Rai: Kapuya asamehewe...!

Rai: Kapuya asamehewe...!

Nakumbuka miaka ya 2008, maeneo ya mwananyamala kwa dada mmoj yatima na msanii ( afya yake si nzuri kwa sasa) nilimpekekea ujumbe fluni kwakuwa ujumbe huo ulikuwa muhimu sana ilimlazimu anikaribishe ndani ingawa kwa kusita sana,
Ilimbidi aingie ndani kwanza kuweka mambo sawa ndiyo akanikaribisha tukafanya mazungumzo yetu ambayo yalichukuwa takribani nusu saa na alikuwa anajaribu yayakatisha haraka bila mafanikio kwani nature ya mazungumzo haikuruhusu kwani yalikuwa muhimu sana.
Chakushangaza nikamuona mueshimiwa anatoka na taulo bafuni huyo anaingia chumbani kwani yumba hiyo ukiwa sebuleni unamuona mtu akitoka public toilet yule dada ilibidi aniniambie ukweli kuwa ndiyo aliyempangishia pale yeye na mdogo wake na amsaidia sana.
Kuanzia hapo ndipo nilipomdharau sana huyu muheshimiwa.
 
Watanzania Tumezidi Kuwa Na Tabia mbaya sana Za Uoga Na Ujinga. kila jambo Zito, Gumu Na baya Kwa nchi yetu Tumewatwika mzigo CHADEMA peke yao, ndio watusemee na Kututetea. Nayo Serikali bila haya inateketeza mabilioni kuimaliza CDM, Kwa propaganda, Vitisho, kutoatoa kucha bila ganzi Na Machafu mengineyo.

Serikali (ya CCM) imewapa majukumu watoto Na wapambe Wa Watoto wa Vigogo, hawa hawa anaojitapanao KAPUYA Kwamba wanauza madawa ya Kulevya, meno ya Tembo bila bughudha nchini Na kwamba Wao wako juu ya Sheria, kukesha Mitandaoni wakitukana Viongozi wa Juu wa CDM kila kukicha Na KILA MTU ANALIJUA HILI. Wanatetea madawa yao Na uuaji wao..

Ndugu watanzania, nchi hii haina hati miliki kwamba ni Mali ya Chama flani Bali ni Yetu Sote, Kama serikali imeoza sisi raia wakeHATUJAOZA. Itoshe Sasa, kila siku vijana wenzetu wanakufa Na matumbo Yao kupasuliwa Na kutoa mizigo ya watoto hawa wa Vigogo Na bila haya Huwa wanakwenda Hospitalini Na polisi Na kuchukua mizigo Yao Na kuwezesha vijana wengine maskini wenye njaa Na fedha.

Ni vijana wetu wangapi kila Leo hutengenezewa Passport Na kutafutiwa viza Na kurushwa kila pande Za DUNIA yetu Kwenda kutest aina zao mpya Za michanganyo ya madawa Na wengi Hufia huko huko Na kuzikwa maskini hao. Taifa Hili Kwa Kweli Samahani Mweshimiwa Rais ila Umelifikisha pabaya sana. Inauma mno, ni laana sana katika nchi. Ndio maana hata majirani zetu bila Sababu wanajitenga Na sisi hata wewe unajiuliza why? Ni laaNa mkuu.. Samahani vilaana laana hivi Mpaka nchi inaadhibiwa..!

Amka mkuu wa Nchi, Bado unaweza saidia kutengeneza tengeneza, mtoto wako mmoja sio wa Muhimu saana kuliko wanananchi Milioni 44.
 
Duh izi laana nyingine, Lema yeye alibaka haitoshi kaliwa witi. Leo tumeamka kapuya kabaka. Hii nchi inafika mwisho.

Hili sio swala la kupuuzia, ccm na chadema fukuzeni hao takataka

Peleka unafiki wewe....CCM wote mko hivyo....Halafu angalia usije ukakosa buku saba mjinga wewe....Wabakaji wakubwa kabisa.....Unajipendekeza ehhh......
 
Naona hata ile hofu ya kufanya mazungumzo na Zitto na kumsii asimzungumze vibaya huenda alijua na hili huenda lingeibuka kwenye mkutano.
 
