mpendwa,
kuna tofauti kubwa sana kati ya raha na furaha. raha huletwa na vitu tangible, visible nk. mfano; mambo ya anasa kama magari, mavazi, vito vya thamani, majumba ya kifahari nk, wakati furaha huletwa na vitu intangible na invisible mfano peace, love, companionship etc.
tendo la ndoa ni kikamilisho cha companionship, ni chanzo cha amani. familia ni bustani inayochipua upendo, amani, companionship etc
kwa hiyo kwa maoni yangu, ukiyafanya ipasavyo kwa mwenendo safi hayo uliyoandika hapo juu yatakupatia furaha. raha ya ndoa utaipata kama utaangalia mambo tangible kama pesa, magari, nyumba, vyakula, vipodozi, mavazi nk uyapatayo na unayoyafaidi ukiwa ndani ya ndoa, na ambayo usingepata fursa ya kuyafaidi kama unsingekuwa na ndoa.
natumaini umenipata vizuri mpendwa,
ubarikiwe sana
Glory to God{qoute}
ms judith ubarike sana kwa hekima uliyotushirikisha binafsi najifunza mengi na nafikiri hata wengine pia.