lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,209
IGWEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Marafiki ni watu tunaokutana nao tu katika hustles za kimaisha, mashuleni, makazini na kitaa. Ni watu mnakutana mnapendana kuliko hata ndugu, you make a bond na mnakuwa mnafurahia maisha pamoja kwa wakati huo, kutiana moyo inapobidi na kusaidiana kwa hali na mali inoder to make the world a better place to live in.
Fact is most friendships dont stand the taste of time. Ngoma inogile pale mmoja anapopata/kubarikiwa mafanikio kichumi na kuanza kuwaona wengine sio class yake au habelong nao tena flano hivi. Hii inakuwa maybe ameenda chuo au kapata kazi la maana, anaona kama washkaji wanamuaibisha flani hivi! Daaaaaaaah! Kwa yule alie endelea its all cool, na its a necessary step ili afaniiwe zaidi na nini inabidi awe na wale wanao share vision yake design flani hivi.
Kimbembe kwa sie tunaoachwa!!!!!!!! Daaaaaaaaah! Roho inaumaje sasa, betrayal ya mtu wenu wa karibu inaumizaje nafsi sasa! Daaaaah! Acha tu! But such is life bana! Life has to go on kwa wote aliyabrikiwa na sie tuliedoda.
20 kids cant be fiends forever, there are friends of life and friends of time! Sometimes someone has to outgrow true friends, to climb the top of the leadder! Ili mtu afanikiwe zaidi kimaisha inabidi ndo awaache wadau wengine lasivo aakuwa hatoki kimaisha watamng'ang'ania kwenye Vicious Cycle of Poverty.
Its a fact kuwa God writes every one's destiny. Na aliepewa kapewa! Wengine tuliokosa ndo baaaas tena hatuna cha kumfanya. Zaidi ni kumuomba mola abless hustles zetu na sisi tutoke huko mbeleni. Ila inauma sanaaa mtu umemjua for years ana kutreat like a stranger. Like he doesnt know shit about you. Like you dont matter at all????????? Really? Chinekeeeeeeeee!
Kinchosikitisha ni ile tabu tunayoipata sisi ambao hatujatoka maana unajua sasa Mshakaji alietoka lazima ile aku embarase na nini, so to save ya self from embarasemnt ndo unakuwa inakubidi umkwepe design flani hivi. Kama unaona anakuja kule mbele unavuka barabara au unazama shop kuzuga tu. Ndo nightmare yenyewe hiyo. Anafanya party hakualiki sasa unawakkwepa watu watakaokuuliza mbona hukuwepo kwa party?
Yaani kuna mdau mmoja alikuwa mtu wangu sanaaaa, na tumepitia mengi sanaaa! Ila tabia yake ya kunitreat like she doesnt know me kabisaaa, ama like a stranger inanikwaza sanaaaa! N mimi unafiki siupendi kabisaaa, basi napataje tabu kumkwepa? Nilijipendekezaga ikawa too much, ikabidi nili retaliate na mimi. Daaaaaaaaaah! God bless my hustles ooooooooh! Make me no be small small somebody in dis town ooooooh! for my friend like her me na earn back their respect!
Watu wa hivi wapo sanaaa katika maisha! Bora Fid Q aliimba Sihitaji Marafiki!!!!!!!!!!
Marafiki ni watu tunaokutana nao tu katika hustles za kimaisha, mashuleni, makazini na kitaa. Ni watu mnakutana mnapendana kuliko hata ndugu, you make a bond na mnakuwa mnafurahia maisha pamoja kwa wakati huo, kutiana moyo inapobidi na kusaidiana kwa hali na mali inoder to make the world a better place to live in.
Fact is most friendships dont stand the taste of time. Ngoma inogile pale mmoja anapopata/kubarikiwa mafanikio kichumi na kuanza kuwaona wengine sio class yake au habelong nao tena flano hivi. Hii inakuwa maybe ameenda chuo au kapata kazi la maana, anaona kama washkaji wanamuaibisha flani hivi! Daaaaaaaah! Kwa yule alie endelea its all cool, na its a necessary step ili afaniiwe zaidi na nini inabidi awe na wale wanao share vision yake design flani hivi.
Kimbembe kwa sie tunaoachwa!!!!!!!! Daaaaaaaaah! Roho inaumaje sasa, betrayal ya mtu wenu wa karibu inaumizaje nafsi sasa! Daaaaah! Acha tu! But such is life bana! Life has to go on kwa wote aliyabrikiwa na sie tuliedoda.
20 kids cant be fiends forever, there are friends of life and friends of time! Sometimes someone has to outgrow true friends, to climb the top of the leadder! Ili mtu afanikiwe zaidi kimaisha inabidi ndo awaache wadau wengine lasivo aakuwa hatoki kimaisha watamng'ang'ania kwenye Vicious Cycle of Poverty.
Its a fact kuwa God writes every one's destiny. Na aliepewa kapewa! Wengine tuliokosa ndo baaaas tena hatuna cha kumfanya. Zaidi ni kumuomba mola abless hustles zetu na sisi tutoke huko mbeleni. Ila inauma sanaaa mtu umemjua for years ana kutreat like a stranger. Like he doesnt know shit about you. Like you dont matter at all????????? Really? Chinekeeeeeeeee!
Kinchosikitisha ni ile tabu tunayoipata sisi ambao hatujatoka maana unajua sasa Mshakaji alietoka lazima ile aku embarase na nini, so to save ya self from embarasemnt ndo unakuwa inakubidi umkwepe design flani hivi. Kama unaona anakuja kule mbele unavuka barabara au unazama shop kuzuga tu. Ndo nightmare yenyewe hiyo. Anafanya party hakualiki sasa unawakkwepa watu watakaokuuliza mbona hukuwepo kwa party?
Yaani kuna mdau mmoja alikuwa mtu wangu sanaaaa, na tumepitia mengi sanaaa! Ila tabia yake ya kunitreat like she doesnt know me kabisaaa, ama like a stranger inanikwaza sanaaaa! N mimi unafiki siupendi kabisaaa, basi napataje tabu kumkwepa? Nilijipendekezaga ikawa too much, ikabidi nili retaliate na mimi. Daaaaaaaaaah! God bless my hustles ooooooooh! Make me no be small small somebody in dis town ooooooh! for my friend like her me na earn back their respect!
Watu wa hivi wapo sanaaa katika maisha! Bora Fid Q aliimba Sihitaji Marafiki!!!!!!!!!!