Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,175
- 11,572
Nakumbuka miaka ya 2008, maeneo ya mwananyamala kwa dada mmoj yatima na msanii ( afya yake si nzuri kwa sasa) nilimpekekea ujumbe fluni kwakuwa ujumbe huo ulikuwa muhimu sana ilimlazimu anikaribishe ndani ingawa kwa kusita sana,
Ilimbidi aingie ndani kwanza kuweka mambo sawa ndiyo akanikaribisha tukafanya mazungumzo yetu ambayo yalichukuwa takribani nusu saa na alikuwa anajaribu yayakatisha haraka bila mafanikio kwani nature ya mazungumzo haikuruhusu kwani yalikuwa muhimu sana.
Chakushangaza nikamuona mueshimiwa anatoka na taulo bafuni huyo anaingia chumbani kwani yumba hiyo ukiwa sebuleni unamuona mtu akitoka public toilet yule dada ilibidi aniniambie ukweli kuwa ndiyo aliyempangishia pale yeye na mdogo wake na amsaidia sana.
Kuanzia hapo ndipo nilipomdharau sana huyu muheshimiwa.
Ilimbidi aingie ndani kwanza kuweka mambo sawa ndiyo akanikaribisha tukafanya mazungumzo yetu ambayo yalichukuwa takribani nusu saa na alikuwa anajaribu yayakatisha haraka bila mafanikio kwani nature ya mazungumzo haikuruhusu kwani yalikuwa muhimu sana.
Chakushangaza nikamuona mueshimiwa anatoka na taulo bafuni huyo anaingia chumbani kwani yumba hiyo ukiwa sebuleni unamuona mtu akitoka public toilet yule dada ilibidi aniniambie ukweli kuwa ndiyo aliyempangishia pale yeye na mdogo wake na amsaidia sana.
Kuanzia hapo ndipo nilipomdharau sana huyu muheshimiwa.