Usihukumu!
Huyu unayemjibu kajiua Janaunapomngata mwezio unamsababishia tetenasi ugonjwa hatari
fanya hima ukamtibu,vinginevyo una kosa la jinai kama atapataa maafa
So sad...MAPENZE. JAMAAA ATAENDELEA KUGEGEDA MILELE.. R.I.P mwambaHuyu unayemjibu kajiua Jana
best advice on this thread.Mkuu mimi iliwahi nitokea zamanii sana na alikuwa ni best yangu. Ila sikupigana bali nilibadili gia nikawa manzi nakula ila namchukulia kama malaya mpaka nilivyo pata mwingine ndo tukaachana.
Cha ajabuu na yule hawakudumu hata kidogo.
Wewe kama jamaa ni muelewa angekaa muonge na wapi ilianzia hadi kufikia huko.
Watoto wetu siku hizi hatuwapi malezi, tunawasukumia mashuleni tuu wakafaulu mitihani wapate As, division1, first class tukifikiri hayo ndio maisha. Siku hizi hakuna jando na unyago, baba busy, mama busy, watoto busy kama sio na boarding school basi na tv, sim na housegirlI guess kwa hili ndio umeamua kunywa sumu, sad.
Sema nini jamaa alikupiga Sana but kwa vile ulikuwa upo tungi ndo maana haukuhisi chochoteKwanza nipende kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kuniponya na hili janga weekend iliyopita. Mimi Kama kijana nipende kuwashauri vijana wenzangu kuwa waache pombe japo ni ngumu sana.
Weekend nilikuwa viwanja fulani nikipata K-Vant na kitimoto kwa vile huwa kuna nyingine naacha ndani basi nilikunywa kidogo tu. Halafu nikasepa geto kupiga mdogo mdogo.
Sasa kipindi nafika geto nikashangaa masela niliyopanga nao wanaanza kucheka sana. Nikauliza shida nini? Moja akajibu kwa kejeli sana kuwa unaenda kulewa wakati demu wako analiwa na mshikaji wa hapa hapa. Bila kuhoji nikachukua siraha nikaenda kusimama kwa mlango wa mshikaji. Aisee nikajaribu kufungua but alikuwa kafunga.
Nikampigia Dem sim nikamuulza upo wapi saiv? "Akanijibu kwani wewe inakuhusu nini" duh! Niliumia sana but ningefanyeje? Nikamwandikia sms ya kumtusi akanirudishia inasema "unalazimisha mapenzi na Mimi sikupendi" Niliumia.
Basi nikapiga fujo pale mpaka watu wakajaa make mtaa wetu Ni Kama uswahilini vile. Wakanishauri mpaka nikatupa zile siraha nilizokuwa nimeshikilia. Ilikuwa kisu, rungu na panga. Aisee baada ya kuzitupa msikaji katoka anajiropokesha na Mimi nilikuwa tungu sana. Nilimuotea ngumi ya shavu mpaka nikaona anatema memo. Akanikaba mpaka chini make nilikuwa nimekunywa pombe nyingi sana. Nikaona anaweza kunioshea sana nikabahatisha nyama ya kung'ata bana aise nimemng'ata mpaka nikatoa nyama.
Vita ilikuwa Kali sana ila sikuumia hata kidogo lkn mpinzani wangu nimemjeruhi sana sana nilipoona atanizidi nguvu nikatumia meno. Kuna kidole chake nikila chite. Na sehemu ya zingine mpaka kaenda kuoshwa hospital. Hapa najua muda wowote naweza kuitwa KITUO CHA POLICE
Mkuu demu wako upo nae au mmeshaachana.Kwanza nipende kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kuniponya na hili janga weekend iliyopita. Mimi Kama kijana nipende kuwashauri vijana wenzangu kuwa waache pombe japo ni ngumu sana.
Weekend nilikuwa viwanja fulani nikipata K-Vant na kitimoto kwa vile huwa kuna nyingine naacha ndani basi nilikunywa kidogo tu. Halafu nikasepa geto kupiga mdogo mdogo.
Sasa kipindi nafika geto nikashangaa masela niliyopanga nao wanaanza kucheka sana. Nikauliza shida nini? Moja akajibu kwa kejeli sana kuwa unaenda kulewa wakati demu wako analiwa na mshikaji wa hapa hapa. Bila kuhoji nikachukua siraha nikaenda kusimama kwa mlango wa mshikaji. Aisee nikajaribu kufungua but alikuwa kafunga.
Nikampigia Dem sim nikamuulza upo wapi saiv? "Akanijibu kwani wewe inakuhusu nini" duh! Niliumia sana but ningefanyeje? Nikamwandikia sms ya kumtusi akanirudishia inasema "unalazimisha mapenzi na Mimi sikupendi" Niliumia.
Basi nikapiga fujo pale mpaka watu wakajaa make mtaa wetu Ni Kama uswahilini vile. Wakanishauri mpaka nikatupa zile siraha nilizokuwa nimeshikilia. Ilikuwa kisu, rungu na panga. Aisee baada ya kuzitupa msikaji katoka anajiropokesha na Mimi nilikuwa tungu sana. Nilimuotea ngumi ya shavu mpaka nikaona anatema memo. Akanikaba mpaka chini make nilikuwa nimekunywa pombe nyingi sana. Nikaona anaweza kunioshea sana nikabahatisha nyama ya kung'ata bana aise nimemng'ata mpaka nikatoa nyama.
Vita ilikuwa Kali sana ila sikuumia hata kidogo lkn mpinzani wangu nimemjeruhi sana sana nilipoona atanizidi nguvu nikatumia meno. Kuna kidole chake nikila chite. Na sehemu ya zingine mpaka kaenda kuoshwa hospital. Hapa najua muda wowote naweza kuitwa KITUO CHA POLICE
Mkuu demu wako upo nae au mmeshaachana.
Dogo ameshakufa asee mkuu.
Ulimuua😳😳
Nimesikitika kweli,ila ma D kuna mahali ulimjibu vizuri,kikubwa kabisa,shukrani ingawa hakunusurika ule ushauri waweza saidia wengineRest in peace young, heri hata ungekuja kuomba ushauri kwa wakubwa, hata kama tusingekupa pesa tungekupa uzoefu ambao ungekujenga
Nimeumiaa sana 💔💔💔💔💔💔💔💔