Rafiki yangu Mwalimu wa Shule Binafsi hajapokea mshahara tangu Januari

Mama Mwana

JF-Expert Member
Jun 6, 2023
1,206
3,876
Kuna rafiki yangu alipata ajira ya ualimu shule ya sekondari ya private, tangu januari hajapokea mshahara huu ni mwezi wa tatu hajaona salary yake na he is doing just fine.

Shule binafsi mnachokifanya sio sahihi, mtu anakufanyia kazi ya kukupa matokeo kwa nn humlipi salary yake? ila akija kukuomba umsaidie kodi ya nyumba chap unampa kwa nini usimuekee mshahara wake akajibudget mwenyewe? Na mtu huyu anaingia kazini kuanzia saa kumi na moja had saa moja wakat mwengine saa mbili jioni haki this is not fair at all

walimu poleni sana.
 
Shule private nyingi ndio tabia yao. Kuna shule moja walimu wanadai mishara zaidi ya mwaka mzima. Sasa anawalipa kidogo ila yeye na manejimenti ambayo ni wanafamilia yake kila siku wanabadilisha magari.
Hivi humlipi mtu mshahara unategemea nini, jua atakuibia tu.
Ndio kitu tunajadiliana hapa unaishije nahana kaz nyingine anategemea hapohapo huu s unyonyaji huu? walimu wapewe maua yao tena mtu unamuuliza kwa hiyo unafanysje anajibu ndio changamoto za kazi kama amelogwa
 
Hawa matajiri weny biashara waone tu kweny media wakijinasibu wana pesa , wafanyakazi wao wanapata tabu sana licha ya mishahara kiduchu ila hawana uhakika wa kupata kabisa.

Wengi wanapenda ajira za serikali hata awe anapata laki 4 ila uhakika .

Mtu anaweza kukueleza kwamba hajalipwa miezi 4 ukaona kama utani ila ni kweli kwa ground mambo hayo yapo kwa sana
 
ndio kitu tunajadiliana hapa unaishije nahana kaz nyingine anategemea hapohapo huu s unyonyaji huu? walimu wapewe maua yao tena mtu unamuuliza kwa hiyo unafanysje anajibu ndio changamoto za kazi kama amelogwa
kwa kweli ni shida. Tena wana tabia ya kuajiri wakenya wasio na vibali hawawalipi wakileta kibesi wanawatishia kuwachoma uhamiaji.
 
Pole sana kwa unayopitia
Ila ungesema ni wewe tu unayepitia hiyo changamoto kungekuwa na ubaya?
JF kwa ujuaji na mawazo ya kimasikini sasa, angesema huyo rafiki yake ni manager wa taasisi fulani ungecomment kulingana na maelezo yake, crap..
 
Hawa matajiri weny biashara waone tu kweny media wakijinasibu wana pesa , wafanyakazi wao wanapata tabu sana licha ya mishahara kiduchu ila hawana uhakika wa kupata kabisa.

Wengi wanapenda ajira za serikali hata awe anapata laki 4 ila uhakika .

Mtu anaweza kukueleza kwamba hajalipwa miezi 4 ukaona kama utani ila ni kweli kwa ground mambo hayo yapo kwa sana
Mkuu wanakuambia kwenye ulimwengu wa kibepari ili utajirike, ni lazima uvunje sheria na udhulumu haki, usipokuwa na moyo wa kufanya hayo bila woga sahau kuhusu kuwa tajiri
 
Back
Top Bottom