pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
Mbona yupo online jamani.
Dogo kaniumiza sana mimi kama mama mwenye watoto wa kiume na kwa kike.Nim
Nimesikitika kweli,ila ma D kuna mahali ulimjibu vizuri,kikubwa kabisa,shukrani ingawa hakunusurika ule ushauri waweza saidia wengine
Umenena vema.Watoto wetu siku hizi hatuwapi malezi, tunawasukumia mashuleni tuu wakafaulu mitihani wapate As, division1, first class tukifikiri hayo ndio maisha. Siku hizi hakuna jando na unyago, baba busy, mama busy, watoto busy kama sio na boarding school basi na tv, sim na housegirl
Vijana wetu hawana study za maisha, hawana uzoefu wanaiga mfumo wa maisha kwa vijana wa nchi zinazoambiwa ndio nchi zilizoendelea, zisizokua hata na misingi ya familia ilihali wao wako Africa. Matokeo yake ndio haya......
Wazazi tuamke tutafakari tuone cha kufanya
RIP kijana wetu
Kweliii aiseeeTo be honest,Jamii forum inaweza kuwa imechangia kifo,maana aliandika huku ili kupata relief ya moyo lakini watu bila kujua nia na dhumuni la mtu kuandika humu,watu wanaanza kuponda,tujifunze kutohukumu bila kujua mtu anajisikia vipi au lengo la mtu kuja jamvini na mada yake.
Alipewa ushauri mzuri tu hata kama ulitolewa kwa mzaha au kebehi. Kauliwa na utoto. Kafanya kosa la kushambulia, halafu kakimbia mafichoni, pengine kaona kifo ndio njia ya kujiokoa.To be honest,Jamii forum inaweza kuwa imechangia kifo,maana aliandika huku ili kupata relief ya moyo lakini watu bila kujua nia na dhumuni la mtu kuandika humu,watu wanaanza kuponda,tujifunze kutohukumu bila kujua mtu anajisikia vipi au lengo la mtu kuja jamvini na mada yake.
Mama D nawe hawa vijana unaamini kweliRest in peace young, heri hata ungekuja kuomba ushauri kwa wakubwa, hata kama tusingekupa pesa tungekupa uzoefu ambao ungekujenga
Nimeumiaa sana [emoji174][emoji174][emoji174][emoji174][emoji174][emoji174][emoji174][emoji174]
Mimi pia nahisi hivyo.Mama D nawe hawa vijana unaamini kweli
Don't west ur tym mkuu
Mwache afe tuu
Sii kwa ujinga huu
Yawezekana aliyeleta taarifa ya kifo ni huyo huyo mtoa mada