Raha ya ndoa NI NINI?

Raha ya ndoa NI NINI?

He he he he, hapo blue
Liwapate wooote wanaoingia jf na miwani za lensi mbinuo
eti wamekomaaa utadhani dokta kapotezea sindano rungu kwenye tumbo la mgonjwa lol

Ila mie naflirt akizubaa namla, hasa Bishanga

Kula ruksa mbaya kuvimbiwa lol

Kongosho haya ni maisha rafiki so sometimes lazima uwe mtu wa kuchat tu humu jf kuongeza uwezo wa kupambanua mambo na kuosha akili. ukijidai mnoko wa maisha utajicomitia suisaidi mapemaa kama wengine bwana kwa raha zako jiachie.
 
Papizo ushauri wangu kwa yeyote ambaye hajaolewa au kuoa, jamani ndoa ni fumbo la imani. Raha yake imekuwa established katika uwezekano wa kuvipata unavyovikusudia ndani ya ndoa yako kwa njia ya halali.Tetea ndoa yako kwa gharama ya hekima na busara yako na upendo wako ili kuweza kuleta raha ndani ya ndoa. kumbuka kwamba nje ya upendo wa kweli na wa dhati hakuna raha ya ndoa.

Ok mkuu wangu nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu, maana still nilikuwa bado nafikiria so now umenifungua nashukuru sana
 
Bazazi nimekupa like kwa kunifanya nicheke leo lol! sijasema nataka nitoke but nataka kujua nini hasa raha ya ndoa?

Unajua gfsonwin, maswali tata hupewa majibu tata. Lakini nashukuru qa angalau leo kukuongezea siku za kuishi baada ya kukuongezea ma"stress".

Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Wana mmu polen kwa kazi za kutwa nzima.

haya jamani hebu tuelezane raha ya ndoa ni nini?

je ni mchezo wa matusi tu,
au ni kuish na mtu umpendaye tu
au ni kuwa na familia tu
au ni nini?

hebu tudadavue jamani, manake nashindwa kujua nini hasa raha ya ndoa.

Kama wewe ni mkristu kasome Biblia utapata majibu huko!!
 
umenena vizuri sana mdogo wangu YM, pamoja na package hii uliyoitoa ukaongezea na kubwa kuliko yote kuwa ni upendo, nakubaliana na wewe lakin hapa napo nina swali moja nataka nikuulize, hivi inapotokea mtu ukavikosa hivi ndani ya ndoa mathalani kisha ukabahatika kuvipata nje ya ndoa je hapa tusemeje? manake kuna watu imeona wako ndoani kwasababu ya kuogopa fedheha tu yaa kuachika lkn yale ya msingi ya ndani ya ndoa anayapata nje huwez ukaamini.

nasema hivyo kwani mpaka nimeleta huu uzi hapa nimewaza mengi sana, kuna mtu nilikwenda kwake ni matajiri sana lakin huwez kuamini chumbani kwao wanapolala na M&mrs ni kiboko. Yaani kitanda kikubwa sana kisha kati kimetengwa na mstari kwa kutumia shuka yaani kila mtu analala upande wake just tell utasemaje hapa?
gfsonwin Hapo nitaconclude kwa kusema kuwa hakuna upendo kwani naamini kuwa mtu unayemoenda huwezi kumuwekea mipaka ya kulala kitndani...hlafu pili kuna tofauti kubwa kati ya upendo na ashiki hivyo viwili naomba uvitambue...watu wengi wanaotoka nje ya ndoa japo si wote ila wengi wao wanatoka kwa sababu ya shiki au kwa lugha nyingine tunaweza kusema tamaa kwa ajili ya kukidihi matakwa na haja za miili yao ambayo hawawezi kuipata nje ndoa na ndio maana kila siku kedi za kufumaniana haziishi na kesi zote hutokea wakati hao wawili wakiwa wakidhi tamaa za miili yao na sio kuonyeshana upendo.
 
Last edited by a moderator:
Wana mmu polen kwa kazi za kutwa nzima.

haya jamani hebu tuelezane raha ya ndoa ni nini?

je ni mchezo wa matusi tu,
au ni kuish na mtu umpendaye tu
au ni kuwa na familia tu
au ni nini?

hebu tudadavue jamani, manake nashindwa kujua nini hasa raha ya ndoa.

Ndugu yangu gfsonwin,

Naomba sana ufute hayo maneno kwa sababu yanavunja hadhi na utukufu wa ndoa,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
dah! aisee hii nifundishe nataka nihame kutoka kwenye kuendesha ka vits alikohonga Kaizer niendeshe xtrail sasa lolz!

kumbe Asprin hakuna kitu lol! nisije nikaua bure? sasa babu Darkcity atanimudukweli manake nataka launch naye hii "ching chong". najua ataachia ka xtrail. mwambie BADILI TABIA amfundishe Asprin ile staili ya mfyonzo. iyo nayo ni kiboko ya matatizo.

Ha ha ha ha ha ha, BAbu Dark City ana uwezo wa kununua hata V8
Tatizo lake huwa anaumwa mgongo lazima wende naye kwa step sana.

Hapo red 'no comment'
Hii unaweza itumia wakati unataka kufupisha safari lol, dk moja tu huyo kwisha habari yake.
Wee kweli umepinda


Mmenifurahisha sana nyie watu......


Hivi hata Babu DC huwa anapigiwa hesabu za namna?

Someni hapa kwanza,


Retired Maj Gen DC (1947)


Babu DC!!
 
Vipi mwenzangu mbona swali hilo

Nataka nijuwe maana sijaowa bado, bado nina wasiwasi kuingia kwenye ndoa, kama na wewe bado hebu ni PM tuongee vizuri maana naona utakuwa mama mzuri wewe.
 
Raha ya ndoa ni kupata kila unachotegemea toka kwa mwenzi wako mfano, mapenzi ya dhati, kuheshimiwa na kuthaminiwa..
 
He he he he, hapo blue
Liwapate wooote wanaoingia jf na miwani za lensi mbinuo
eti wamekomaaa utadhani dokta kapotezea sindano rungu kwenye tumbo la mgonjwa lol

Ila mie naflirt akizubaa namla, hasa Bishanga

Kula ruksa mbaya kuvimbiwa lol
Konnie,nye.....ge mbaya!
 
Bishanga msuto jana nimeupenda, leo hata ndizi haziliki kaz ipo. wakwangu anakidhi vigezo vyote mechi tu masaa 4-5, maisha bora naishi kubembelezwa usiseme watoto kanizalisha vidume vya nguvu, outing usiseme bado yeye ni handsomem sasa nidatishwe na nani tena? kwa vigezo hivi? kwangu sili nikipatacho bali ninachokitaka, sivai nikipatacho bali nikitakacho, sipambi nyumba kwa maua bali kwa tabasamu na vicheko nani mwingine wa kunifikisha hapo?

Vice versa!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nilitaka kusema hivi hivi...... gfsonwin hapa hata huwezi kukanusha kabisaaaa maana huo mtiririko wako nilivoufatilia kuna uwalakini!!!
Yummy na Bishanga you are just suspicious but pia yaelekea nimewavutia kweli ok tufanye basi kuwa sina mtu wa kucheat naye so natangaza nia kwa lugha ya picha.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom