwenye hili, watanzania wote na hasa wazazi (bila ya kuingalia itikadi) wanatakiwa walaani kitendo cha kiongozi kutumia utajiri na nafasi yake kumpokonya binti wa miaka 14 HAKI yake ya msingi ya kuishi bila ya kadhia ya magonjwa yasiyotibika. Alienda kumuona huyo mbunge akitegemea kupata msaada wa kuwekeza kwenye maisha yake, badala yake kaachiwa ukimwi!

Sieweli ni kwanini hadi dakika huyu bado ni mbunge na anazurura babarani? Hivi zile Jumuiya za wazazi zipo? Ukitaka kujua nchi inaelekea wapi, angalia jinsi inavyotunza/wekeza kwa watoto wake. Tanzania tunaelekea wapi?
 
Huyu mzee sidhani kama afya yake ya ubongo ipo sawa(mbali na gonjwa hilo lililotajwa) na kwa hakika ni pedophile, hili halipaswi kupita bure.
 
Huu ni udhaifu mkubwa kabisa ambao unaonyeshwa na CCM na Serikali yake,haiwezekani mpaka sasa mtuhumiwa akawa hajakamatwa wala kuitwa na kuhojiwa juu ya tuhuma ambazo zinamkabili.
Tunataka tuone uwajibikaji wa viongozi hasa jeshi la Polisi maana ingekuwa imetokea mtu si wa CCM mpaka sasa angekuwa tayari yupo mahabusu ama anahojiwa.
 
Dah! Very sad,kamati ya maadili ya bunge inabidi ichukue hatua kali za kisheria zidi ya huyo mbakaji asiyekua na mshipa wa aibu!!
 
Mheshimiwa Prof. Juma Kapuya...........................................................................................Amen
 
Chama cha Mapinduzi kina laana gani jamani....? Bibi kizee wa Miaka 60 mbunge wa CCM kaolewa na kijana wa mika 26....Prof. Juma Kapuya zee zimma limebaka motto mdogo wa miaka 14 na kumuambukiza Ukimwi.....Hiki Chama hakifai hata kuitwa chama cha upinzani...
 
Back
Top Bottom