tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
i was looking for u :A S embarassed::A S embarassed:
Am here!
i was looking for u :A S embarassed::A S embarassed:
Inategemea unatongozwa na nani na swag pia za mtongozaji.
Kuna watu wanatongoza kama deni vile,mpaka inakuwa karaha!!
Mi nataka untongothee chumban nazuga stak il uni force!!!hapo ndo ntakupenda!!!!
UNAKUMBUKA HII SIKU??
![]()
Habari zenu wapendwa,........?
Lol...siku nyingi kweli sijatia timu jukwaa hili,
hata wadau wenzangu wa enzi zile siwaoni tena.....anyway!
Back to the topic,..........
Hivi dada zangu huwa mnaenjoy mkiwa mnatongozwa?
Ni kweli kuwa usipotongozwa kama wiki tu hivi wajisikia vibaya?
Najua kuna suala la umri hapa kwenye sanaa hii ya utongozwaji,
Lakini napenda tu nipate jibu la jumla,
Jamani huwa mnajisikiaje?
Asalaaam Aleikhum...........................
Xaxa inakuaje mnakuwa mnazungusha xana eti madada
mbona mm ctongozwi na mademu?
Hakuna ila wao ndio wanao tutongoza hasa tukiwa tunatokea CRDB,NBC,AZANIA na mitaa mingine inayofanana na hiyo hapo huwa tunagandwa kama kupe kamdandia ng'ombe.
inategemea na anaekutongoza
Hivi mtongozo wa short cut na wa long way upi unaenjoisha?
kutongozwa kunaraha yake afu ukute anaona aibu anashindwa kujieleza loh penda sana mimi.... mtu wa hivyo napenda akanitongozee sehemu ya vinywaji na si kwenye simu loh ... aaah hapo namzungusha hata mwezi loh
we binti upo kumbe
aaa! Kuumbe bora umesema mapema hapa ni kukuagiza ukachukue chumba tu. Hakuna masuala ya kupoteza mda et nikutongoze