Peleka unafiki wewe....CCM wote mko hivyo....Halafu angalia usije ukakosa buku saba mjinga wewe....Wabakaji wakubwa kabisa.....Unajipendekeza ehhh......

Mkuu kama wewe sio mnafiq mkemee lema
 
Mkuu ccm inahusikaje? Muulize Lema alieliwa kizazi.

Lema anakuwasha ehhhh.....Kwajinsi unavyo mtajataja Lema sasa naanza kuamini wewe ndo uliyehusika katika utengenezaji wa zile picha za kumchafua Lema.....
 
Ndugu Zanguni watanzania ..
Kwa niaba ya Moyo Wa kizalendo nawasihi tumsamehe mtanzania mwenzetu Mbunge wa Urambo Magharibi J. Kapuya kwa kitendo Cha Kumbaka Na kumwambukiza maradhi ya UKIMWI mtoto mwenye miaka 14 (alipombaka) ingawa kwa Sasa ana miaka 16 anayesoma Shule ya Sekondari Turiani iliyoko Magomeni jijini Dar es Salaam.

Baada ya kushusha ghadhabu, khasira Kali juu ya ndugu yetu huyu, tumtakie kheri kwenye majukumu Yake haya yatayofuatia..

1:- Aachie haraka kiti Cha ubunge tena Kwa Muda usiozidi siku moja ijayo Na asipofanya hivyo basi hastahili samehe yetu.. Na asipoachia kiti basi Bosi wake amwajibishe haraka sana ili nchi isipasuke.

2:- apelekwe Mbele ya Sheria, aelewe Jela sio kifo, ataendeleza maisha huko jela kwa sehemu ya umri wake uliobaki.

3:- wakati mashtaka yake yakiendelea, awe muungwana zaidi Kwa nchi yake, asaidie kueleza viongozi wenzake wote Na Watoto Wao wanaojishughurisha Na mihadarati tena Kwa Uwazi kabisa bila woga wala chenga ili taifa Lipone jamani.

Wakati haya yakiendelea Kwa Kapuya then

1:- Spika Anna Makinda aachie haraka kiti Cha spika wa Bunge la JMT, Kwa Sababu Kama Mwanamke amediriki kufumbia macho udhalilishaji mkubwa namna hii Kwa Mtoto Wa kike. Harakati Za Mtoto kukimbilia bungeni Kwenye Msaada Kwa Mwanamke mwenzake, huyo Mwanamke Kama Yeye ndiye kwanza amebuni, kupanga Na kuendeleza kumkandamiza Mtoto huyo kike. Hafai wala haki haitomruhusu aendelee kuwa spika.

2:- wabunge wote wanawake Na wengine ambao Kwenye vichwa vyao angalau wanafikiri Mtoto wa kike ni kitu katika jamii WASITISHE SHUGHULI ZA BUNGE Mpaka hapo haki halali itapochukuliwa dhidi ya kitendo hiki. Kugomea Bunge hadi haki Kwa raia huyu, mnyonge, asiye Na ndugu wala Wazazi, aliyeathirika makusudi ITAPOCHUKULIWA..

Nakubaliana na wewe lakini hapo kwenye kumpeleka jela hapana,ataenda kuwaambukiza wafungwa wenzake.Mi nasema,apigwe tu,maana tumechoka ati!!Unamwambukiza mtoto wa miaka 14 maksudi!Makinda,Kilango,Beatrice Shelukindo (50 kwa 50) mnaopigania kila siku haki za wamama mnafumbia macho haya?!Kweli ingekuwa ni kwa mamlaka yangu hata nyie hamstahili kuitwa Wabunge!
 
Lema anakuwasha ehhhh.....Kwajinsi unavyo mtajataja Lema sasa naanza kuamini wewe ndo uliyehusika katika utengenezaji wa zile picha za kumchafua Lema.....

Hata video ya lwakatale mwanzoni mlisema ni ya kutengeneza, baadaye ukweli ukagundulika sio ya kutengeneza.

Chadema ina ungonjwa mmoja. Kutokuamini vitu at the first sight.
 
Hii ni 30 years outright

cha kushangaza, atabaki mtaani kwasababu ni CCM

SOMETIMES CCM INAJIPALIA MAKAA YENYEWE

HE SHOULD BE JAILED
 
Nakumbuka miaka ya 2008, maeneo ya mwananyamala kwa dada mmoj yatima na msanii ( afya yake si nzuri kwa sasa) nilimpekekea ujumbe fluni kwakuwa ujumbe huo ulikuwa muhimu sana ilimlazimu anikaribishe ndani ingawa kwa kusita sana,
Ilimbidi aingie ndani kwanza kuweka mambo sawa ndiyo akanikaribisha tukafanya mazungumzo yetu ambayo yalichukuwa takribani nusu saa na alikuwa anajaribu yayakatisha haraka bila mafanikio kwani nature ya mazungumzo haikuruhusu kwani yalikuwa muhimu sana.
Chakushangaza nikamuona mueshimiwa anatoka na taulo bafuni huyo anaingia chumbani kwani yumba hiyo ukiwa sebuleni unamuona mtu akitoka public toilet yule dada ilibidi aniniambie ukweli kuwa ndiyo aliyempangishia pale yeye na mdogo wake na amsaidia sana.
Kuanzia hapo ndipo nilipomdharau sana huyu muheshimiwa.

Huyo msanii atakuwa ametoka na vijana wangapi ambao nao wana wapenzi? Kama huyo binti tayari afya yake si nzuri unaweza kujua what is next!!

Tunahitaji kujenga upya maadili ya taifa letu!
 
Hata video ya lwakatale mwanzoni mlisema ni ya kutengeneza, baadaye ukweli ukagundulika sio ya kutengeneza.

Chadema ina ungonjwa mmoja. Kutokuamini vitu at the first sight.

Shame on you...Umehusika kutengeneza picha za kumchafua Lema....
 
Kwani ilani ya chama hairuhusu?icje ikawa tunapiga porojo tu kumbe yamo!hawa wazee bhana! Sheim on yuu kapunga

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Yan hili zee sijui likoje, ni kichaaa na zezete, amebaka mtoto, au kw sababu ya mambo ya kishirikina?

Namsifu Lema alimbaka yule changudoa (hili linajadilika)

Watu wapumbavu kama wewe humu si mahala pako,baada ya huu nimejaribu kuangalia michango yako mingine ni ya kipuuzi kabisa kama hujatumwa basi unatatizo kwenye ufahamu wako.
 
Kwa maelezo ya awali, mtoto huyo yatima (14) aliambiwa na wenzake ajaribu kumtafuta Mweshimiwa Juma Kapuya kupitia kwa reprentative wake ili amsaidie kwani amesaidia watu wengi sana hasa watoto yatima.

....


Sitaki kuamini mwehu kama huyu aliwahi kuwa "Waziri wa Elimu" kisha "Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa" yaani ndiye aliyekuwa bosi wa JWTZ na JKT vyombo vitukufu kabisa katika taifa letu.

Huwa najiuliza, hivi nchi hii hakuna vyombo vinavyozishauri mamlaka za uteuzi kabla ya kufanya uteuzi wa majitu kama haya kushika nafasi nyeti kama hizi? Eti saa ndio CCM wanajitetea ni "masuala yake binafsi"! Kubaka watoto tangu lini likawa "suala binafsi"? Jinai ni kosa dhidi ya Jamhuri, how comes leo likawa la binafsai kama alivyosema Katibu Mkuu wa CCM?

Kama taifa tutaendela kulea ujinga kama huu hadi lini? Majitu kama haya yataendelea kutamba hadi lini kisa yanalindwa na mfumo? Linatoa wapi moral authority ya kutoa vitisho kwa watoto wadogo lililowaathiri lenyewe? Na bado vyombo vya dola vinaangalia tu? Tulitegemea hadi muda huu (hata kama ni tuhuma) Kapuya yupo Central anahojiwa.

Nakala: Ritz, MSALANI, Taswira, FaizaFoxy, Mamndenyi, et. al.
 
Kazi kwelikweli!! Inaonekana amewaambukiza ukimwi wengi!!! Kumbe hii ndiyo ilani ya CCM!!

7515210_orig.jpg


Kapuya4.jpg


kwakweli inasikitisha...huu ni wakati wa kuchuwa hatuwa.
 
Back
Top Bottom