Raha ya ndoa NI NINI?

Raha ya ndoa NI NINI?

raha yangu kwenye ndoa ni kuwaona watoto wangu wanapata mahitaji yote muhimu! na mume wangu apate amani ya roho in ol aspects, so that we can suport each other in achieving our daily bread and complete th happines we want.

Aisee nimekupenda ghafla ungekuwa hujaolewa ningempa kaka yangu. Angekuwa na raha mpaka basiii
 
Raha ya ndoa umpate unayempenda naye anakupenda kwa dhati tu hivyo vingine ni nyongeza tu na ni kama kachumbari kulinogesha pendo lenu.
 
Wana mmu polen kwa kazi za kutwa nzima.

haya jamani hebu tuelezane raha ya ndoa ni nini?

je ni mchezo wa matusi tu,
au ni kuish na mtu umpendaye tu
au ni kuwa na familia tu
au ni nini?

hebu tudadavue jamani, manake nashindwa kujua nini hasa raha ya ndoa.
Mimba!!
 
kwangu mm niamke asbh mr anaraha nami nina furaha tunauhakika wa mkate wa kila siku watoto hawanunguniki aa mashalahmabo yanaenda
 
Nioe mwanamke anaenipenda nami nampenda, tuzae watoto kwa kadri tutakavyotaka na huku wakipata malezi bora kabisa huku nyumba ikitawaliwa na furaha daima[Sikatai huzuni zipo ila furaha izidi maradufu]. Awe anachangia kutafuta daily bread asichangie hilo ni jukumu langu kama kichwa cha familia bhaas.
 
Back
Top Bottom