Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Kuna wakati chakura ukila peke Yako hakinogi. Hata mji wenye watu wa kabila Moja Huwa Hauna maendeleo. Chama Cha siasa au nchi inayoogopa ushindani wa kweli, haiwezi kufikia mafanikio Kwa wakati,
Kenya siasa imechangamka sana hakuna anayemuogopa mwenzake polisi hawaingilii siasa, wanawaaacha wamenyane kidume apatikane kwenye sanduku la kura.
Sijasikia vitisho vya ajabu ajabu. Ruto alianza kufanya mikutano yake nchi nzima mwaka Jana. Na Sasa Jumanne kura zitapigwa, hakuna mwenye uhakika na ushindi, wote wanapresha.
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Kenya bwana chebukati anasubiriwa amtangaze hakuna ajuaye mshindi atakuwa nani.
Tubadilike
Kenya siasa imechangamka sana hakuna anayemuogopa mwenzake polisi hawaingilii siasa, wanawaaacha wamenyane kidume apatikane kwenye sanduku la kura.
Sijasikia vitisho vya ajabu ajabu. Ruto alianza kufanya mikutano yake nchi nzima mwaka Jana. Na Sasa Jumanne kura zitapigwa, hakuna mwenye uhakika na ushindi, wote wanapresha.
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Kenya bwana chebukati anasubiriwa amtangaze hakuna ajuaye mshindi atakuwa nani.
Tubadilike