Rai: Kapuya asamehewe...!

Rai: Kapuya asamehewe...!

Hebu tujiulize swali moja kama babu Seya alihukumiwa fasta fasta kwenda jela maisha yake kwa tuhuma za kuvibaka vitoto vya shule,ni kwa nini huyu Kapuya asikamatwe na kurundikwa ndani hadi hivi sasa?

Kama hilo la kumkamata na kumfungulia mashitaka ya kubaka Kapuya lisipofanyika haraka iwezekanavyo,tafsiri tutakayopata waTZ ni kuwa kumbe hata ibara iliyomo kwenye katiba ya Jamhuri ya Tanzania,inayosema watanzania wote wako sawa mbele ya sheria kumbe nayo ni maigizo,kwa kuwa in reality ndani ya TZ wapo watu wapo above law,kama alivyokiri mwenyewe Kapuya,kuwa wao.ndiyo wenye nchi,hawawezi kufanywa lolote,na zaidi ya yote ametamba kuwa yeye ndiye the next PM,after 2015 general elections!!

Sasa nimeprove beyond reasoanable doubt kuwa madudu yanayofanywa na watawala wetu hapa TZ,yanaweza.kabisa kuyafanya yaqualify kuwa miongoni ya Guiness World records!!

Hamna kitu hapa...watu wanajua kumtoa kapuya Urambo inahitaji mizengwe...so wanapika kila aina...yule mtoto kwenda kulalamika KWENYE gazeti la Chadema basi inatosha kuonesha hapa ni kuchafuana tu
Lema alichafulia ...na amekanusha...na sote tunakubali...ilhali picha zipo wazi kwenye mitandao..lakini wengi tunaamini ni mambo ya kuchafuana....pamoja na namba za simu aliziweka...na kapuya naye pia...hiii ndio siasa ya TZ
sasa huyo mtoto mbona hasemi katika hio stori yake kama baada ya kuambiwa kwamba Kapuya ana ngoma basi alienda hospitali kupima na kuambiwa ni muathirika? hakuna ambapo anathibitisha kwamba tayari ameambukizwa
pia huyu mtoto anatajwa kwenye hio stori kuwa ni yatima ..jee kisa cha kuwa yatima? jee wazeee wake walikufa?
au alitupwa ? au wamekufa kwa ngoma na wao ?

sidhani kama kuna raha yoyote kutembea na under 15...profesa ana pesa zake akitaka celebrity wetu hakosi....so why afanye hivo? ...nitakubali kama tu atakuwa na matatzo ya ubongo..unao mwathiri kisaikologia...na yeye sidhani kama ana tatizo hilo
 
ACHA KABISA.........
10+.jpg

6.JPG

michuz_022%20copy.jpg

Huyu mzee kumbe amekubuhu kiasi hiki...
 
Siyo huyo tu wako wengi mjengoni,:frusty: ndo maana mwenge hawaachi kuukimbiza:frusty:
 
Kumbe ngono na ubakaji ni moja nguzo kuu za uongozi ndani ya chama cha Mapinduzi...Nilikuwa sijui..
 
asemehewe kivipi? Kwa nini umsamehe mtu ambaye hata moyo wake hau-regret anachokifanya,
huyo sheria ifate mkondo wake, hata Mungu ukifanya makosa na usiombe msamaha na huna moyo wa kuacha basi mwisho wa siku mbinguni huchomi, sasa iweje huku.. Tupa jela hiyo raia, mtoto wa 14yrs kosa la kwanza under 18, still umempa ngoma, hii na kuua ina tofauti gani? Duh, imagine angekua mdogo wako au mtoto wako ambavyo ingeuma. Tandika jela hiyo raia hakuna kuiacha
 
Hebu tujiulize swali moja kama babu Seya alihukumiwa fasta fasta kwenda jela maisha yake kwa tuhuma za kuvibaka vitoto vya shule,ni kwa nini huyu Kapuya asikamatwe na kurundikwa ndani hadi hivi sasa?

[snip]....................................................!!

Ndo maana tunahitaji ICC. Huyu ni mpuuzi, mbunge, na siyekuwa na mchango wowote ktk nchi hii. Inashindikana kumuingiza gerezani kwa sababu tu ni mwana CCM, Je, angekuwa Rais ameuwa raia asiye na hatia, nani hata angesema?

Tuna watu wajinga wengi sana ktk nchi na bahati mbaya mfumo umeruhusu wakaingia madarakani. Madaraka kwa nchi hii maana yake ni kila kitu. Ni kinga tosha duniani.
 
:frusty:Sasa nimepata jibu kwanini wabunge wanasema posho na mishahara haiwatoshi kumbe posho na mishahara mikubwa wanavyopata wanakwenda kuvitumia katika mambo yasiyo na maana kabisa wala tija kwa taifa:A S-confused1:!!!!!!!!!!
 
Hamna kitu hapa...watu wanajua kumtoa kapuya Urambo inahitaji mizengwe...so wanapika kila aina...yule mtoto kwenda kulalamika KWENYE gazeti la Chadema basi inatosha kuonesha hapa ni kuchafuana tu
Lema alichafulia ...na amekanusha...na sote tunakubali...ilhali picha zipo wazi kwenye mitandao..lakini wengi tunaamini ni mambo ya kuchafuana....pamoja na namba za simu aliziweka...na kapuya naye pia...hiii ndio siasa ya TZ
sasa huyo mtoto mbona hasemi katika hio stori yake kama baada ya kuambiwa kwamba Kapuya ana ngoma basi alienda hospitali kupima na kuambiwa ni muathirika? hakuna ambapo anathibitisha kwamba tayari ameambukizwa
pia huyu mtoto anatajwa kwenye hio stori kuwa ni yatima ..jee kisa cha kuwa yatima? jee wazeee wake walikufa?
au alitupwa ? au wamekufa kwa ngoma na wao ?

sidhani kama kuna raha yoyote kutembea na under 15...profesa ana pesa zake akitaka celebrity wetu hakosi....so why afanye hivo? ...nitakubali kama tu atakuwa na matatzo ya ubongo..unao mwathiri kisaikologia...na yeye sidhani kama ana tatizo hilo

Typical of CCM members and leaders; small brain and less use of cerebral.
sijui kwa nini wameingia kwa wingi JF bila kuangalia ubora wao. Hii ndo Hali inayotukatisha tamaa wenye akili kuungwa CCM. Hakuna cha kujifunza!
Wengi ni wa aina hii:


Join Date : 1st October 2013
Posts : 100
Rep Power : 327
Likes Received 26
Likes Given 10
 
Kinachosikitisha ni namna wahusika wakuu na hatwa vyombo vya usalama walivyopiga kimya kwenye hii issue
 
Hamna kitu hapa...watu wanajua kumtoa kapuya Urambo inahitaji mizengwe...so wanapika kila aina...yule mtoto kwenda kulalamika KWENYE gazeti la Chadema basi inatosha kuonesha hapa ni kuchafuana tu
Lema alichafulia ...na amekanusha...na sote tunakubali...ilhali picha zipo wazi kwenye mitandao..lakini wengi tunaamini ni mambo ya kuchafuana....pamoja na namba za simu aliziweka...na kapuya naye pia...hiii ndio siasa ya TZ
sasa huyo mtoto mbona hasemi katika hio stori yake kama baada ya kuambiwa kwamba Kapuya ana ngoma basi alienda hospitali kupima na kuambiwa ni muathirika? hakuna ambapo anathibitisha kwamba tayari ameambukizwa
pia huyu mtoto anatajwa kwenye hio stori kuwa ni yatima ..jee kisa cha kuwa yatima? jee wazeee wake walikufa?
au alitupwa ? au wamekufa kwa ngoma na wao ?

sidhani kama kuna raha yoyote kutembea na under 15...profesa ana pesa zake akitaka celebrity wetu hakosi....so why afanye hivo? ...nitakubali kama tu atakuwa na matatzo ya ubongo..unao mwathiri kisaikologia...na yeye sidhani kama ana tatizo hilo

kwa namna yoyote ile Kapuya atakua amemtia huyo mtoto... iwe mwaka huu au mwaka juzi... the girl is uderage, jamaa is HIV+,

hii inaleta picha gani???

Kuhusu raha ya kutembea na underage, muulize kapuya na wanaotembea na underage, wapo na wataendelea kuwepo... huwezi kumtetea kapuya kwa hoja nyepesi nyepesi tu kama unavyokata iwe, kwani wanaobaka vitoto vya miaka minne au wanaolawiti waotto wadogo wanapata raha gani?? ni ugonjwa wa akili huo...

