gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Haya ndiyo tunayaaiita multiple choice questions. Ni mazuri kwa kwa wanafunzi wa primary na sekondari.
sasa Eiyer kwasababu ya tamaa zamwili ndio raha yenyewe? hivi mtu akikuuliza kuoa au kuolewa kuna raha gani utamjibuje?
Sasa mi nikusaidie kabla ya kukujibu,unataka kujua raha ya ndoa au unataka kujua furaha ya ndoa?Maana kuna tofauth hapo!
Wana mmu polen kwa kazi za kutwa nzima.
haya jamani hebu tuelezane raha ya ndoa ni nini?
je ni mchezo wa matusi tu,
au ni kuish na mtu umpendaye tu
au ni kuwa na familia tu
au ni nini?
hebu tudadavue jamani, manake nashindwa kujua nini hasa raha ya ndoa.
Kabla sijakupa mauzoefu ya ndoa yangu yenye miaka 47, naomba nikuulize masuali mafupi yafuatayo
1. Umeolewa?
2.Kwanini umeolewa?
3. Umefurahi kuolewa?
4.Kwanini umefurahi?
5.Hujafurahi kuolewa?
6. Kwanini hujafurahi
Nikiangalia hii sredi umeirusha saa tano kasorobo usiku. Kama umeolewa, mzee alikuwa wapi? Kama hujaolewa ulikuwa unawaza nini?
Ahsante kwa kujibu maswali yangu.
Will you marry me?:couch2:
Wana mmu polen kwa kazi za kutwa nzima.
haya jamani hebu tuelezane raha ya ndoa ni nini?
je ni mchezo wa matusi tu,
au ni kuish na mtu umpendaye tu
au ni kuwa na familia tu
au ni nini?
hebu tudadavue jamani, manake nashindwa kujua nini hasa raha ya ndoa.