Rafki Zako Vipenzi Wanapogeuka Your Worst Nightmare!!!!!!

Rafki Zako Vipenzi Wanapogeuka Your Worst Nightmare!!!!!!

hii inatokea sana lakini niligundua kitu kimoja maishani.
When someone looses or turns into a looser, yeye ndiye uwa anaanza wa avoid wenzake sometimes wale ambao wangemsaidia kwakuwa anaanza kuhisi wanamcheka au hayuko tena level moja nao.
Ataanza kuwakimbia kumbe mara nyingine hata hawamcheki au angeomba msaada anagepewa.
Ni kawaida mtu bingo ikikutembelea lazima ubadili mfumo wa maisha, kama ulikuwa umezoea kaa kijiweni unakunywa kahawa jioni utaacha utaanza enda sehemu zenye hadhi, kama ulikuwa umezoea kula kwa mama ntilie utahamia kwa dada jaydee, kama shopping ilikuwa karume utahamia mr price na kwingineko. Sasa wale watu uliokuwa unakutana nao kwenye kijiwe cha kahawa wataanza kusema ooh unaringa ooh unawakimbia wanasahau kuwa life changes.
Kuna jamaa aliniambia kuna formula ya kuita pesa, ili pesa ikutembelee inabidi uvae, utembee na uishi kama mwenye pesa otherwise itakukimbia.

Note: in life no body stands for a losser, so keep in mind that you never loose always be a champion. There is only a simple formula of being a champion. 'Never loose.'

Hahahaaaaaaaaa! Uchampion unatofautiana baba! Wewe unaweza kuwa uko Bank au kitengo unalamba 3m unajiona uko juu vibaya ila wale wenzangu wa Kino wapima sembe wanakuona Pimbi tu, 3M ni hela ya mauzo ya masaa tu. Na ni hela ya kwenda Masters kunywa na kufanya kufuru masaa kadhaa tu, hata casino haitoshi.

Kwenye maisha madaraja hayaishi champion kwa watu wengine ni ---- tu kwa watu wengine. Kila mtu ana wababe wake na wanyonge wake.
 
..Ila ukiona hadi leo una marafiki ambao umesoma nao praimari ujue we hukui. Kadri unavyokua maisha yanatakiwa yabadilike na watu unaointeract nao pia wabadilike. Ushauri: ukishakua mtu mzima jitahidi sana kupunguza idadi ya marafiki. Itakusaidia sana.
 
pole mwaya!
nazijua sana hizo!
unakutana na unaaaanza kujitambuliiiiiisha oh unajua mi si ndio yuleeee yani ushansahau!
anakupiga 'ok'huku kafunguo ka vogue sijui gari gani anahakikisha unakaona!
mweh! bandughuu!

"urafiki" ni kitu kigumu/cha ajabu sana, kuna hii, enzi hizo nikiwa mchumba wa msukuma, nilikuwa na group la marafiki kama 8, nilikuwa nawapenda rafiki zangu sana sana,najitoa kwenye shida/raha zao sana tu, katika vitu nilivyokuwa nakwaruzana nao wengi wao ni ile kutoka kuja kuniambia snowhite hivi vile lazima nikushushue mana ungempelekea hizo ishuz mwenyewe, kukatisha story tulikuja kuleteana wenge la kufa mtu, hii ni kutokana na wivu wa kike/chuki/roho mbaya, unaweza kumtafuta mchumba wa mtu na kumpa habari za uongo kuhusu mchumba wake ili mradi umkomoe nyamayao anajidai kisa kapata "mchumba", "anajidai ana visenti" (walikalisha makalio chini kiswahili wanaishilizia zogo mie mtoto wa kichaga nimetumwa pesa, nyanya/vitumbua nachoma tu") kisa kitu gani? tumelumbana? na chokochoko walinzianza baadhi mie nikafanya kuzimalizia tu? duuu nilikuwa kwenye wakati mgumu kishenzi, hapo nahesabu siku za kuingia altareni yanazuka ya kuzuka, niliwamwaga kama sina akili zuri nikapambania uhusiano wangu mbaya kabisa kikaeleweka, katika hao wawili ndio walikuwa upande wangu kwa moyo mmoja, mpaka leo ni ndugu zangu haswaaa, wanipambania haswaa, wale wengine waligeuka adui zangu wa kufa mtu, na nyamayao nina kisasi sana sana,(mpaka nikusamehe sijui inakuwaje, Mungu alinipa moyo mgumu juu ya kusamehe) mie bila kulipiza kisasi ntaumwa, baada ya ndoa nilimalizana nao kimjini mjini vizuri haswaaa, sasa hivi ndio wanajirudi wanajifanya ooohh aahhhh, binadamu anasamehe, jamani tukalishwe na nyamayao tuyamalize, nyamayao mie? mxsiii, nilipata funzo haswaaaa,na juu ya hayo binadamu ukikesha kwa majungu/wivu/chokochoko kwa wenzio ni kwamba Mungu hakubariki hata chembe, utakesha na kulalama hujibiwi maombi yako kumbe unasali ukifikiria kumkomoa nyamayao utakapojibiwa sala zako,Mungu avai kaptula hajibu maombi ya hivi!
 