Just pray that you children dont live to be abused maana ikitokea ndio utajua uchungu wake

UNATIA KINYAA KWA SIMPLE POLITICS KWENYE SERIOUS MATTER
 
Ndo maana tunahitaji ICC. Huyu ni mpuuzi, mbunge, na siyekuwa na mchango wowote ktk nchi hii. Inashindikana kumuingiza gerezani kwa sababu tu ni mwana CCM, Je, angekuwa Rais ameuwa raia asiye na hatia, nani hata angesema?

Tuna watu wajinga wengi sana ktk nchi na bahati mbaya mfumo umeruhusu wakaingia madarakani. Madaraka kwa nchi hii maana yake ni kila kitu. Ni kinga tosha duniani.
Lakini mkuu Mchunguzi, kila kitu kina mwanzo na mwisho wake.

Dunia hii imewahi kuwa na watawala mbalimbali madikteta hadi wengine wakadiriki kujiita ni ma-life Presidents, wako wapi hivi leo?

Wengi wao wapo ku-udongo, na wengi wao waling'olewa madarakani kabla ya kutimiza ndoto zao za kufa wakiwa madarakani!!

Kwa maana hiyo inashangaza kupita kiasi, anapotokea mtu kama Kapuya na kumtisha huyo binti mdogo kuwa atamuulia kwa mbali na hakuna chombo chochote cha dola kinachoweza kumfanya chochote na akaendelea kutamba kuwa wao ndoyo wenye nchi, na ndiyo maana watoto wao wanauza madawa ya kulevya bila wasiwasi wowote na hakuna chombo chochote cha dola chenye uthubutu wa kuwakamata, WATOTO HAO WENYE BABA ZAO AKINA KAPUYA na wengine the likes KUTOKA CHAMA TAWALA!!!

Kwa bahati nzuri Kapuya ametusaidia kutufumbulia fumbo gumu sana, ambalo limekuwa likitushinda waTZ kulifumbua kwa muda mrefu kuwa inakuwaje mizigo mikubwa ya madawa ya kulevya inapenya kirahisi kwenye viwanja vyetu vya ndege, lakini wakati huo huo inakamatwa kiulaini mno, inapofika kwenye viwanja vya ndege vya wenzetu, wanapopeleka mizigo yao hiyo ya unga?!!!!
 
Sitaki kuamini mwehu kama huyu aliwahi kuwa "Waziri wa Elimu" kisha "Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa" yaani ndiye aliyekuwa bosi wa JWTZ na JKT vyombo vitukufu kabisa katika taifa letu.

Huwa najiuliza, hivi nchi hii hakuna vyombo vinavyozishauri mamlaka za uteuzi kabla ya kufanya uteuzi wa majitu kama haya kushika nafasi nyeti kama hizi? Eti saa ndio CCM wanajitetea ni "masuala yake binafsi"! Kubaka watoto tangu lini likawa "suala binafsi"? Jinai ni kosa dhidi ya Jamhuri, how comes leo likawa la binafsai kama alivyosema Katibu Mkuu wa CCM?

Kama taifa tutaendela kulea ujinga kama huu hadi lini? Majitu kama haya yataendelea kutamba hadi lini kisa yanalindwa na mfumo? Linatoa wapi moral authority ya kutoa vitisho kwa watoto wadogo lililowaathiri lenyewe? Na bado vyombo vya dola vinaangalia tu? Tulitegemea hadi muda huu (hata kama ni tuhuma) Kapuya yupo Central anahojiwa.

Nakala: Ritz, MSALANI, Taswira, FaizaFoxy, Mamndenyi, et. al.

Ewe punguani umeniitia nini? kusoma huu uozo wako?

Mtoto abakwe asiripoti polisi, akae mwaka arudi tena kubakwa na huyo huyo aliyembaka kwanza, akae miaka miwili ndiyo mlete habari zake JF?

Ukiyaamini hayo utaamini pia kuwa Lema alikuwa akishughulikiwa na mwenzake kama kwenye hizo picha zinazoongelewa, mimi sijaziona lakini hainiingii akilini kama kijana kama yule anaweza kuinamishwa na wenzake. Vipi wewe inakuingia?
 
serikali ya ccm ni ya kulindana, hapo hakuna kitakachofanyika. vijana tujitambue tuokoe taifa letu. kutoka kuuza unga, meno ya tembo na faru, hadi kubaka watoto yatima na kuambukiza ukimwi. ubinadamu uko wapi?
 
Ndugu Zanguni watanzania ..
Kwa niaba ya Moyo Wa kizalendo nawasihi tumsamehe mtanzania mwenzetu Mbunge wa Urambo Magharibi J. Kapuya kwa kitendo Cha Kumbaka Na kumwambukiza maradhi ya UKIMWI mtoto mwenye miaka 14 (alipombaka) ingawa kwa Sasa ana miaka 16 anayesoma Shule ya Sekondari Turiani iliyoko Magomeni jijini Dar es Salaam.

Baada ya kushusha ghadhabu, khasira Kali juu ya ndugu yetu huyu, tumtakie kheri kwenye majukumu Yake haya yatayofuatia..

1:- Aachie haraka kiti Cha ubunge tena Kwa Muda usiozidi siku moja ijayo Na asipofanya hivyo basi hastahili samehe yetu.. Na asipoachia kiti basi Bosi wake amwajibishe haraka sana ili nchi isipasuke.

2:- apelekwe Mbele ya Sheria, aelewe Jela sio kifo, ataendeleza maisha huko jela kwa sehemu ya umri wake uliobaki.

3:- wakati mashtaka yake yakiendelea, awe muungwana zaidi Kwa nchi yake, asaidie kueleza viongozi wenzake wote Na Watoto Wao wanaojishughurisha Na mihadarati tena Kwa Uwazi kabisa bila woga wala chenga ili taifa Lipone jamani.

Wakati haya yakiendelea Kwa Kapuya then

1:- Spika Anna Makinda aachie haraka kiti Cha spika wa Bunge la JMT, Kwa Sababu Kama Mwanamke amediriki kufumbia macho udhalilishaji mkubwa namna hii Kwa Mtoto Wa kike. Harakati Za Mtoto kukimbilia bungeni Kwenye Msaada Kwa Mwanamke mwenzake, huyo Mwanamke Kama Yeye ndiye kwanza amebuni, kupanga Na kuendeleza kumkandamiza Mtoto huyo kike. Hafai wala haki haitomruhusu aendelee kuwa spika.

2:- wabunge wote wanawake Na wengine ambao Kwenye vichwa vyao angalau wanafikiri Mtoto wa kike ni kitu katika jamii WASITISHE SHUGHULI ZA BUNGE Mpaka hapo haki halali itapochukuliwa dhidi ya kitendo hiki. Kugomea Bunge hadi haki Kwa raia huyu, mnyonge, asiye Na ndugu wala Wazazi, aliyeathirika makusudi ITAPOCHUKULIWA..




Na wanawake hawa wasipo react tuunganishe dot moja Kwa moja kwamba Nao wameshafanyiwa Na wanafanyia wengine .. Juzi hapa si kuna mwanamke mbunge wa Viti maalum CCM mjimama wa 60years, amediriki kuvuka mishipa ya aibu Kwa kuoa kavulana Ka miaka 26 since 2011. Sio kutembea nako Kaoa kabisa aisee kama watu hawaamini miujiza washuhudie huu..Nasema narudia Kusoma CCM IMEOZA.. Kama Mpaka Sasa yanakodolea Uzi hizi Kwenye mitandao Na wanaamini ni Upepo-utapita.. Huu si upepo ni Janga Na Halipiti bure.. Wajinga Kweli mnakiangamiza chama chenu ivi Ivi Kwa kufumbia macho masuala haya mkiamini yatapita -- YAPITEJE.. Mpaka Sasa mkuu wa kaya yuko kimya, spika kimya yamekodolea macho kama Panya waliobanwa mlango. Sikilizieni HATUA TUTAZOCHUKUA WANANCHI.. Tunatoa masaa 24 jambo litendeke amasivyo Nchi iwabomokee..!!

wote ulio wataja huenda wamebakwa ndio wakapata nafasi hizo
 
Ewe punguani umeniitia nini? kusoma huu uozo wako?

Mtoto abakwe asiripoti polisi, akae mwaka arudi tena kubakwa na huyo huyo aliyembaka kwanza, akae miaka miwili ndiyo mlete habari zake JF?

Ukiyaamini hayo utaamini pia kuwa Lema alikuwa akishughulikiwa na mwenzake kama kwenye hizo picha zinazoongelewa, mimi sijaziona lakini hainiingii akilini kama kijana kama yule anaweza kuinamishwa na wenzake. Vipi wewe inakuingia?

wewe bweha kweli kweli!
 
Back
Top Bottom