Hahahaha. Eti zamu ya kushusha netiKuweka heshima kwa kung'ata!
Mwanaume unang'ata!
Nyie ndo mnapangiana zamu ya kushusha neti na mkeo.
Hahahaha. Eti zamu ya kushusha netiKuweka heshima kwa kung'ata!
Mwanaume unang'ata!
Nyie ndo mnapangiana zamu ya kushusha neti na mkeo.
Hapo unapigania nini?
Ni hatari sanaHahaaa mapenzi bana,kuna jamaa alikua anatushangaa tunavyo kunywa pombe kali alikua hagusi hata chembe,sasa bana mapenzi yakamshika pabaya demu alitoroshwa na mabaharia, jamaa kaanza safari ya pombe tena ye ndo anawasha gari mapemaa,ila tulimshauri vyema maana angejidhuru
Pole sana, hukuwekwa police?@mama D nimekuelewa but ilikuwa n akili za pombe
Maana hii thread ni ya jumatatuI guess kwa hili ndio umeamua kunywa sumu, sad.
Kijana ganii tena. Au mwenye threadDaah! Maskini kijana kaondoka
R.i.p
Naam! Huyo huyo mhusikaKijana ganii tena. Au mwenye thread
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] zitakuwa comment na pombe na stress za kisengee. Kama kweliii basii R.I.PNaam! Huyo huyo mhusikaView attachment 1520623
Umomi hebu toka nje hapo barabarani usimame kimya dakika10 tuu halafu uje utuambie umeona waschana wangapi wanaoweza kuwa bora zaidi ya huyo unayempigania!?
Wakati huohuo jiulize ingetokea umeenda kupigana ikatokea umeua au umeuwawa ungepata faida gani? Huwezi kusema eti ulipigana kuweka heshma kwa mwanamke asiyejiheshimu mdogo wangu, achana na hizo mambo kabisa
mama D nimekuelewa but ilikuwa n akili za pombe