mimi nilishagundua katika wanawake ,tupo wa aina mbili ,wanawake wanaopenda bwerereee yaani wapo kuchuna kila kiumbe kilicho mbele zake...sasa hawa kwa vile una kitu atajifanya kujipendekeza kwako ili afaidi...hana cha kukushauri ,hakuombei mazuri wala nini?
wapo wale ambao yaani ni friend wako kiukweli na hawa mostly mnakuwa mmeanzia utotoni .. hawa mashosti tunaokutana kwenye vibao kata ni utata mtupu!wanataka wakuchune wewe,wamchune mpenzi wako
chezeiya wadada wa mujini wewe

na huo ndio ukweli wenyewe, mie kipindi hicho nilikuwa najua mafrnd mambo yao sio kwa leo ambacho ni kitu cha kawaida kwa kila binadamu, kha, leo mmoja ananiambia hivi, namwambia poa ntakusaidia, kesho vile, naona kama ninaweza kuwasaidia why not, viazi buruga wale, imetoka hiyo, tunaita tenda wema uende zako, sasa sijui sasa hivi walisahau nini kwangu mpaka wanataka kutapanishwa,wanahangaika mpaka kumcal mama nyamayao, mie huyu? hata nikikutana nao rodini wakisalimia siitiki.
 
na huo ndio ukweli wenyewe, mie kipindi hicho nilikuwa najua mafrnd mambo yao sio kwa leo ambacho ni kitu cha kawaida kwa kila binadamu, kha, leo mmoja ananiambia hivi, namwambia poa ntakusaidia, kesho vile, naona kama ninaweza kuwasaidia why not, viazi buruga wale, imetoka hiyo, tunaita tenda wema uende zako, sasa sijui sasa hivi walisahau nini kwangu mpaka wanataka kutapanishwa,wanahangaika mpaka kumcal mama nyamayao, mie huyu? hata nikikutana nao rodini wakisalimia siitiki.
ahaaaaa acha kinyogo mimi nacheka nao ila sipo nao kabisaaa? mimi hata nikifulia namkopa kaka yangu. mashoga siku una shida hawakusaidii ila wao wakiwa na shida wanakimbilia kwako? ptuuu !
 
"urafiki" ni kitu kigumu/cha ajabu sana, kuna hii, enzi hizo nikiwa mchumba wa msukuma, nilikuwa na group la marafiki kama 8, nilikuwa nawapenda rafiki zangu sana sana,najitoa kwenye shida/raha zao sana tu, katika vitu nilivyokuwa nakwaruzana nao wengi wao ni ile kutoka kuja kuniambia snowhite hivi vile lazima nikushushue mana ungempelekea hizo ishuz mwenyewe, kukatisha story tulikuja kuleteana wenge la kufa mtu, hii ni kutokana na wivu wa kike/chuki/roho mbaya, unaweza kumtafuta mchumba wa mtu na kumpa habari za uongo kuhusu mchumba wake ili mradi umkomoe nyamayao anajidai kisa kapata "mchumba", "anajidai ana visenti" (walikalisha makalio chini kiswahili wanaishilizia zogo mie mtoto wa kichaga nimetumwa pesa, nyanya/vitumbua nachoma tu") kisa kitu gani? tumelumbana? na chokochoko walinzianza baadhi mie nikafanya kuzimalizia tu? duuu nilikuwa kwenye wakati mgumu kishenzi, hapo nahesabu siku za kuingia altareni yanazuka ya kuzuka, niliwamwaga kama sina akili zuri nikapambania uhusiano wangu mbaya kabisa kikaeleweka, katika hao wawili ndio walikuwa upande wangu kwa moyo mmoja, mpaka leo ni ndugu zangu haswaaa, wanipambania haswaa, wale wengine waligeuka adui zangu wa kufa mtu, na nyamayao nina kisasi sana sana,(mpaka nikusamehe sijui inakuwaje, Mungu alinipa moyo mgumu juu ya kusamehe) mie bila kulipiza kisasi ntaumwa, baada ya ndoa nilimalizana nao kimjini mjini vizuri haswaaa, sasa hivi ndio wanajirudi wanajifanya ooohh aahhhh, binadamu anasamehe, jamani tukalishwe na nyamayao tuyamalize, nyamayao mie? mxsiii, nilipata funzo haswaaaa,na juu ya hayo binadamu ukikesha kwa majungu/wivu/chokochoko kwa wenzio ni kwamba Mungu hakubariki hata chembe, utakesha na kulalama hujibiwi maombi yako kumbe unasali ukifikiria kumkomoa nyamayao utakapojibiwa sala zako,Mungu avai kaptula hajibu maombi ya hivi!
mimi kuna shoga yangu mmoja nilikuwa namuamini just imagine nilipofiwa wala hakuwai kuja kunisalimia home. tunakutana tu kimtaa siku hizi nipo nae hata akiniambia kitu namhekelea tu . analeta bill zake kibao namwambia usjali dear nitakusaidia teh atanikomaje ? ninamkill softly!
 
