Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
He he he he, hapo blue
Liwapate wooote wanaoingia jf na miwani za lensi mbinuo
eti wamekomaaa utadhani dokta kapotezea sindano rungu kwenye tumbo la mgonjwa lol
Ila mie naflirt akizubaa namla, hasa Bishanga
Kula ruksa mbaya kuvimbiwa lol
Liwapate wooote wanaoingia jf na miwani za lensi mbinuo
eti wamekomaaa utadhani dokta kapotezea sindano rungu kwenye tumbo la mgonjwa lol
Ila mie naflirt akizubaa namla, hasa Bishanga
Kula ruksa mbaya kuvimbiwa lol
Kongosho haya ni maisha rafiki so sometimes lazima uwe mtu wa kuchat tu humu jf kuongeza uwezo wa kupambanua mambo na kuosha akili. ukijidai mnoko wa maisha utajicomitia suisaidi mapemaa kama wengine bwana kwa raha zako jiachie.