Mimi huwa sipendi mtu anayewadharau wenzie kwa kuwa yeye ametoka kimaisha..Hata humu Jf kuna baadhi wana maneno sana ya dharau mingi..
Wapo, tena huwa wanatengeneza kalupu ka komyunikesheni ndani threedi ya mtu....
 
Hahahaaaaaaaaa! Uchampion unatofautiana baba! Wewe unaweza kuwa uko Bank au kitengo unalamba 3m unajiona uko juu vibaya ila wale wenzangu wa Kino wapima sembe wanakuona Pimbi tu, 3M ni hela ya mauzo ya masaa tu. Na ni hela ya kwenda Masters kunywa na kufanya kufuru masaa kadhaa tu, hata casino haitoshi.

Kwenye maisha madaraja hayaishi champion kwa watu wengine ni ---- tu kwa watu wengine. Kila mtu ana wababe wake na wanyonge wake.

Hapo sasa lara ndipo unakosea. Si wajua kila boss ana boss wake. I mean kuwa champion kwa wale tu waliokuzunguka why u mingle na wauza sembe kama wewe si mmoja wao?
 
Leo umenigusa, its so sad kupoteza marafiki kwa ujinga.
But sh*t happens!
 
ahaaaaa acha kinyogo mimi nacheka nao ila sipo nao kabisaaa? mimi hata nikifulia namkopa kaka yangu. mashoga siku una shida hawakusaidii ila wao wakiwa na shida wanakimbilia kwako? ptuuu !

hicho kitu mie kimenishinda kabisa, yaani siwezi kabisa kugugumia, ni bora hivi ninavyofanya napata faraja sana sana.
 
Ni kweli, tena unayemwamini haswaa

Ila mie kuna mmoja alitaka kuniumiza kusudi nikagundua na nikampiga chini moja kwa moja
Sometimes huwa nam-miss kweli, na-imagine our kids playing together ingekuwa so fun.
Sijui I was too hard on her?

Anyway!

na mbaya zaidi ni kwamba wale unaowategemea ni true friends ndio wanaokuumiza, oweeeiii.
 
Ni kweli, tena unayemwamini haswaa

Ila mie kuna mmoja alitaka kuniumiza kusudi nikagundua na nikampiga chini moja kwa moja
Sometimes huwa nam-miss kweli, na-imagine our kids playing together ingekuwa so fun.
Sijui I was too hard on her?

Anyway!

kama uligundua mapema heri hivyo mana angekuwahi angekumuumiza mara dufu coz unaonekana huna kifua kabisa, sasa unam miss nini? mie nikikumwaga nikifuta makorokocho yako yote niliyonayo walaaa sikukumbuki kabisa, tena alieniumiza ndio kabisaaaa, tukikutana ndio ntajua bado unavuta pumzi ya bure ya Muumba kama mie hapa.kiukweli wanawake tuna mambo yetu ya ajabu sana sana.
 
Marafiki wa namna hiyo ni wa kuwapotezea tu waendelee na ya kwao na wewe ushike yako. Nakumbuka nilipokuwa chuo kulikuwa na makundi mbalimbali, wale mabest wachache waliokuwa wanajiona wako juu walijitenga kabisa hata kimasomo hawatushirikishi, matokeo yake hata sie tukafaulu na Mungu si Athumani wala Joseph tukapata kazi mara tu baada ya kutoka chuo! Wao walihaha huku na kule hawana kazi za maana sasa ndio wametukumbuka wanatusumbuaje na michango yao mara send off mara harusi, nawajibu kistaarabu tu kwamba nitakupa nikipata, na kweli nikipata nampa halafu siulizii kadi wala kuomba kualikwa manake sitakwenda kamwe! mwenyewe anajipendekeza mara ooh huonekani, mara yakaenda yakarudi, kimyakimya nawaambia wanipishe huko!
Nimepata marafiki wapya wanaojua kuzisaka noti sio majungu, tunasaidiana ktk mipango mbalimbali ya kujikwamua kiuchumi. Cha msingi ni kuendelea na maisha na marafiki wapya, sio lazima rafiki wa utotoni uendelee nao hadi uzeeni, maisha hubadilika hivyo na sisi tufuate upepo uendapo, usikate mawasiliano nao ila wapotezee kwamba bila wao unaweza kuishi, kwani sh. ngapi! alaa!
 
Tunatakiwa kuishi kwa amani na watu wote bila kujali itikadi, kabila, kipato wala sura, acha mtu akuchukie kwa sababu zake binafsi maada binadamu nao wakati mwingine hata umbebe atachana na mbeleko. Dunia huzunguka na aliyekupa wewe anaweza mpatia mwingine. Unaweza kupata pesa ukaishia kuzitumia kwenye tiba wakati masikini akipeta na afya nzuri.
 
Daaah! lara 1 Shikamoo! All I can say is "Na Truuuu Ooooh" Hata kwetu wapo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom